Umoja wa Madaktari wa Kikatoliki Kenya watoa tamko la kupinga chanjo ya corona

Umoja wa Madaktari wa Kikatoliki Kenya watoa tamko la kupinga chanjo ya corona

Sio Watanzania wote watakuja, ni wale wenye jeuri ya hela, badala ya kufuata dozi Ulaya maana kwa ujinga wenu mumekataa chanjo kama taifa, wao wataona radhi watinge kwenye mataifa majirani na kuhonga ili wapate chanjo, maskini kama wewe ndio mtabaki Mbagalla huko mkiimba uzalendo.
Na tayari kunao Watanzania wameifuata Ulaya, hata rais wenu alilisema hilo, kwamba hao walifuata chanjo Ulaya wamewaletea nyie corona ya ajabu.
Hizo Chanjo South Africa wameziacha kwanza,zipo kwenye majaribio once zikipass majaribio hapo Kenya tuziagiza kiasi kwa wanaohitaji.hakika zikiwafaa ninyi aina hiyo tutaangiza hiyo hiyo.kwani huko Kuna wajaluo,wamasai,wameru nk na huku tupo zitakuwa zipass majaribio.
Acha ujuwa dose zenye mmesaidiwa 500,000 ni kwa wakunya (una lebal USAID or WHO not for retail sale)
Tanzania covid 19 IPO Ila 90% ya miji yetu hakuna hiyo kitu hatuijui.hiyo chanjo hata ukitaka hakuna wenyewe haiwatoshi acheni ujinga waafrika chanjo mpaka 2023

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Hizo Chanjo South Africa wameziacha kwanza,zipo kwenye majaribio once zikipass majaribio hapo Kenya tuziagiza kiasi kwa wanaohitaji.hakika zikiwafaa ninyi aina hiyo tutaangiza hiyo hiyo.kwani huko Kuna wajaluo,wamasai,wameru nk na huku tupo zitakuwa zipass majaribio.
Acha ujuwa dose zenye mmesaidiwa 500,000 ni kwa wakunya (una lebal USAID or WHO not for retail sale)
Tanzania covid 19 IPO Ila 90% ya miji yetu hakuna hiyo kitu hatuijui.hiyo chanjo hata ukitaka hakuna wenyewe haiwatoshi acheni ujinga waafrika chanjo mpaka 2023

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Mnachekesha sana kwa namna kila mmoja kwenu anatoa tamko lake, mumechanganyikiwa mpaka mnaonekana majuha kwa kweli. Sasa wewe nawe umeongeza kwa aina ya matamko na kauli tofauti mnazotoa, hiyo yako ya kusubiri Wakenya kwanza nimeiskia leo. Nikiorodhesha kauli zenu tofauti kwenye hili janga la corona nitajaza server za watu bure.....
 
Assume basi hawajapinga na wame “accept” ila wamesema hiyo kitu ni unnecessary na vaccination campaign might be having suspected motives.

Will you encourage your relatives to undergo something being suspected by some learned medical doctors?

Basically wapo sahihi. No one knows for sure hiyo vaccine inamprotect mtu kwa siku/wiki/miezi/miaka mingapi kabla hajawa exposed tena. Hakuna mwenye uhakika kama kuna/hakuna long term negative health effects baada ya kudungwa hiyo kitu.

Mpaka sasa Wamarekani wamechanjwa 82M, duniani kila taifa lipo mbioni kuhakikisha watu wake wanachanjwa, nyie hapo ndio mumeganda kukalia matamko ya viongozi wenu ambao wapo radhi kuwatoa kafara, kanisa ambalo viongozi wenu wanasema ndio dawa ya corona kwa maombi limetangaza vifo vya watawa na viongozi, yaani mnatia huruma.
Msubiri muone mkitengwa na dunia maana hata kwenda hijja kwa waislamu wenu imetangazwa lazima chanjo kwanza.

Hii chanjo hatujaagiza kama mlivyofanya vile vioja vyenu vya Madagascar, binafsi nasubiri siku watangaze tupange foleni kwenda kudungwa, nitakua wa kwanza kuifuata.
Baadhi ya wataalam wetu kusema sio necessary, hiyo ni kweli sio lazima kwa kila mtu, kunao baadhi yetu hatuihitaji, miili yetu inapigana na corona yenyewe na kuna uwezekano labda mimi hapa nimeumwa corona na kupona bila kujua, ila sitokaa kijinga jinga kama chanjo itakua tayari kwa wote, nakwenda kudungwa moja kwa moja.
 
