Pre GE2025 Umoja wa Bodaboda na Bajaji: Hatutashiriki Maandamano ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni lini Walishiriki?
Swali ni, kwani CHADEMA na raia wasio kubaliana na siasa za CCM waliwaendea hawa watu na kuomba washiriki hayo maandamano?
Je, wanachama wao wasiokubaliana na msimamo huo na wao watazuiwa kuandamana?

Ni nini hasa kilicho fanya hawa viongozi wajitokeze na kutangaza hivyo. Walitumwa na CCM?
 
Sema samia aliona mbali kugawa zile boda
 
Nyie leo ndiyo mnawajali sana bodaboda

Ova
 
Tunamsubiri mtu mmoja tu Freeman Mbowe atupe amri kuanzia saa 5:30 jioni leo. Kwa taarifa yako maandamo yalishafanyika na hao hao polisi na keshi ni hitimisho tu.
ushirikina na Ramli ni vitu vya hovyo sana aise 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…