Umoja wa Afrika una faida gani kwa Waafrika?

Umoja wa Afrika una faida gani kwa Waafrika?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Ingefaa kwamba Umoja wa Afrika (AU) ingekuwa kama baba kwa nchi za Afrika.

Uwepo wake ulipaswa kunufaisha raia wa nchi wanachama!

Pamoja na uwepo wa AU, bado nchi za Afrika zimeendelea kuwa kama watoto wasio na waangalizi.

1. Vita vya wenyewe kwa wenyewe, mfano ilivyotokea Rwanda na baadaye Congo na Somalia

2. Imeshindwa kukemea matafa makubwa yanayozinyanyasa wanachama wake. Mfano Zimbabwe ilivyowekewa vikwazo na nchi za Kimagharibi.

3. Imeshindwa kuepusha Mapinduzi ya kijeshi kwa kushawishi uwepo wa Serikali inayozingatia utawala bora

4. Imeshindwa kuifanya Afrika kuwa moja. Ona baadhi ya wanachama wake wanavyosigana, mfano DRC vs Rwanda

5. Bado inaburuzwa na mataifa makubwa. Hata mahakama ya The Heaque inasemekana ni kwa ajili ya Waafrika na si Wazungu

Kuna uhalali gani wa hayo kutokea ilhali AU ipo hai? Nitakosea nikisema AU haina msaada kwa Waafrika?

Au faida ya uwepo wake ni kwa ajili ya viongozi wa Afrika kukutana pamoja na kupiga picha?
 
Ingefaa kwamba Umoja wa Afrika (AU) ingekuwa kama baba kwa nchi za Afrika.

Uwepo wake ulipaswa kunufaisha raia wa nchi wanachama!

Pamoja na uwepo wa AU, bado nchi za Afrika zimeendelea kuwa kama watoto wasio na waangalizi.

1. Vita vya wenyewe kwa wenyewe, mfano ilivyotokea Rwanda na baadaye Congo na Somalia

2. Imeshindwa kukemea matafa makubwa yanayozinyanyasa wanachama wake. Mfano Zimbabwe ilivyowekewa vikwazo na nchi za Kimagharibi.

3. Imeshindwa kuepusha Mapinduzi ya kijeshi kwa kushawishi uwepo wa Serikali inayozingatia utawala bora

4. Imeshindwa kuifanya Afrika kuwa moja. Ona baadhi ya wanachama wake wanavyosigana, mfano DRC vs Rwanda

5. Bado inaburuzwa na mataifa makubwa. Hata mahakama ya The Heaque inasemekana ni kwa ajili ya Waafrika na si Wazungu

Kuna uhalali gani wa hayo kutokea ilhali AU ipo hai? Nitakosea nikisema AU haina msaada kwa Waafrika?

Au faida ya uwepo wake ni kwa ajili ya viongozi wa Afrika kukutana pamoja na kupiga picha?
Faida yake ni "Umoja"

Siyo kila faida lazima uitazame kwa jicho la kushibisha tumbo
 
Gen Z wataurekebisha huo Umoja sisi tunaendaga kusinzia tu pale Addis Ababa halafu tukirudi Hotelini tunakandwakandwa na Vibinti vya Kihabeshi.
 
Waafrika wenyewe Wana faida gan kwa umoja wa Afrika?
 
Ingefaa kwamba Umoja wa Afrika (AU) ingekuwa kama baba kwa nchi za Afrika.

Uwepo wake ulipaswa kunufaisha raia wa nchi wanachama!

Pamoja na uwepo wa AU, bado nchi za Afrika zimeendelea kuwa kama watoto wasio na waangalizi.

1. Vita vya wenyewe kwa wenyewe, mfano ilivyotokea Rwanda na baadaye Congo na Somalia

2. Imeshindwa kukemea matafa makubwa yanayozinyanyasa wanachama wake. Mfano Zimbabwe ilivyowekewa vikwazo na nchi za Kimagharibi.

3. Imeshindwa kuepusha Mapinduzi ya kijeshi kwa kushawishi uwepo wa Serikali inayozingatia utawala bora

4. Imeshindwa kuifanya Afrika kuwa moja. Ona baadhi ya wanachama wake wanavyosigana, mfano DRC vs Rwanda

5. Bado inaburuzwa na mataifa makubwa. Hata mahakama ya The Heaque inasemekana ni kwa ajili ya Waafrika na si Wazungu

Kuna uhalali gani wa hayo kutokea ilhali AU ipo hai? Nitakosea nikisema AU haina msaada kwa Waafrika?

Au faida ya uwepo wake ni kwa ajili ya viongozi wa Afrika kukutana pamoja na kupiga picha?
Hakuna lolote, wezi tu na wajinga.
 
Faida ya Umoja . " Umoja ni nguvu utengano ni dhaifu "
 
Ingefaa kwamba Umoja wa Afrika (AU) ingekuwa kama baba kwa nchi za Afrika.

Uwepo wake ulipaswa kunufaisha raia wa nchi wanachama!

Pamoja na uwepo wa AU, bado nchi za Afrika zimeendelea kuwa kama watoto wasio na waangalizi.

1. Vita vya wenyewe kwa wenyewe, mfano ilivyotokea Rwanda na baadaye Congo na Somalia

2. Imeshindwa kukemea matafa makubwa yanayozinyanyasa wanachama wake. Mfano Zimbabwe ilivyowekewa vikwazo na nchi za Kimagharibi.

3. Imeshindwa kuepusha Mapinduzi ya kijeshi kwa kushawishi uwepo wa Serikali inayozingatia utawala bora

4. Imeshindwa kuifanya Afrika kuwa moja. Ona baadhi ya wanachama wake wanavyosigana, mfano DRC vs Rwanda

5. Bado inaburuzwa na mataifa makubwa. Hata mahakama ya The Heaque inasemekana ni kwa ajili ya Waafrika na si Wazungu

Kuna uhalali gani wa hayo kutokea ilhali AU ipo hai? Nitakosea nikisema AU haina msaada kwa Waafrika?

Au faida ya uwepo wake ni kwa ajili ya viongozi wa Afrika kukutana pamoja na kupiga picha?
Si kazi rahisi kuongoza au kijiongoza maskini. Documents za umoja wa Afrika ziko vizuri shida ni usimamizi wake ndio mugumu. Kama kungekuwa na kuheshimu haki za watu na matumizi bora ya utajiri uliopo Afrika mapinduzi tumeyasikia redioni sasa kuna watu wanageuka miungu watu wanakula wao na rafiki zaoo mapinduzi yatakosekana kweli? Katiba inasema utakuwa kiongozi kwa awamu mbili ikitokea umeshinda uchaguzi wewe unaongeza kipindi kingine bila ridhaa ya wananchi
 
Back
Top Bottom