Umoja wa mabilionea tumefedheheshwa na kilichofanywa na mwenzetu Mo Dewji

Umoja wa mabilionea tumefedheheshwa na kilichofanywa na mwenzetu Mo Dewji

Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi....

Ninaandika kwa huzuni kwa niaba ya mabilionea wenzangu kina Azam, GSM, Vunjabei, Platnumz, Shishibaby, Bill Nas, na wengine ambao hawapendi kutajwa kama Soggy Doggy Anter. Ni kuhusu vitendo vya kipuuzi vinavyofanywa na bilionea mwenzetu kwa jina la Mo Dewji. Haya matendo ya siku za hivi karibuni ni baada ya kusimamishwa kazi kwa mfanyakazi wake aitwae Manara.

Kabla ya kuandika hapa tayari nimepokea simu nyingi na msg toka kwa mabilionea wa nchi mbalimbali kama vile Abramovich, Kamene Goro, Manzi wa Kibera na Mark Zuckerberg. Wote walinisihi nifanye niwezavyo kutuliza huu upepo ili kutopoteza imani kwa wananchi.

Sisi mabilionea tunamtaka aache huo ujinga ili kutowakatisha tamaa watanzania wengine wanaopambana kuja kuwa kama sisi. Kuwa bilionea sio dhambi... ni haki ya kila binadamu anayefanya kazi kwa bidii na maarifa.

Endapo hatajirekebisha basi sisi mabilionea hatutasita kumchukulia hatua kali za kinidhamu ikiwemo kumkodia PRIVATE JET ili akajitafakari kwa wiki nzima huko Miami Beach, Maldives, Dubai au kwengineko duniani ambako kuna bata za kibilionea.
Mjomba umepiga K vant,double kick,konyagi,gongo au yoyote ile ili niwajulishe waipunguze makali maana naona imekuzidi uwezo
 
diranqhe haya ndio tuliyokutuma?
Jambo la kwanza tulisema MO sio billionea Ila Ni msimamizi wa Mali za baba yake Gulam Dewji, otherwise utuambie alianzaje biashara.
Kwani hata mtoto wa Bill G huwezi kumuita bilionea mpaka Bill afe kwanza na dogo arithishwe Mali.
 
πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimecheka sana
Mkuu ina mana mi simu yangu hujaiona nnavyokupigia?mimi kama bilionea wa Unguja nimesikitishwa pia
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Imagine toto la Tandale Diamond, Mange, Mrisho Mpoto na Manara mwenyewe wakushambulie kwa maneno utajisikiaje? Mo yamemkuta
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi....

Ninaandika kwa huzuni kwa niaba ya mabilionea wenzangu kina Azam, GSM, Vunjabei, Platnumz, Shishibaby, Bill Nas, na wengine ambao hawapendi kutajwa kama Soggy Doggy Anter. Ni kuhusu vitendo vya kipuuzi vinavyofanywa na bilionea mwenzetu kwa jina la Mo Dewji. Haya matendo ya siku za hivi karibuni ni baada ya kusimamishwa kazi kwa mfanyakazi wake aitwae Manara.

Kabla ya kuandika hapa tayari nimepokea simu nyingi na msg toka kwa mabilionea wa nchi mbalimbali kama vile Abramovich, Kamene Goro, Manzi wa Kibera na Mark Zuckerberg. Wote walinisihi nifanye niwezavyo kutuliza huu upepo ili kutopoteza imani kwa wananchi.

Sisi mabilionea tunamtaka aache huo ujinga ili kutowakatisha tamaa watanzania wengine wanaopambana kuja kuwa kama sisi. Kuwa bilionea sio dhambi... ni haki ya kila binadamu anayefanya kazi kwa bidii na maarifa.

Endapo hatajirekebisha basi sisi mabilionea hatutasita kumchukulia hatua kali za kinidhamu ikiwemo kumkodia PRIVATE JET ili akajitafakari kwa wiki nzima huko Miami Beach, Maldives, Dubai au kwengineko duniani ambako kuna bata za kibilionea.
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi....

Ninaandika kwa huzuni kwa niaba ya mabilionea wenzangu kina Azam, GSM, Vunjabei, Platnumz, Shishibaby, Bill Nas, na wengine ambao hawapendi kutajwa kama Soggy Doggy Anter. Ni kuhusu vitendo vya kipuuzi vinavyofanywa na bilionea mwenzetu kwa jina la Mo Dewji. Haya matendo ya siku za hivi karibuni ni baada ya kusimamishwa kazi kwa mfanyakazi wake aitwae Manara.

