Umoja wa Ulaya na wenyewe unajiandaa kupitia upya sera ya miasada wanayotoa

Umoja wa Ulaya na wenyewe unajiandaa kupitia upya sera ya miasada wanayotoa

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Umoja wa Ulaya (EU) unatarajia kufanya mapitio ya mpango wake wa misaada ya kigeni ili kuendana na maslahi yake ya kisiasa huku ikikabiliwa na changamoto za bajeti, ongezeko la gharama za ulinzi, na tishio la ushuru kutoka Marekani, kulingana na ripoti ya Bloomberg.

Hatua hii inafuatia uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, kusitisha sehemu kubwa ya msaada wa kigeni wa Marekani akidai kuwepo kwa ufisadi na matumizi mabaya ya fedha ndani ya USAID. Sasa msaada huo unakaguliwa kwa miezi mitatu ili kuhakikisha unaendana na maslahi ya Marekani.

Kwa upande wa EU, Tume ya Ulaya (EC) inatafakari kubadilisha mkakati wa misaada yake ya nje, ikilenga kutumia misaada hiyo kuimarisha maslahi yake ya kimkakati, kujenga ushirikiano thabiti, na kuhakikisha upatikanaji wa malighafi muhimu, Bloomberg iliripoti.

EU ni mtoa msaada mkubwa zaidi duniani, ikiwa ilitumia karibu euro bilioni 96 mwaka 2023. Sehemu kubwa ya misaada hiyo imeelekezwa Kiev tangu mzozo wa Ukraine ulipoanza mwaka 2022, ambapo jumla ya msaada wa EU kwa Ukraine sasa unakaribia dola bilioni 145.

Hata hivyo, baadhi ya nchi wanachama kama Slovakia na Hungary zimeacha kutoa msaada wa kijeshi kwa Ukraine na zinataka misaada zaidi kuelekezwa kwenye masuala ya ndani.

Ursula.png

=====================================

The decision follows US President Donald Trump's move to freeze most American foreign aid, citing corruption and uncontrolled spending within USAID - Washington's primary tool for funneling political funding abroad. The bulk of US assistance is currently under a three-month review to ensure it "aligns with American interests."

Amid concerns over its increasingly stretched budget and competing priorities such as the Ukraine conflict, the European Commission (EC) is also looking to restructure its external aid program, Bloomberg reported on Monday, citing an internal draft document.

The bloc aims to take a more transactional approach to aid, using it to "secure strategic interests," strengthen alliances, and ensure access to critical raw materials while maintaining its reputation as a "reliable partner," the newspaper wrote.

The EU is collectively the world's largest provider of foreign aid, spending nearly 96 billion ($99 billion) in 2023, according to an EC report from last year. A significant portion of this aid has been directed to Kiev since the escalation of the Ukraine conflict in 2022, with total EU contributions now nearing $145 billion, according to the EC.

Several EU member states, including Slovakia and Hungary, have halted military aid to Kiev and called for redirecting further Ukraine-related assistance toward domestic concerns.

Source: Big News Network
 

Attachments

  • Screenshot_20250211_072358_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_20250211_072358_com.android.chrome.jpg
    251.9 KB · Views: 3
  • Trump.png
    Trump.png
    281.2 KB · Views: 3
View attachment 3232777

EU to mimic Trump’s approach to foreign aid – Bloomberg​

The bloc will reportedly revamp its multi-billion-euro program to secure “strategic interests”
EU to mimic Trump’s approach to foreign aid – Bloomberg

FILE PHOTO: A humanitarian aid shipment provided by the EU at the Beirut International Airport, Lebanon, October 15, 2024 © Getty Images / Fadel Itani/NurPhoto

The EU will review its multi-billion-euro foreign aid program to better align with its own policy interests amid budgetary constraints, rising defense expenditures, and the looming threat of US tariffs, Bloomberg has revealed.

The decision follows US President Donald Trump’s move to freeze most American foreign aid, citing corruption and uncontrolled spending within USAID – Washington’s primary tool for funneling political funding abroad. The bulk of US assistance is currently under a three-month review to ensure it “aligns with American interests.”

Amid concerns over its increasingly stretched budget and competing priorities such as the Ukraine conflict, the European Commission (EC) is also looking to restructure its external aid program, Bloomberg reported on Monday, citing an internal draft document.

The bloc aims to take a more transactional approach to aid, using it to “secure strategic interests,” strengthen alliances, and ensure access to critical raw materials while maintaining its reputation as a “reliable partner,” the newspaper wrote.

USAID corruption at ‘unexplainable’ level – Trump
USAID corruption at ‘unexplainable’ level – Trump
READ MORE: USAID corruption at ‘unexplainable’ level – Trump

The EU is collectively the world’s largest provider of foreign aid, spending nearly €96 billion ($99 billion) in 2023, according to an EC report from last year. A significant portion of this aid has been directed to Kiev since the escalation of the Ukraine conflict in 2022, with total EU contributions now nearing $145 billion, according to the EC.

Several EU member states, including Slovakia and Hungary, have halted military aid to Kiev and called for redirecting further Ukraine-related assistance toward domestic concerns.

According to Bloomberg, the EU will present proposals for restructuring its foreign aid program in the coming weeks, with a focus on fine-tuning its seven-year budget for the period from 2028 to 2034. Competing with the US and China as a leading global donor, the EU seeks to expand its influence in resource-rich regions such as Africa and South America, the newspaper said.

Zelensky admits Ukraine doesn’t control rare-earths Trump wants
Zelensky admits Ukraine doesn’t control rare-earths Trump wants
READ MORE: Zelensky admits Ukraine doesn’t control rare-earths Trump wants

Earlier this month, Trump suggested that Kiev should grant Washington access to rare-earth metal deposits in exchange for continued US aid, arguing that it would serve as a “guarantee” of returns on American investments. The US president has also repeatedly pressed NATO’s European members to increase their defense spending and has threatened tariffs that could impact key European metal exports.

Russian President Vladimir Putin has cited the protection of people in Donbass as a key reason for launching the military operation in Ukraine. Resources in these territories play a major role in NATO member states’ support for Kiev, Russian Foreign Minister Sergey Lavrov said in October 2024. “Their discourse revolves around territory and resources that they require in America,” he said. “Our concern is not territories, but people.”
Kumekucha
 
Sasa kina Samia wanaotegemea nusu na robo ya budget ya taifa itoke kwenye misaada si ndio wataanza kututoza mpaka kodi ya kuzagamuana.

Tujiandae na tozo mpya na fine mpya za makosa ili tu kufidia misaada watakayoikosa.

Kama namuona Mwigulu na tai yake ya bendera akikuna bichwa kuvumbua tozo mpya.
 
Nchi za Afrika zina mali za kutosha ila viongozi wao ndio wamekua madarali wa Nchi za Ulaya kutengeneza vita kila kukicha na wengine kuomba mikopo isiyokua na kichwa wala miguu ukiuliza imefanya nini haupati jibu naona wafute tu hiyo misaada ili tuweze kujitegemea wenyewe.
 
Back
Top Bottom