Umoja wa Mataifa wakubaliana kumaliza UKIMWI ifikapo 2030

Umoja wa Mataifa wakubaliana kumaliza UKIMWI ifikapo 2030

Zinaa itaongezeka maradufu,

Ni heri dawa isipatikane ili watu waache uchafu.
 
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeidhinisha azimio la kisiasa, la kuyamaliza maradhi ya UKIMWI ifikapo mwaka 2030. Kulingana na azimio hilo wanachama wa baraza hilo kuu wameahidi kupunguza kiwango cha maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI hadi 370,000 na vifo vitokanavyo na UKIMWI hadi chini ya 250,000 kwa mwaka ifikapo mwaka 2025.

Mkurugenzi Mkuu wa Mpango wa pamoja wa Umoja wa Mataifa kuhusu UKIMWI, UNAIDS, Winnie Byanyima amesema bado mataifa mengi hayajafikia ahadi zao na kuonya janga la COVID-19 linaweza kuibua upya janga la UKIMWI. Mataifa wanachama yamekubaliana kulimaliza janga hilo kwa kuwafikia asilimia 95 wa watu wanaoishi na VVU, asilimia 95 ya usambazaji wa dawa za kufubaza makali ya VVU na asilimia 95 ya watu wenye virusi sugu dhidi ya dawa.

Hii ni habari mbaya sana kwa ile mipinga chanjo za Corona ambayo aghalabu ni suala la hiari.

Iliko hivi sasa itakuwa inatweta kwa hasira, miwakala miaminifu ya iziraeli mtoa roho za watu.

Roho za kimaskini tu.

Mshindwe na mtepete!
 
UN, dunia ikiwa serious wanaweza kabisa inaweza kulimaliza hili janga kabla ya 2030.

Angalia pesa na manpower zilizotumika, ushirikiano na campaign dunia nzima kuelimisha juu ya COVID-19. Ndani ya mwaka mmoja, chanjo zimepatikana.

Nguvu hiyo hiyo ikitumika Dunia inaweza kulitokomeza hili janga.
 
Zinaa itaongezeka maradufu,

Ni heri dawa isipatikane ili watu waache uchafu.

Ni vizuri ikipatikana. Tutaokoa watu wengi na þpesa zinatotumika kutibu wagonjwa,nguvu kazi inayopotea, itapunguza watoto yatima, familia nyingi kuvurugika.

Bado kutakuwa na magonjwa mengine mengi tu ya zinaa kwa wasiokuwa na tahadhari.
 
Ni vizuri ikipatikana. Tutaokoa watu wengi na þpesa zinatotumika kutibu wagonjwa,nguvu kazi inayopotea, itapunguza watoto yatima, familia nyingi kuvurugika.

Bado kutakuwa na magonjwa mengine mengi tu ya zinaa kwa wasiokuwa na tahadhari.
Hivi ushawahi soma mijadala ya mkuu wa kuitwa Deception? Kama bado nakushauri umsome kwanza, kuna link nimeweka post #32.
 
Zinaa itaongezeka maradufu,

Ni heri dawa isipatikane ili watu waache uchafu.
Kwa hiyo unaamini kabisa kuwa majanga huwafanya watu waache maovu? Basi dunia ingeshakuwa na watakatifu kila kona na dhambi ingekuwa historia.

Tatizo sio majanga. Tatizo ni moyo wa mtu. Na haubadilishwi kwa matisho wala majanga.

Inabidi Mungu mwenyewe aufanyie operation ndio mtu anabadilika.

Yeremia 17:9
"Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?"

Yakobo 1:13 - 15
"Mtu ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu.

Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti"

Na dawa ni Yesu pekee, hakuna nyingine

Wakolosai 1:12 -15
"...mkimshukuru Baba, aliyewastahilisha kupokea sehemu ya urithi wa watakatifu katika nuru. Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake;

ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi; naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote"
 
Huyu ashukuriwe
Alinifanya niipate raha ya dunia kwa kuniifanya niachane na matumizi ya condom kisa ukimwi
Tangu hapo napeta tu kavu kavu nyama kwa nyama mtelezo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sisi tunaokaa na waathirika tumeona mengi maana waliumwa nusu ya kufa Arvs ndo zilikuwa mkombozi wao, mwingine tumezika tayari ila aliyebaki kila Leo kinga zipo chini, tumejitahidi chakula kizuri lakini wapi nadhani huu ugonjwa huwa unacheza na group LA damu la mtu
 
Walikwenda kijijini kufundisha watu jinsi ya kuvaa kondom, ikawa muelekezaji anavaa kondom kidole cha kati huku akisema ukitaka kulala na mama kwanza fanya hivi,
Baada ya miezi sita katika ufuatiliaji wao wakagundua kuna nyumba moja mwanamke
Ni mja mzito, wakamuuluza mumewe kwani hukufuata maelezo yetu? Mume akajibu kuwa hakuna siku ambayo sikufuata katika hii miezi sita, wakamuuliza ulikua unafanyeje? Akasema kila siku nikilala na wife ni lazima nivae kondom kidole cha kati,
Kumbe jamaa alielewa kama walivyoeleza
Anavaa kidoleni anapiga vitu,
Hapo ndio nikagundua lengo lao ni kuzuia watu wasizaliane
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii si biashara ya watu, wameridhika kwakwel
tunakoseshana utamu kijinga kisa hili gojwa bora lieshe tu.
maisha yamekua ya mashaka sn ukiuza mechi sehemu zisizo rasmi.
Kweli mkuu yaani ukipiga shoo ya kavu kavu tuu, hofu inatanda miezi kadhaa
 
Back
Top Bottom