Kabla ya kuandika hapa tayari nimepokea simu nyingi na msg toka kwa mabilionea wa nchi mbalimbali kama vile Abramovich, Kamene Goro, Manzi wa Kibera na Mark Zuckerberg. Wote walinisihi nifanye niwezavyo kutuliza huu upepo ili kutopoteza imani kwa wananchi.

Sisi mabilionea tunamtaka aache huo ujinga ili kutowakatisha tamaa watanzania wengine wanaopambana kuja kuwa kama sisi. Kuwa bilionea sio dhambi... ni haki ya kila binadamu anayefanya kazi kwa bidii na maarifa.

Endapo hatajirekebisha basi sisi mabilionea hatutasita kumchukulia hatua kali za kinidhamu ikiwemo kumkodia PRIVATE JET ili akajitafakari kwa wiki nzima huko Miami Beach, Maldives, Dubai au kwengineko duniani ambako kuna bata za kibilionea.
Aisee,umepandisha mabega kweli kweli , usikute hata gwala mfukoni huna,maana kujinadi namna hii si kawaida.

Halafuu,mbona kuna mambo ya maana zaidi ya kufikiria kuliko ujinga huu,hasa ukizingatia mlolongo wa matatizo dunia inayopitia kwa sasa.Yaani akili zenu zimepofushwa kiasi hicho.
 
MO alitakiwa kutokuongea kabisa na mtandaoni afanye mambo yake ya kila siku kawaida, Manara angekausha tu. Tatizo anajazwa na yeye anajaa wahuni wanampiga kwenye mshono [emoji23][emoji23]
 
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi....

Ninaandika kwa huzuni kwa niaba ya mabilionea wenzangu kina Azam, GSM, Vunjabei, Platnumz, Shishibaby, Bill Nas, na wengine ambao hawapendi kutajwa kama Soggy Doggy Anter. Ni kuhusu vitendo vya kipuuzi vinavyofanywa na bilionea mwenzetu kwa jina la Mo Dewji. Haya matendo ya siku za hivi karibuni ni baada ya kusimamishwa kazi kwa mfanyakazi wake aitwae Manara.

Kabla ya kuandika hapa tayari nimepokea simu nyingi na msg toka kwa mabilionea wa nchi mbalimbali kama vile Abramovich, Kamene Goro, Manzi wa Kibera na Mark Zuckerberg. Wote walinisihi nifanye niwezavyo kutuliza huu upepo ili kutopoteza imani kwa wananchi.

Sisi mabilionea tunamtaka aache huo ujinga ili kutowakatisha tamaa watanzania wengine wanaopambana kuja kuwa kama sisi. Kuwa bilionea sio dhambi... ni haki ya kila binadamu anayefanya kazi kwa bidii na maarifa.

Endapo hatajirekebisha basi sisi mabilionea hatutasita kumchukulia hatua kali za kinidhamu ikiwemo kumkodia PRIVATE JET ili akajitafakari kwa wiki nzima huko Miami Beach, Maldives, Dubai au kwengineko duniani ambako kuna bata za kibilionea.

Wewe tangu lini ukawa bilionea wakati mshahara wako ni laki 7 kwa mwezi? Wadanganye wendawazimu wenzio!
 
[emoji1][emoji1][emoji1] Imagine toto la Tandale Diamond, Mange, Mrisho Mpoto na Manara mwenyewe wakushambulie kwa maneno utajisikiaje? Mo yamemkuta
Maneno ni pesa...

Wanazo?!
 
MO alitakiwa kutokuongea kabisa na mtandaoni afanye mambo yake ya kila siku kawaida, Manara angekausha tu. Tatizo anajazwa na yeye anajaa wahuni wanampiga kwenye mshono [emoji23][emoji23]
Katika hao wahuni kuna Kigogo2014, Manara, Mange, Mjomba Mpoto .. toto la Tandale bado halijatamka kitu... πŸ˜„πŸ˜„
 
Unasemea ubillionaire wa Tshs au wa dollar?
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Imagine toto la Tandale Diamond, Mange, Mrisho Mpoto na Manara mwenyewe wakushambulie kwa maneno utajisikiaje? Mo yamemkuta
Yamemkuta makuu mo,amejua hajuiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom