ππππππππHuu umoja wetu umekuwaje tena, mbona hzi taarifa mimi sikuzipata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππππHuu umoja wetu umekuwaje tena, mbona hzi taarifa mimi sikuzipata?
Mjomba umepiga K vant,double kick,konyagi,gongo au yoyote ile ili niwajulishe waipunguze makali maana naona imekuzidi uwezoNawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi....
Ninaandika kwa huzuni kwa niaba ya mabilionea wenzangu kina Azam, GSM, Vunjabei, Platnumz, Shishibaby, Bill Nas, na wengine ambao hawapendi kutajwa kama Soggy Doggy Anter. Ni kuhusu vitendo vya kipuuzi vinavyofanywa na bilionea mwenzetu kwa jina la Mo Dewji. Haya matendo ya siku za hivi karibuni ni baada ya kusimamishwa kazi kwa mfanyakazi wake aitwae Manara.
Kabla ya kuandika hapa tayari nimepokea simu nyingi na msg toka kwa mabilionea wa nchi mbalimbali kama vile Abramovich, Kamene Goro, Manzi wa Kibera na Mark Zuckerberg. Wote walinisihi nifanye niwezavyo kutuliza huu upepo ili kutopoteza imani kwa wananchi.
Sisi mabilionea tunamtaka aache huo ujinga ili kutowakatisha tamaa watanzania wengine wanaopambana kuja kuwa kama sisi. Kuwa bilionea sio dhambi... ni haki ya kila binadamu anayefanya kazi kwa bidii na maarifa.
Endapo hatajirekebisha basi sisi mabilionea hatutasita kumchukulia hatua kali za kinidhamu ikiwemo kumkodia PRIVATE JET ili akajitafakari kwa wiki nzima huko Miami Beach, Maldives, Dubai au kwengineko duniani ambako kuna bata za kibilionea.
πππ Imagine toto la Tandale Diamond, Mange, Mrisho Mpoto na Manara mwenyewe wakushambulie kwa maneno utajisikiaje? Mo yamemkutaπ€£ππππ nimecheka sana
Mkuu ina mana mi simu yangu hujaiona nnavyokupigia?mimi kama bilionea wa Unguja nimesikitishwa pia
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi....
Ninaandika kwa huzuni kwa niaba ya mabilionea wenzangu kina Azam, GSM, Vunjabei, Platnumz, Shishibaby, Bill Nas, na wengine ambao hawapendi kutajwa kama Soggy Doggy Anter. Ni kuhusu vitendo vya kipuuzi vinavyofanywa na bilionea mwenzetu kwa jina la Mo Dewji. Haya matendo ya siku za hivi karibuni ni baada ya kusimamishwa kazi kwa mfanyakazi wake aitwae Manara.
Kabla ya kuandika hapa tayari nimepokea simu nyingi na msg toka kwa mabilionea wa nchi mbalimbali kama vile Abramovich, Kamene Goro, Manzi wa Kibera na Mark Zuckerberg. Wote walinisihi nifanye niwezavyo kutuliza huu upepo ili kutopoteza imani kwa wananchi.
Sisi mabilionea tunamtaka aache huo ujinga ili kutowakatisha tamaa watanzania wengine wanaopambana kuja kuwa kama sisi. Kuwa bilionea sio dhambi... ni haki ya kila binadamu anayefanya kazi kwa bidii na maarifa.
Endapo hatajirekebisha basi sisi mabilionea hatutasita kumchukulia hatua kali za kinidhamu ikiwemo kumkodia PRIVATE JET ili akajitafakari kwa wiki nzima huko Miami Beach, Maldives, Dubai au kwengineko duniani ambako kuna bata za kibilionea.
Aisee,umepandisha mabega kweli kweli , usikute hata gwala mfukoni huna,maana kujinadi namna hii si kawaida.Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi....
Ninaandika kwa huzuni kwa niaba ya mabilionea wenzangu kina Azam, GSM, Vunjabei, Platnumz, Shishibaby, Bill Nas, na wengine ambao hawapendi kutajwa kama Soggy Doggy Anter. Ni kuhusu vitendo vya kipuuzi vinavyofanywa na bilionea mwenzetu kwa jina la Mo Dewji. Haya matendo ya siku za hivi karibuni ni baada ya kusimamishwa kazi kwa mfanyakazi wake aitwae Manara.
