Umoja ni nguvu: Wapinzani nchi hii bila kuungana wasahau kushika Dola


Lengo la chama.chochote Cha siasa ni kushika Dola,kwan ww hulitambui hilo??

Sasa kama Nia yao wapinzan ni kushika dola, watawezaje kushika dola ikiwa wamegawanyika??
 
Ndio ujue ni kwa nini Mbowe ni mwenyekiti mpaka leo, nae angekuwa na akili za kununulika angekuwa ni waziri kwa sasa. Kuna watu Nyerere aliwahi kusema wana bei, yaani wananunulika, ni kama hao uliowataja.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mtumie akili,mnataka umaut umfike hapo hapo akiwa mwenyekiti kama maalim seif??

Uhai wa chama lazima uendane na succession plan
 
Mtumie akili,mnataka umaut umfike hapo hapo akiwa mwenyekiti kama maalim seif??

Uhai wa chama lazima uendane na succession plan
Naogopa kukuambia na wewe utumie akili, kwa sababu naweza kuwa nakuambia utumie kitu ambacho huna. Hoja ya viongozi kutoka na wengine kuingia siyo mpya kikubwa wapatikane watu sahihi.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Naogopa kukuambia na wewe utumie akili, kwa sababu naweza kuwa nakuambia utumie kitu ambacho huna. Hoja ya viongozi kutoka na wengine kuingia siyo mpya kikubwa wapatikane watu sahihi.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app

Sasa kama mbowe na chadema hawaon umuhim wa kutengeneza succession plan ya chama na kuandaa generation nyingine kwa baadae,huku wakitaka waende lee kubakia kwenye chama milele,Wana justification gan ya kuhubir demokrasia na kutaka katiba mpya??
 
Lengo la chama.chochote Cha siasa ni kushika Dola,kwan ww hulitambui hilo??

Sasa kama Nia yao wapinzan ni kushika dola, watawezaje kushika dola ikiwa wamegawanyika??
Kivipi unachukulia wapinzani kama chama kimoja cha siasa? Lengo la mfumo wa vyama vingi vya siasa ni kutupatia wananchi (Watanzania) uwezo wa kuchagua uongozi bora wa taifa kutokana na itikadi, sera na mipango ya vyama mbalimbali. Ni kama tunavyochagua bidhaa modeli tofauti tofauti tuseme aina za magari. Endapo waunda magari wakiamua kuungana na kutengeneza gari la aina moja tu au kwa lengo pekee la kumng'oa toka sokoni muuza magari mmoja maarufu tuseme TOYOTA, hii haitakuwa na manufaa yoyote kwa sisi wateja; itatupunguzia aina za "ladha" za bidhaa sokoni. Speaking from the citizenry perspective.

CCM moja imeshika na kuhodhi dola. Wapinzani nao ni chama kimoja kimoja kama ilivyo CCM; "hawajagawanyika". Kila kimoja kinatakiwa kitushawishi kuwa itikadi, sera na mipango yake ni bora kuliko vingine ili sisi wananchi tuwapigie kura nyingi waingie madarakani. Tatizo linalofanya vyama vya upinzani vishindwe kushika dola sio hilo unalolitaja. Be honest kama umeamua kuwa mshauri wa wapinzani. Nje ya hapo, itakuwa unawafanyia kejeli kwa vile, kama baadhi ya wadau walivyodai, hivi sasa CCM iko katika mikono maridhawa kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…