Umoja wa Madaktari wa Kikatoliki Kenya watoa tamko la kupinga chanjo ya corona

Umoja wa Madaktari wa Kikatoliki Kenya watoa tamko la kupinga chanjo ya corona

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
Umoja wa Madaktari wa Kikatoliki nchini Kenya umetoa tamko la kupinga utoaji wa chanjo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 kwa madai ya kulinda afya za watu na utakatifu wa maisha.

Tamko hilo limesema wanaona kuna nia isiyo njema na upotoshaji katika zoezi zima la utoaji wa chanjo dhidi ya ugonjwa huo na kwamba kuna madawa mengi yenye uwezo wa kutibu ugonjwa huo na hivyo kuondoa ulazima wa kuwa na chanjo.

Tamko hilo linaonekana kukinzana na msimamo wa Kanisa Katoliki ambapo Papa Francis ambaye amehimiza waumini wa Kanisa Katoliki kupokea chanjo hiyo pale itakapopatikana.


20210304_203336.jpg
 
Confused failed state.

Kingereza kingereza kingereza, wapi imetajwa hapo kwamba wamepinga chanjo.....kwa hivyo kwako wewe neno "unnecessary" lina maana wamepinga.
Jameni kingereza kinawatesa sana nyie watu...hehehe hadi raha.
Endeleeni kutoa watu wenu kafara huko kwa ujuha wenu huo wa sijui mara mfukize mara mnywe matangawizi na malimau mara muombe mara mpime kondoo na mbuzi.....ujuha uliokubuhu.
 
Kingereza kingereza kingereza, wapi imetajwa hapo kwamba wamepinga chanjo.....kwa hivyo kwako wewe neno "unnecessary" lina maana wamepinga.
Jameni kingereza kinawatesa sana nyie watu...hehehe hadi raha.
Endeleeni kutoa watu wenu kafara huko kwa ujuha wenu huo wa sijui mara mfukize mara mnywe matangawizi na malimau mara muombe mara mpime kondoo na mbuzi.....ujuha uliokubuhu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajitahidi kweli kutetea linchi lako lilofeli hilo,!
 
Kingereza kingereza kingereza, wapi imetajwa hapo kwamba wamepinga chanjo.....kwa hivyo kwako wewe neno "unnecessary" lina maana wamepinga.
Jameni kingereza kinawatesa sana nyie watu...hehehe hadi raha.
Endeleeni kutoa watu wenu kafara huko kwa ujuha wenu huo wa sijui mara mfukize mara mnywe matangawizi na malimau mara muombe mara mpime kondoo na mbuzi.....ujuha uliokubuhu.
Malizia kaka "unnecessary making the motivation suspect"
 
Kingereza kingereza kingereza, wapi imetajwa hapo kwamba wamepinga chanjo.....kwa hivyo kwako wewe neno "unnecessary" lina maana wamepinga.
Jameni kingereza kinawatesa sana nyie watu...hehehe hadi raha.
Endeleeni kutoa watu wenu kafara huko kwa ujuha wenu huo wa sijui mara mfukize mara mnywe matangawizi na malimau mara muombe mara mpime kondoo na mbuzi.....ujuha uliokubuhu.

Kwa hiyo wewe kwa kaingilishi kako neno unnecessary ina maana wameunga mkono na kuhamasisha jabs?
 
Hitimisho ni kwamba hakuna chanjo na tushanunua mashine za kufukiza...
 
Kwa hiyo wewe kwa kaingilishi kako neno unnecessary ina maana wameunga mkono na kuhamasisha jabs?

Hehehe Dayaspora wa Buza asiyejua kingereza, "unnecessary" haijamaanisha wamepinga, kuna baadhi ya watu ambao hawatafuata chanjo maana wako poa kwa kutumia mbinu za kawaida kujitibu. Kuna wale utakuta tumeumwa corona bila hata kujua na ikaondoka yenyewe, labda tulikohoa kohoa kidogo tu basi.
Lakini kwa msimamo wa Tanzania, mumeambiwa muombe huku mkiendelea kupukutika kama mifugo, kanisa lenyewe limetanganza kupoteza wachungaji na watawa wengi, yaani mna ujinga uliokubuhu, kituko cha dunia.
Kufuata chanjo au kutoifuata inapaswa kuwa maamuzi ya mtu binafsi, sio uamuliwe na uongozi wa nchi, sasa hivi Watanzania wenye hela watakuja Kenya kinyemela na kupata chanjo, makapuku kama wewe mliosotea Buza mtaendelea kuimba nyimbo za kizalendo dhidi ya corona.
 
