Umoja party imekufa kabla ya kusajiliwa

Umoja party imekufa kabla ya kusajiliwa

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kosa kubwa lililofanywa na kundi hili (lililoanzisha hiki chama) ni kuweka picha ya mtu aliyeumiza watu wa makundi tofauti tofauti nchi hii kwenye kofia na tshirt za chama chao.

Mtu waliyemuweka kama nembo aliumiza:-
- WAKULIMA . huyo mtu aliwatesa wakulima kwa kukataza wasiuze mazao yao mahala wanapotaka ikiermo nje ya nchi. Mkulima alime mwenyewe, anununue pembejeo mwenyewe na avune bila kusaidiwa na serikali eti kwenye kuuza napangiwa masharti.

-WAFANYABIASHARA. Aliwafukarisha kwa kupora fedha zao na kuruhusu machinga wazagae kwenye milango ya maduka yao

-WAFANYAKAZI.
Hakuwahi kuwaongeza mishahara wala kuwapandisha madaraka

-WANACCM WAKONGWE. Aliwabagaza wanacccm waliokipigania chama kwa jasho na damu na kisha kukifanya kuwa imara mpk yeye akiingia ikulu.

Chama hiki cha sukuma gang (Umoja Party) kimekosa mvuto na kimekufa hata kabla ya kupata usajili wa kudumu.
 
Hakuna chama kinachoitwa Umoja Party, sku kikiwepo na kikasajiliwa , kikaanza operations ndo uje na hzo ngojera zako
 
Kosa kubwa lililofanywa na kundi hili ni kuweka nembo ya mtu aliyeumiza watu wa makundi tofauti tofauti nchi hii kwenye kofia na tshirt za chama chao.

Mtu waliyemuweka kama nembo aliumiza:-
- WAKULIMA . huyo mtu aliwatesa wakulima kwa kukataza wasiuze mazao yao mahala wanapotaka ikiermo nje ya nchi. Mkulima alime mwenyewe, anununue pembejeo mwenyewe na avune bila kusaidiwa na serikali eti kwenye kuuza napangiwa masharti.

-WAFANYABIASHARA. Aliwafukarisha kwa kupora fedha zao na kuruhusu machinga wazagae kwenye milango ya maduka yao

-WAFANYAKAZI.
Hakuwahi kuwaongeza mishahara wala kuwapandisha madaraka

-WANACCM WAKONGWE. Aliwabagaza wanacccm waliokipigania chama kwa jasho na damu na kisha kukifanya kuwa imara mpk yeye akiingia ikulu.

Chama hiki cha sukuma gang (Umoja Party) kimekosa mvuto na kimekufa hata kabla ya kupata usajili wa kudumu.
hahahaa..🤣
 
Kosa kubwa lililofanywa na kundi hili ni kuweka picha ya mtu aliyeumiza watu wa makundi tofauti tofauti nchi hii kwenye kofia na tshirt za chama chao.

Mtu waliyemuweka kama nembo aliumiza:-
- WAKULIMA . huyo mtu aliwatesa wakulima kwa kukataza wasiuze mazao yao mahala wanapotaka ikiermo nje ya nchi. Mkulima alime mwenyewe, anununue pembejeo mwenyewe na avune bila kusaidiwa na serikali eti kwenye kuuza napangiwa masharti.

-WAFANYABIASHARA. Aliwafukarisha kwa kupora fedha zao na kuruhusu machinga wazagae kwenye milango ya maduka yao

-WAFANYAKAZI.
Hakuwahi kuwaongeza mishahara wala kuwapandisha madaraka

-WANACCM WAKONGWE. Aliwabagaza wanacccm waliokipigania chama kwa jasho na damu na kisha kukifanya kuwa imara mpk yeye akiingia ikulu.

Chama hiki cha sukuma gang (Umoja Party) kimekosa mvuto na kimekufa hata kabla ya kupata usajili wa kudumu.
Chama ni kimoja ,CCM tuu
 
Kosa kubwa lililofanywa na kundi hili ni kuweka picha ya mtu aliyeumiza watu wa makundi tofauti tofauti nchi hii kwenye kofia na tshirt za chama chao.

Mtu waliyemuweka kama nembo aliumiza:-
- WAKULIMA . huyo mtu aliwatesa wakulima kwa kukataza wasiuze mazao yao mahala wanapotaka ikiermo nje ya nchi. Mkulima alime mwenyewe, anununue pembejeo mwenyewe na avune bila kusaidiwa na serikali eti kwenye kuuza napangiwa masharti.

-WAFANYABIASHARA. Aliwafukarisha kwa kupora fedha zao na kuruhusu machinga wazagae kwenye milango ya maduka yao

-WAFANYAKAZI.
Hakuwahi kuwaongeza mishahara wala kuwapandisha madaraka

-WANACCM WAKONGWE. Aliwabagaza wanacccm waliokipigania chama kwa jasho na damu na kisha kukifanya kuwa imara mpk yeye akiingia ikulu.

Chama hiki cha sukuma gang (Umoja Party) kimekosa mvuto na kimekufa hata kabla ya kupata usajili wa kudumu.
Kitawezaje kusavavu wakati kwenye jezi zao wameweka picha ya lile bichwa
 
Kosa kubwa lililofanywa na kundi hili ni kuweka picha ya mtu aliyeumiza watu wa makundi tofauti tofauti nchi hii kwenye kofia na tshirt za chama chao.

Mtu waliyemuweka kama nembo aliumiza:-
- WAKULIMA . huyo mtu aliwatesa wakulima kwa kukataza wasiuze mazao yao mahala wanapotaka ikiermo nje ya nchi. Mkulima alime mwenyewe, anununue pembejeo mwenyewe na avune bila kusaidiwa na serikali eti kwenye kuuza napangiwa masharti.

-WAFANYABIASHARA. Aliwafukarisha kwa kupora fedha zao na kuruhusu machinga wazagae kwenye milango ya maduka yao

-WAFANYAKAZI.
Hakuwahi kuwaongeza mishahara wala kuwapandisha madaraka

-WANACCM WAKONGWE. Aliwabagaza wanacccm waliokipigania chama kwa jasho na damu na kisha kukifanya kuwa imara mpk yeye akiingia ikulu.

Chama hiki cha sukuma gang (Umoja Party) kimekosa mvuto na kimekufa hata kabla ya kupata usajili wa kudumu.
Kama alitesa watu ruhusuni kisajiliwe halafu kife natural,sio huu utoko wako hapa hadharani,pathetic!
 
Mbona mbakiogopa kabla hata hakijaingia ulingoni Rasmi?
 
Kama alitesa watu ruhusuni kisajiliwe halafu kife natural,sio huu utoko wako hapa hadharani,pathetic!
Taifa haliwezi kusajili chama cha wauaji na watesaji
 
Back
Top Bottom