Umoja wa Afrika (AU) Waridhia kumuunga mkono Dkt. Tulia kuwa mgombea pekee kutoka Afrika nafasi ya Urais wa Jumuiya ya Mabunge Duniani

Yaani Waafrika utumwa ni jadi na mnastahili kuendelea nao! Huyu kiazi asiye na hata chembe ya demokrasia! Nina wasiwasi hata phd ni ya chupi tu stupid! Kwa jinsi nilivyofuatilia DP word ratification HUYU ni tumbili tu!
Ni kichaa na mwendawazimu anaweza kumchagua huyu ajuza na roho mbaya yake kama sura ake
 
Watu wanajuwa kupigania vyeo vyao

Ova
 
Hii Nchi sasa kila mtu anataka kuombewa

Yaani Mungu aache kuwasilikiza maombi ya Warussi na WaUkraini wanaopigana vita aje asikilize maombi ya Wanasiasa wetu hawa 🙌
 
Tuna watu wapo out of touch...., Hii katika Historia ilitokea kule Ufaransa yaani watu wapo cloud nine; Ni kama ile Story ya Watu wanalalamika Hakuna Mkate Malkia anashangaa kwanini wasile Keki....
 
Hongera Sana Prof Tulia
 
Alipoiba kura je mbeya bora James delicious sio hili maku
 
Atashindwa vibaya sana.
Ameshindwa kulinda maslahi ya Taifa katika nchi yake.
Watu weupe sio wajinga wale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…