[emoji28][emoji28][emoji28]hapa nawaelewa maaskofu wa kenya.

hawa wa kwetu kuna sehemu wanafeli kama viongozi wa dini.
Mbona unakurupuka..hao waliondika ni Madaktari sio Maaskofu
 
Baadhi ya wataalam wetu kusema sio necessary, hiyo ni kweli sio lazima kwa kila mtu, kunao baadhi yetu hatuihitaji, miili yetu inapigana na corona yenyewe na kuna uwezekano labda mimi hapa nimeumwa corona na kupona bila kujua, ila sitokaa kijinga jinga kama chanjo itakua tayari kwa wote, nakwenda kudungwa moja kwa moja.
Madaktari (unawaita baadhi....) wa Kenya wamesema hiyo chanjo ni "totally unnecessary", at least for now na kwamba the whole process is a "suspect".

You are probably right - not everyone needs that vaccine (at least for now..) na ndio point ya watu wengi. Haohao watengeneza chanjo bado wanasisitiza mtu aendelee kuvaa mask na hawajui hiyo chanjo ukichanjwa utahitaji kuchanjwa tena baada ya muda gani na mara ngapi zaidi ili ujihakikishe protection japo ya 85%. Kwa kifupi hao wanaopropagate chanjo hawana tofauti kubwa sana na wale wanaohamasisha kujifukiza.

Are we even sure contents za ile product aliyochomwa Joe Biden ndio hiyohiyo itatumwa kwa mwanakijiji huko Murang'a na Kirinyaga?
 
Madaktari (unawaita baadhi....) wa Kenya wamesema hiyo chanjo ni "totally unnecessary", at least for now na kwamba the whole process is a "suspect".

You are probably right - not everyone needs that vaccine (at least for now..) na ndio point ya watu wengi. Haohao watengeneza chanjo bado wanasisitiza mtu aendelee kuvaa mask na hawajui hiyo chanjo ukichanjwa utahitaji kuchanjwa tena baada ya muda gani na mara ngapi zaidi ili ujihakikishe protection japo ya 85%. Kwa kifupi hao wanaopropagate chanjo hawana tofauti kubwa sana na wale wanaohamasisha kujifukiza.

Are we even sure contents za ile product aliyochomwa Joe Biden ndio hiyohiyo itatumwa kwa mwanakijiji huko Murang'a na Kirinyaga?

Huu uzi umesema madaktari wa kikatoliki, Kenya tuna madaktari wa aina nyingi na ndio maana nikasema "baadhi". Siku zote chanjo ya aina yoyote ile huwa sio lazima kwa kila mmoja maana tupo wenye miili tofauti, na ndio maana hata baada ya kuletwa haitawekwa lazima kwa kila mmoja kuitumia, utakwenda kudungwa kwa hiari yako mwenyewe ukijisklizia na kuona unaihitaji, mimi binafsi lazima niifuate.

Ukitaka kuvuka kwenda kwenye nchi nyingine, utalazimishwa udungwe ili uruhusiwe kuingia, mimi kila nikija Tanzania huwa wanahakikisha nimedungwa chanjo ya homa ya njano kabla kuruhusiwa kuingia kwenye nchi yenu. Na ndivyo inabadilika na kuwa kwa mataifa yote ulimwenguni ikiwemo kule kwa dini ya waislamu, lazima udungwe chnjo dhidi y corona.

Nyie hapo mumeshikilia eti maombi ndio chanjo, mumesahau kila mtu ana dini na imani yake, ilipaswa mtumie miongozo ya kikatiba inayompa kila mmoja uhuru na haki ya kupata matibabu ya kisayansi, na zaidi ya yote kila mmoja wenu ana haki ya kupata taarifa na takwimu za namna gani corona imeathiiri kwenu huko, leo hii mumebadilisha jina na kuita changamoto la kupumua, ujuha kama huo hufanyika kwa wananchi wasiojitambua kabisa, rais wetu ajaribu huo ujinga.
 
