Pre GE2025 Umoja wa Bodaboda na Bajaji: Hatutashiriki Maandamano ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Eti Umoja wa maskini nao wana toa tamko
Hapo ndio mnapofeli ,yaani wasikubaliana na mawazo ya saccos wanapewe majina ya ajabu mara ni wapumbavu ,maskini au hawana akili.Acheni kuiga maneno ya yule mvuta bangi toka machame anaishi Arusha
 
Unadhani wachagga ambao hawafiki hata milini nne wanaweza shindana na watanzania milioni sitini?
Kwani Watanzania wote ni wajinga kama wewe? Nchi ni mchanganyiko wa watu mbalimbali:

1) Werevu wanaojitambua, wenye mapenzi mema kwa Taifa lao, wanaochukia ushetani unaofanywa na mtu au taadidi yoyote ilo dhidi yamwanadamu yeyote.

2) Wajinga na punguani, ambao hawaelewi chochote, alimradi.tumbo linashiba. Kwenye kundi hili nfimo walimo machawa wote.

3) Vichaa na watu wanafiki wa kujipendekeza ili tumbo lishibe.

Hao boda boda wanafiki, baada ya kupewa pikipiki za bure na Samia, wanaamini kwa kujitoa ufahamu zaidi kwa namna hii ya sasa, huenda wataongezewa nyingine.

Hao wapuuzi hata watoe matamko ya namna gani, hayatabadilisha chochote kilichoamriwa na watu werevi, wanaoipenda nchi yao, wanaoyhamini uhai wa binadamu wote, na kuchukia utekaji na mauaji ya kila anayekosoa Serikali na Rais.

Hao tayari wametoa tamko lao, japo ni la kijinga. Waende wakawambie Samia kuwa tayari wametoa tamko,awape rushwa yao kwaajili yakupofusha ubongo wao.
 
Wewe umesahau kuwa umejitoa ufahamu kuhusu saccos ya mzee mbowe?
 
Bodaboda ni laana sio kazi mjinga ni wewe
Kwa hiyo mnatumia waliolaniwa kwenye misafara yenu uchwara ?ndio maana mnaitwa misukule ya mzee mbowe ,bure kabisa eti mnataka kupewa nchi ?πŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
 
Kwa hiyo mnatumia waliolaniwa kwenye misafara yenu uchwara ?ndio maana mnaitwa misukule ya mzee mbowe ,bure kabisa eti mnataka kupewa nchi ?πŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
Hatuna boda boda sisi kwenye msafara itakua umechangayikiwa
 
Huyu anayejiita kiongozi bodaboda yake anapaki kijiwe gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…