Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bodaboda maskini? Wanakula kwa Lema au Mbowe au Chadema? Ndio wanawalisha,Eti Umoja wa maskini nao wana toa tamko
Swali ni, kwani CHADEMA na raia wasio kubaliana na siasa za CCM waliwaendea hawa watu na kuomba washiriki hayo maandamano?Ni lini Walishiriki?
Sema samia aliona mbali kugawa zile bodaShirikisho la waendesha bodaboda na bajaji Nchi Tanzania leo Septemba 22, 2024 wametoa msimamo wa kutokushiriki maandamano ambayo yamepangwa kufanyika siku ya Septemba 23, 2024 Mkoani Dar Es Salaam yaliyotangazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Msimamo huo umetolewa na Mwenyekiti wa Shirikisho la waendesha bodaboda na bajaji kwaniaba ya wanachama wote Nchini na kusema kuwa tunu ya amani ya Nchi ni kubwa kuliko kitu chochote hivyo hawawezi kuishi kwa wasiwasi endapo wataandamana hawataweza kuthamini mali zao.
Pia soma:
~ Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
~ Kuelekea 2025 - Rais Samia: Pikipiki zako za CCM zimeongeza ufanisi wa kiutendaji, zilizobaki naomba wapewe wenyeviti wa kata
Pia Katibu wa Shirikisho hilo Michael Liganya amesema wakishiriki maandamano hayo watakuwa wametengeneza matatizo makubwa kwa sasa katika Nchi ya Tanzania bodaboda hawapo tayari kuwa miongoni mwa wavunjifu wa amani.
Aidha msemaji wa Shirikisho la waendesha bodaboda na bajaji Tito Lazaro amesema hakuna bodaboda atakae andamana siku ya Septemba 23 hivyo wataendelea na shughuli zao za kila siku zinazowawezesha kupata kipato na kuendesha maisha yao.
Hawa yakiwakuta sawa sawa tuNi haki yao lakini kwani ni lazima watangaze? Kuna nini kwani?🤔😂
Nyie leo ndiyo mnawajali sana bodabodaSwali ni, kwani CHADEMA na raia wasio kubaliana na siasa za CCM waliwaendea hawa watu na kuomba washiriki hayo maandamano?
Je, wanachama wao wasiokubaliana na msimamo huo na wao watazuiwa kuandamana?
Ni nini hasa kilicho fanya hawa viongozi wajitokeze na kutangaza hivyo. Walitumwa na CCM?
Ni kipi nilicho andika hapo kinacho kufanya ufikiri leo nawajari bodaboda kuliko siku zilizopita. Zungumza na mimi, usinihusishe na mawazo ya wengine.Nyie leo ndiyo mnawajali sana bodaboda
Ova
kwani maandamano haramu ya Chadema yalikua na umuhimu gani kutangazwa gentleman 🤣Ni haki yao lakini kwani ni lazima watangaze? Kuna nini kwani?🤔😂
maskini mihemko 🤣Nchi yetu wajinga ni wengi.
Kati ya kundi ambalo wengi wao hufa kabla ya wakati ni bao bodaboda, wakiaminishwa ni kazi
ushirikina na Ramli ni vitu vya hovyo sana aise 🤣Tunamsubiri mtu mmoja tu Freeman Mbowe atupe amri kuanzia saa 5:30 jioni leo. Kwa taarifa yako maandamo yalishafanyika na hao hao polisi na keshi ni hitimisho tu.
yaani unareply wakati uko kwenye bodaboda gentleman,Vichwa maji kweli hao
unanichokoza ,sijawahi panda uchuro huoyaani unareply wakati uko kwenye bodaboda gentleman,
ntamwambia akushushe?🤣
Mkuu Mimi sipo kwenye hivyo vyama vya walevi!