Nyie hapo mumeshikilia eti maombi ndio chanjo, mumesahau kila mtu ana dini na imani yake, ilipaswa mtumie miongozo ya kikatiba inayompa kila mmoja uhuru na haki ya kupata matibabu ya kisayansi..
Upo misinformed. Ni baadhi tu ya viongozi wanaosema watu waombe kwa Mungu wao ili awaondolee hili baa. Hao wanaotoa hayo mawazo wana haki zao za kusema watakalo na hio sio misimamo ya Taifa zima. Hao wana uhuru sawa tu na hao "baadhi" ya Madaktari wa Kikatoliki

Msimamo wa Serikali ambao umesemwa mara kadhaa ni kusubiri kwanza (na kufuatilia) ili kuona chanjo ipi kati ya zile nne or so zinazopigiwa chapuo ipi imeonyesha matokeo chanya na hakuna reported cases za severe side effects.

Bahati nzuri wenzetu hapo jirani mmekubali kuwa "Guinea pigs" and we will surely learn from you!🙂.

BTW, are you still running those night curfews? bado mmefunga airports? bado mnatoa daily data za vifo na waliotest positive?
 
Assume basi hawajapinga na wame “accept” ila wamesema hiyo kitu ni unnecessary na vaccination campaign might be having suspected motives.

Will you encourage your relatives to undergo something being suspected by some learned medical doctors?

Basically wapo sahihi. No one knows for sure hiyo vaccine inamprotect mtu kwa siku/wiki/miezi/miaka mingapi kabla hajawa exposed tena. Hakuna mwenye uhakika kama kuna/hakuna long term negative health effects baada ya kudungwa hiyo kitu.

Countries especially of mature economies rush to give jabs to their people. But in spite of all these efforts, those countries (and world at large) are still far from being net of pandemic.

What spikes my mind is, even if you have received the jabs you have to take precautions as a person who have never received the injection.

Precautions taken before to receive jabs are equal to precautions that will be taken after receiving jabs.

People are right to worry if these vaccines are not placebos.
 
Mnachekesha sana kwa namna kila mmoja kwenu anatoa tamko lake, mumechanganyikiwa mpaka mnaonekana majuha kwa kweli. Sasa wewe nawe umeongeza kwa aina ya matamko na kauli tofauti mnazotoa, hiyo yako ya kusubiri Wakenya kwanza nimeiskia leo. Nikiorodhesha kauli zenu tofauti kwenye hili janga la corona nitajaza server za watu bure.....
Mjinga wewe, ndio maana mnongozwa na mlevi.hata hawajui wanataka Nini.wewe nyumbu unata mawazo ya aina moja

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mpaka sasa Wamarekani wamechanjwa 82M, duniani kila taifa lipo mbioni kuhakikisha watu wake wanachanjwa, nyie hapo ndio mumeganda kukalia matamko ya viongozi wenu ambao wapo radhi kuwatoa kafara, kanisa ambalo viongozi wenu wanasema ndio dawa ya corona kwa maombi limetangaza vifo vya watawa na viongozi, yaani mnatia huruma.
Msubiri muone mkitengwa na dunia maana hata kwenda hijja kwa waislamu wenu imetangazwa lazima chanjo kwanza.

Hii chanjo hatujaagiza kama mlivyofanya vile vioja vyenu vya Madagascar, binafsi nasubiri siku watangaze tupange foleni kwenda kudungwa, nitakua wa kwanza kuifuata.
Baadhi ya wataalam wetu kusema sio necessary, hiyo ni kweli sio lazima kwa kila mtu, kunao baadhi yetu hatuihitaji, miili yetu inapigana na corona yenyewe na kuna uwezekano labda mimi hapa nimeumwa corona na kupona bila kujua, ila sitokaa kijinga jinga kama chanjo itakua tayari kwa wote, nakwenda kudungwa moja kwa moja.
Tunasubiri wakiacha kufa.kwa wanaohitaji watachanja.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mpaka sasa Wamarekani wamechanjwa 82M, duniani kila taifa lipo mbioni kuhakikisha watu wake wanachanjwa, nyie hapo ndio mumeganda kukalia matamko ya viongozi wenu ambao wapo radhi kuwatoa kafara, kanisa ambalo viongozi wenu wanasema ndio dawa ya corona kwa maombi limetangaza vifo vya watawa na viongozi, yaani mnatia huruma.
Msubiri muone mkitengwa na dunia maana hata kwenda hijja kwa waislamu wenu imetangazwa lazima chanjo kwanza.

