Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Bado umoja wa East Afrika akina Ruto na KagameZa ndani kabisa, Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchi, amempigia simu Tundu Lissu na amemtakia kila lililo la kheri kwenye Uchaguzi Mkuu wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama keshokutwa.
Amini mimi ndugu yangu.Wazee wa fununu kazini, eti za ndani🤣🤣 Mkuu ulibahatika kuisikia hyo simu kutoka umoja wa ulaya? Huu uchaguzi kuna watu mtaachwa na stroke msipokua makini, mihemko imewazidi. Wajumbe wanawachora tuu wanangoja 21.01 wale kichwa
Aisee 😯Za ndani kabisa, Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini, amempigia simu Tundu Lissu na amemtakia kila lililo la kheri kwenye Uchaguzi Mkuu wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama keshokutwa.
SafiZa ndani kabisa, Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini, amempigia simu Tundu Lissu na amemtakia kila lililo la kheri kwenye Uchaguzi Mkuu wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama keshokutwa.
SahihiLissu ndo ana nia ya kweli ya kutuvusha