Umoja wa Mataifa: Tunahofia sheria mpya ya uraia India, inabagua

Umoja wa Mataifa: Tunahofia sheria mpya ya uraia India, inabagua

Wahindi walio wengi waliokuwa waislamu walidai Nchi huru ya Pakistan

Pakistan na India zilikuwa Nchi moja kabla ya hapo

Baada ya kugawanywa kwa Nchi waislamu wengi walikuwa upande wa Pakistan

Waliobaki India wakawa wanabaguliwa na wahindu mpaka leo
Pakistan walio wengi ni Waislam.
 
Back
Top Bottom