Hehehe Dayaspora wa Buza asiyejua kingereza, "unnecessary" haijamaanisha wamepinga, kuna baadhi ya watu ambao hawatafuata chanjo maana wako poa kwa kutumia mbinu za kawaida kujitibu. Kuna wale utakuta tumeumwa corona bila hata kujua na ikaondoka yenyewe, labda tulikohoa kohoa kidogo tu basi.
Lakini kwa msimamo wa Tanzania, mumeambiwa muombe huku mkiendelea kupukutika kama mifugo, kanisa lenyewe limetanganza kupoteza wachungaji na watawa wengi, yaani mna ujinga uliokubuhu, kituko cha dunia.
Kufuata chanjo au kutoifuata inapaswa kuwa maamuzi ya mtu binafsi, sio uamuliwe na uongozi wa nchi, sasa hivi Watanzania wenye hela watakuja Kenya kinyemela na kupata chanjo, makapuku kama wewe mliosotea Buza mtaendelea kuimba nyimbo za kizalendo dhidi ya corona.

I don't think if there's anybody who will be interested to read such a crap.
The question was; is "unnecessary synonymous to support?"
 
I don't think if there's anybody who will be interested to read such a crap.
The question was; is "unnecessary synonymous to support?"
Tafuta mtu anayejua kingereza ahariri huu utopolo ulioandika hapa, kisha uje upya....hehehehe
 
Hehehe Dayaspora wa Buza asiyejua kingereza, "unnecessary" haijamaanisha wamepinga, kuna baadhi ya watu ambao hawatafuata chanjo maana wako poa kwa kutumia mbinu za kawaida kujitibu. Kuna wale utakuta tumeumwa corona bila hata kujua na ikaondoka yenyewe, labda tulikohoa kohoa kidogo tu basi.
Lakini kwa msimamo wa Tanzania, mumeambiwa muombe huku mkiendelea kupukutika kama mifugo, kanisa lenyewe limetanganza kupoteza wachungaji na watawa wengi, yaani mna ujinga uliokubuhu, kituko cha dunia.
Kufuata chanjo au kutoifuata inapaswa kuwa maamuzi ya mtu binafsi, sio uamuliwe na uongozi wa nchi, sasa hivi Watanzania wenye hela watakuja Kenya kinyemela na kupata chanjo, makapuku kama wewe mliosotea Buza mtaendelea kuimba nyimbo za kizalendo dhidi ya corona.
Watanzania waje mna dose kiasi gani?kwa population yenu.hata kwa manesi tu hazitoshi.
Korona ipo Tanzania hatuungi mkono chanjo isiyo na hakika hata zinakotoka wanazitilia Shaka.
Kwa ukweli WILAYA niishio hatuna tatizo na korona toka dunia ianze.(making the motivation suspect)chanjo ya nini .chanjo ni kwa waaotaka kwenda nje kukidhi mahitaji ya nchi waendazo..tena iwe Sputnik V

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Watanzania waje mna dose kiasi gani?kwa population yenu.hata kwa manesi tu hazitoshi.
Korona ipo Tanzania hatuungi mkono chanjo isiyo na hakika hata zinakotoka wanazitilia Shaka.
Kwa ukweli WILAYA niishio hatuna tatizo na korona toka dunia ianze.(making the motivation suspect)chanjo ya nini .chanjo ni kwa waaotaka kwenda nje kukidhi mahitaji ya nchi waendazo..tena iwe Sputnik V

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Sio Watanzania wote watakuja, ni wale wenye jeuri ya hela, badala ya kufuata dozi Ulaya maana kwa ujinga wenu mumekataa chanjo kama taifa, wao wataona radhi watinge kwenye mataifa majirani na kuhonga ili wapate chanjo, maskini kama wewe ndio mtabaki Mbagalla huko mkiimba uzalendo.
Na tayari kunao Watanzania wameifuata Ulaya, hata rais wenu alilisema hilo, kwamba hao walifuata chanjo Ulaya wamewaletea nyie corona ya ajabu.
 
Siku zote hoja hujibiwa kwa hoja na si kwa vioja (viloja).

Ukiwasilisha hoja kwa lugha unayoielewa, utajibiwa kwa hoja, sio ujitutume hadi haujui umeandika nini....hehehe hadi raha.
 
Kingereza kingereza kingereza, wapi imetajwa hapo kwamba wamepinga chanjo.....kwa hivyo kwako wewe neno "unnecessary" lina maana wamepinga.
Jameni kingereza kinawatesa sana nyie watu...hehehe hadi raha.
Assume basi hawajapinga na wame “accept” ila wamesema hiyo kitu ni unnecessary na vaccination campaign might be having suspected motives.

Will you encourage your relatives to undergo something being suspected by some learned medical doctors?

Basically wapo sahihi. No one knows for sure hiyo vaccine inamprotect mtu kwa siku/wiki/miezi/miaka mingapi kabla hajawa exposed tena. Hakuna mwenye uhakika kama kuna/hakuna long term negative health effects baada ya kudungwa hiyo kitu.
 
Back
Top Bottom