Umoja wa mabilionea tumefedheheshwa na kilichofanywa na mwenzetu Mo Dewji

Umoja wa mabilionea tumefedheheshwa na kilichofanywa na mwenzetu Mo Dewji

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi....

Ninaandika kwa huzuni kwa niaba ya mabilionea wenzangu kina Azam, GSM, Vunjabei, Platnumz, Shishibaby, Bill Nas, na wengine ambao hawapendi kutajwa kama Soggy Doggy Anter. Ni kuhusu vitendo vya kipuuzi vinavyofanywa na bilionea mwenzetu kwa jina la Mo Dewji. Haya matendo ya siku za hivi karibuni ni baada ya kusimamishwa kazi kwa mfanyakazi wake aitwae Manara.

Kabla ya kuandika hapa tayari nimepokea simu nyingi na msg toka kwa mabilionea wa nchi mbalimbali kama vile Abramovich, Kamene Goro, Manzi wa Kibera na Mark Zuckerberg. Wote walinisihi nifanye niwezavyo kutuliza huu upepo ili kutopoteza imani kwa wananchi.

Sisi mabilionea tunamtaka aache huo ujinga ili kutowakatisha tamaa watanzania wengine wanaopambana kuja kuwa kama sisi. Kuwa bilionea sio dhambi... ni haki ya kila binadamu anayefanya kazi kwa bidii na maarifa.

Endapo hatajirekebisha basi sisi mabilionea hatutasita kumchukulia hatua kali za kinidhamu ikiwemo kumkodia PRIVATE JET ili akajitafakari kwa wiki nzima huko Miami Beach, Maldives, Dubai au kwengineko duniani ambako kuna bata za kibilionea.
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi....

Ninaandika kwa huzuni kwa niaba ya mabilionea wenzangu kina Azam, GSM, Vunjabei, Platnumz, Shishibaby, Bill Nas, na wengine ambao hawapendi kutajwa kama Soggy Doggy Anter. Ni kuhusu vitendo vya kipuuzi vinavyofanywa na bilionea mwenzetu kwa jina la Mo Dewji. Haya matendo ya siku za hivi karibuni ni baada ya kusimamishwa kazi kwa mfanyakazi wake aitwae Manara.

Sisi mabilionea tunamtaka aache huo ujinga ili kutowakatisha tamaa watanzania wengine wanaopambana kuja kuwa kama sisi. Kuwa bilionea sio dhambi... ni haki ya kila binadamu anayefanya kazi kwa bidii na maarifa.
Manara hakusimamishwa kazi, aliomba aache akakubaliwa. Sasa na sisi walala hoi hatufurahishwi na kitendo chako cha kupotosha ukweli kuhusu kuacha kazi kwa Manara
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi....

Ninaandika kwa huzuni kwa niaba ya mabilionea wenzangu kina Azam, GSM, Vunjabei, Platnumz, Shishibaby, Bill Nas, na wengine ambao hawapendi kutajwa kama Soggy Doggy Anter. Ni kuhusu vitendo vya kipuuzi vinavyofanywa na bilionea mwenzetu kwa jina la Mo Dewji. Haya matendo ya siku za hivi karibuni ni baada ya kusimamishwa kazi kwa mfanyakazi wake aitwae Manara.

Sisi mabilionea tunamtaka aache huo ujinga ili kutowakatisha tamaa watanzania wengine wanaopambana kuja kuwa kama sisi. Kuwa bilionea sio dhambi... ni haki ya kila binadamu anayefanya kazi kwa bidii na maarifa.
[emoji23][emoji23] asiyependa kutajwa kama Soggy dog eenh
 
🤣😂😂😂😂 nimecheka sana
Mkuu ina mana mi simu yangu hujaiona nnavyokupigia?mimi kama bilionea wa Unguja nimesikitishwa pia
 
Back
Top Bottom