Hii chanjo hatujaagiza kama mlivyofanya vile vioja vyenu vya Madagascar, binafsi nasubiri siku watangaze tupange foleni kwenda kudungwa, nitakua wa kwanza kuifuata.
Baadhi ya wataalam wetu kusema sio necessary, hiyo ni kweli sio lazima kwa kila mtu, kunao baadhi yetu hatuihitaji, miili yetu inapigana na corona yenyewe na kuna uwezekano labda mimi hapa nimeumwa corona na kupona bila kujua, ila sitokaa kijinga jinga kama chanjo itakua tayari kwa wote, nakwenda kudungwa moja kwa moja.
Vyuo na mashule yapo wazi wazazi wako peaceful.corona inazidishwa chumvi ipo hatuweziruhusu ziharibu mfumo wa maisha.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mpaka sasa Wamarekani wamechanjwa 82M, duniani kila taifa lipo mbioni kuhakikisha watu wake wanachanjwa, nyie hapo ndio mumeganda kukalia matamko ya viongozi wenu ambao wapo radhi kuwatoa kafara, kanisa ambalo viongozi wenu wanasema ndio dawa ya corona kwa maombi limetangaza vifo vya watawa na viongozi, yaani mnatia huruma.
Msubiri muone mkitengwa na dunia maana hata kwenda hijja kwa waislamu wenu imetangazwa lazima chanjo kwanza.

Hii chanjo hatujaagiza kama mlivyofanya vile vioja vyenu vya Madagascar, binafsi nasubiri siku watangaze tupange foleni kwenda kudungwa, nitakua wa kwanza kuifuata.
Baadhi ya wataalam wetu kusema sio necessary, hiyo ni kweli sio lazima kwa kila mtu, kunao baadhi yetu hatuihitaji, miili yetu inapigana na corona yenyewe na kuna uwezekano labda mimi hapa nimeumwa corona na kupona bila kujua, ila sitokaa kijinga jinga kama chanjo itakua tayari kwa wote, nakwenda kudungwa moja kwa moja.
Mkionaje fungeni mpaka

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kingereza kingereza kingereza, wapi imetajwa hapo kwamba wamepinga chanjo.....kwa hivyo kwako wewe neno "unnecessary" lina maana wamepinga.
Jameni kingereza kinawatesa sana nyie watu...hehehe hadi raha.
Endeleeni kutoa watu wenu kafara huko kwa ujuha wenu huo wa sijui mara mfukize mara mnywe matangawizi na malimau mara muombe mara mpime kondoo na mbuzi.....ujuha uliokubuhu.
wewe ndio hujui tutolee upuuzi wako
 
Upo misinformed. Ni baadhi tu ya viongozi wanaosema watu waombe kwa Mungu wao ili awaondolee hili baa. Hao wanaotoa hayo mawazo wana haki zao za kusema watakalo na hio sio misimamo ya Taifa zima. Hao wana uhuru sawa tu na hao "baadhi" ya Madaktari wa Kikatoliki

Msimamo wa Serikali ambao umesemwa mara kadhaa ni kusubiri kwanza (na kufuatilia) ili kuona chanjo ipi kati ya zile nne or so zinazopigiwa chapuo ipi imeonyesha matokeo chanya na hakuna reported cases za severe side effects.

Bahati nzuri wenzetu hapo jirani mmekubali kuwa "Guinea pigs" and we will surely learn from you!🙂.

BTW, are you still running those night curfews? bado mmefunga airports? bado mnatoa daily data za vifo na waliotest positive?

Wacha utani bana, rais wa nchi sio "baadhi ya viongozi", kila anachokisema kinawakilisha sura ya taifa, ofisi yake ni taasisi, humo ndio nguzo la taifa, akiyumba taifa linayumba, matamko yake yote ndio huchukuliwa kama taarifa kamili. Rais akiwa kituko na nyie wote mnaonekana maboya, kwa hivyo hauwezi ukamsema yeye ni baadhi ya viongozi.

Kwa hili la corona huwa mumechanganyikiwa na kupoteana, kwa kweli mnaonwa kama kituko fulani hivi, hebu ona hizi kauli za "number one" wenu....Haifahamiki kama mnayo, iliwahi kuwa, haipo, itawahi kuwa, ipo chache, ipo ya ajabu...pamoja na matamko mengine mengi tu...

2676834_20210127_1326562.jpg
 
Back
Top Bottom