Kabla ya kuandika hapa tayari nimepokea simu nyingi na msg toka kwa mabilionea wa nchi mbalimbali kama vile Abramovich, Kamene Goro, Manzi wa Kibera na Mark Zuckerberg. Wote walinisihi nifanye niwezavyo kutuliza huu upepo ili kutopoteza imani kwa wananchi.
Sisi mabilionea tunamtaka aache huo ujinga ili kutowakatisha tamaa watanzania wengine wanaopambana kuja kuwa kama sisi. Kuwa bilionea sio dhambi... ni haki ya kila binadamu anayefanya kazi kwa bidii na maarifa.
Endapo hatajirekebisha basi sisi mabilionea hatutasita kumchukulia hatua kali za kinidhamu ikiwemo kumkodia PRIVATE JET ili akajitafakari kwa wiki nzima huko Miami Beach, Maldives, Dubai au kwengineko duniani ambako kuna bata za kibilionea.
umenifanya nicheke sanaToka lini Billionaire akatoka Singida?? Yule ni Mnyaturu/ Mnyiramba aliyechangamka!! Hana tofauti na mwenzake Mwigulu Madelu Lameck Nchemba!
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi....
Ninaandika kwa huzuni kwa niaba ya mabilionea wenzangu kina Azam, GSM, Vunjabei, Platnumz, Shishibaby, Bill Nas, na wengine ambao hawapendi kutajwa kama Soggy Doggy Anter. Ni kuhusu vitendo vya kipuuzi vinavyofanywa na bilionea mwenzetu kwa jina la Mo Dewji. Haya matendo ya siku za hivi karibuni ni baada ya kusimamishwa kazi kwa mfanyakazi wake aitwae Manara.
Kabla ya kuandika hapa tayari nimepokea simu nyingi na msg toka kwa mabilionea wa nchi mbalimbali kama vile Abramovich, Kamene Goro, Manzi wa Kibera na Mark Zuckerberg. Wote walinisihi nifanye niwezavyo kutuliza huu upepo ili kutopoteza imani kwa wananchi.
Sisi mabilionea tunamtaka aache huo ujinga ili kutowakatisha tamaa watanzania wengine wanaopambana kuja kuwa kama sisi. Kuwa bilionea sio dhambi... ni haki ya kila binadamu anayefanya kazi kwa bidii na maarifa.
Endapo hatajirekebisha basi sisi mabilionea hatutasita kumchukulia hatua kali za kinidhamu ikiwemo kumkodia PRIVATE JET ili akajitafakari kwa wiki nzima huko Miami Beach, Maldives, Dubai au kwengineko duniani ambako kuna bata za kibilionea.
Manara hakusimamishwa kazi, aliomba aache akakubaliwa. Sasa na sisi walala hoi hatufurahishwi na kitendo chako cha kupotosha ukweli kuhusu kuacha kazi kwa Manara
Maneno ni pesa...[emoji1][emoji1][emoji1] Imagine toto la Tandale Diamond, Mange, Mrisho Mpoto na Manara mwenyewe wakushambulie kwa maneno utajisikiaje? Mo yamemkuta
Katika hao wahuni kuna Kigogo2014, Manara, Mange, Mjomba Mpoto .. toto la Tandale bado halijatamka kitu... ππMO alitakiwa kutokuongea kabisa na mtandaoni afanye mambo yake ya kila siku kawaida, Manara angekausha tu. Tatizo anajazwa na yeye anajaa wahuni wanampiga kwenye mshono [emoji23][emoji23]
Hiyo sheria ya maneno ni pesa ilipitishwa lini na bunge?Maneno ni pesa...
Wanazo?!
Yamemkuta makuu mo,amejua hajuiπππππππ Imagine toto la Tandale Diamond, Mange, Mrisho Mpoto na Manara mwenyewe wakushambulie kwa maneno utajisikiaje? Mo yamemkuta
Acha kuchezea comment watu seroius tunajadili vitu serious. Tangu lini wewe ukawa mmoja wetu?..... lol....Ulitu-unfollow