Umoja wa mataifa na namba 666

Kusdma kwamba hivi karibuni tutashuhudia tukiwa na Taifa moja na Dini moja huo ni uongo, Ni Karne zijazo huko wakati huo Waislam na Wasabato wawe wameuawa wote labda, Maana hawa ndio wanatuchelewesha.
Kama hujui basi fatilia dini moja imeshaundwa , usisubiri kuna siku utatangaziwa dini ni hii na siku ni hii, shetani ni geneus anaendesha mambo kwa siri , na anatumia mfumo wa pyramid , wanaoungana ni viongoz wa juu wa juu wa madhehebu na dini zote duniani sio uislamu au usabato, au uhindu wote wsmeshaungana, huku chini waumini mnaletewa tu mafundisho kupitia vijitabu vya kanuni za kanisa, misale , tijara, katekisimu, n.k

Pope Francis and Grand Imam of al-Azhar Sheikh Ahmed al-Tayeb signing a document on fighting extremism, during an inter-religious meeting. (REUTERS/Tony Gentile)

Tunajua kwamba ulimwengu wote hatimaye tutakuwa chini ya dini na serikali moja kama anavyosema Padre Malachi Martin wa kanisa Katoliki katika kitabu chake kiitwacho “The Keys of this blood”,
anasema “He is as determined to be world ruler as was Constatine in his day.” p. 49.

Akimaanisha kwamba Papa wa kanisa Katoliki atakuwa kiongozi wa dunia nzima kama
alivyokuwa Constatine wakati wake. Hili pia linathibitishwa na Mungu kama
tunavyosoma kwamba “….akapewa uwezo juu ya kila kabila na jamaa na lugha na
taifa.” Ufunuo 13:7.


Wale watakaokataa kutawaliwa na mnyama huyo watakabiliwa na
kifo maana tayari sheria imetungwa katika mahaka ya kimataifa inayoitwa “The Rome
statute of International Criminal Court.”


Hebu tumsikilize mkuu wa shirika la Jesuits anavyosema:
“See, sir, from this Chamber, I govern, not only to Paris, but to China; not only to China,
but to all the world, without anyone knowing how i do it.” (Tamburini, General of the
Jesuits.)

Yeye anasema kwamba “kutoka ndani ya ofisi hii, ninatawala, sio tu hata Paris, bali
hadi China, sio tu hadi China bali katika ulimwengu wote, bila mtu yeyote kujua jinsi
ninavyofanya.”


HII NI VITA YA KIROHO SIO KIMWILI , HIVO MNASUBIRI MAMBO YAENDE WAZIWAZI, MTAJIKUTA MMESHAPOKEA ALAMA YA MNYAMA

Ili kufanikiwa katika malengo yao ya kuitawala dunia kupitia Dini, uchumi, siasa na Ajira/kazi, Illuminati walifanikiwa kuanzisha taasisi za Kidini, kiuchumi, kisiasa na kazi na ajira, zote hizo zikiwa zinafanya kazi kwa mwongozo wa Illuminati. Katika taasisi za kidini tunakuta Baraza la Umoja wa makanisa ulimwenguni (World Council of Churches) ambalo lilianzishwa na Illuminati kwa makusudi ya kuunganisha dini zote za Kikristo na kutengeneza “Mnara wa Babeli” wa kiroho.

Tayari kuna makanisa mengi ambayo yamejiunga kwenye umoja huo. Wengi hawajui kama umoja huo uko chini ya chama cha siri cha Illuminati ambacho kina siri kubwa sana katika kutawala dini na dunia kwa ujumla.

Ukitaka kujua kama kanisa lako ni mwanachama wa Baraza hilo unaweza kutembelea mtandao wa Baraza hilo kwenye World Council of Churches

Ieleweke kwamba WCC ina vitengo kama Christian World Communion, Global Christian Forum, nk. ambapo kanisa linaweza lisiwe member wa WCC moja kwa moja ila likawa member wa vitengo vilivyo chini ya WCC.
 
Hizi nguvu tungezipeleka shambani tungekuwa mbali.
Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa (alama) katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake, yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji.”
Ufu. 14:9-10.
 
Sasa wakiwepo shida iko wapi?
Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa (alama) katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake, yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji.”
Ufu. 14:9-10.
 
Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa (alama) katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake, yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji.”
Ufu. 14:9-10.
Mna misinterprete maandiko. Biblia story zetu inakuzungumzia wewe tu
 
Fikra zako tu
 
Wale wanaoipinga Biblia wajitokeze
 
Kwa taarifa ya Wana JF hiyo picha hapo juu ilichukuliwa mwaka 2005 wakati wa maathimisho ya miaka 60 ya UN. Si sahihi kuihususha na 666. Kiuhalisi ni kwamba Ile nembo ya UN imewekwa kama duara kuonedha hiyo tarakimu 0.

Jibu hili hapa.
 
Jibu hili hapa.
Unapaswa kujua kanuni tatu ( 3) muhimu ambazo ndizo msingi wa freemason/illuminati:

1)Thesis x Antithesis = Synthesis;

2) Hesabu na namba za freemason; na

3)Alama na ishara za freemason.

Huwezi kuelezea freemason kwa ufasaha kama hutazingatia kanuni hizo tatu. ‘Thesis x Antithesis = Synthesis’ ndiyo kanuni inayotawala kwa freemason na kutekelezeka kwake kunategemea hesabu na namba pamoja na alama na ishara za freemason. Kwa nini wanatumia kanuni ya alama na ishara? wanasema “By symbols…is a man guided and commanded… ” wakimaanisha
kuwa “watu huamrishwa na kuongozwa kwa kutumia alama”
.

Ndio maana hata waumini wengi wanaongozwa kwa kutumia alama ama ya nyota ya pentagram, jua, mwezi au msalaba. Kwa nini wanatumia kanuni ya namba? Kwa sababu “Occultists Worship
Numbers and numbers have power”
. Hivyo kama umepungukiwa na moja ya kanuni hizo
ni wazi SIO KILA JAMBO UTAWEKEWA WAZI

HAPA CHINI NAKUPA MFNAO WA NEMBO YA KANISA LA PRESBYTERIAN YENYE MAANA YA WAZI NA ILIYOJIFICHA AMBAYO WAUMINI WABISHI NA WASIOSOMA HAWAELEWI




HII NDIO Thesis x Antithesis = Synthesis
 
SUBSCRIBED
 
Mkuu maelezo yote ya nini, namba 666 ni namba ya mpinga Krsito kadri ya maandiko, soma kitabu cha Daniel na Ufunuo.............sasa unapojaribu kuleta maelezo mareeeefu na manamba namba ndani yake unatafuta kuwachanganya au kuwapotosha watu.
Mbona mleta mada amefungua mabano vizuri tu wewe kama hujaelewa unapaswa kutulia na kuomba msaada ueleweshwe kwa namna itayokufaa zaidi kutokana na uelewa wako
 
Hayo ni makanuni ya upigaji!! ili mtawaliwe vizuri mnooo!!........mliwe mpaka mkome!!! ,,,,, sawa umesema vizuri kuwa ni alama ya mnyama basi yeye aendelee na unyama wake mie inanihusu nini kwani?,,,,nacho taka ni pesa tuu!

Naishi vizuri sirogi mtu!! sifitni mtu!
 
Mwenye ufahamu na aelewe na kuomba rehema na neema zake Mungu ili asije kukumbwa na hili balaa.
 
Mkuu maelezo yote ya nini, namba 666 ni namba ya mpinga Krsito kadri ya maandiko, soma kitabu cha Daniel na Ufunuo.............sasa unapojaribu kuleta maelezo mareeeefu na manamba namba ndani yake unatafuta kuwachanganya au kuwapotosha watu.
Mkuu! Hii ndiyo maana ya imani usiseme 100% kwamba ni mpinga kristo ILA baki kuamini hivyo. Hapa ndipo utaelewa kwanini ndani ya DINI moja kuna denominations nyingi. Kuna wengine watakuambia ni caesar nero, wengine watasema hao ni waislamu wengine watasema ni ellen g white wa adventist wengine watasema ni papa. Na hii ndiyo imani yenyewe cha muhimu ni kuamini ya kwako ni sahihi na ya mwengine ni sahihi pia
 
NDOIO MAANA KILA SIKU TUNAWAAMBIA WAVAA MAKOBAZI.

DINI YAO INAABUDU MWEZI MTUKUFU NA SI MUNGU MTUKUFU.

HAYA NDIO MA ANT CHRIST YENYEWE.
ROMAN + JESUIT + VATCAN + MOHAMED + SHETANI + JINI + MAPEPO = KITABU KILICHO SHUSHWA.
Islmic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…