Umoja wa Ulaya na wenyewe unajiandaa kupitia upya sera ya miasada wanayotoa

Umoja wa Ulaya na wenyewe unajiandaa kupitia upya sera ya miasada wanayotoa

Umoja wa Ulaya (EU) unatarajia kufanya mapitio ya mpango wake wa misaada ya kigeni ili kuendana na maslahi yake ya kisiasa huku ikikabiliwa na changamoto za bajeti, ongezeko la gharama za ulinzi, na tishio la ushuru kutoka Marekani, kulingana na ripoti ya Bloomberg.

Hatua hii inafuatia uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, kusitisha sehemu kubwa ya msaada wa kigeni wa Marekani akidai kuwepo kwa ufisadi na matumizi mabaya ya fedha ndani ya USAID. Sasa msaada huo unakaguliwa kwa miezi mitatu ili kuhakikisha unaendana na maslahi ya Marekani.

Kwa upande wa EU, Tume ya Ulaya (EC) inatafakari kubadilisha mkakati wa misaada yake ya nje, ikilenga kutumia misaada hiyo kuimarisha maslahi yake ya kimkakati, kujenga ushirikiano thabiti, na kuhakikisha upatikanaji wa malighafi muhimu, Bloomberg iliripoti.

EU ni mtoa msaada mkubwa zaidi duniani, ikiwa ilitumia karibu euro bilioni 96 mwaka 2023. Sehemu kubwa ya misaada hiyo imeelekezwa Kiev tangu mzozo wa Ukraine ulipoanza mwaka 2022, ambapo jumla ya msaada wa EU kwa Ukraine sasa unakaribia dola bilioni 145.

Hata hivyo, baadhi ya nchi wanachama kama Slovakia na Hungary zimeacha kutoa msaada wa kijeshi kwa Ukraine na zinataka misaada zaidi kuelekezwa kwenye masuala ya ndani.


=====================================

The decision follows US President Donald Trump's move to freeze most American foreign aid, citing corruption and uncontrolled spending within USAID - Washington's primary tool for funneling political funding abroad. The bulk of US assistance is currently under a three-month review to ensure it "aligns with American interests."

Amid concerns over its increasingly stretched budget and competing priorities such as the Ukraine conflict, the European Commission (EC) is also looking to restructure its external aid program, Bloomberg reported on Monday, citing an internal draft document.

The bloc aims to take a more transactional approach to aid, using it to "secure strategic interests," strengthen alliances, and ensure access to critical raw materials while maintaining its reputation as a "reliable partner," the newspaper wrote.

The EU is collectively the world's largest provider of foreign aid, spending nearly 96 billion ($99 billion) in 2023, according to an EC report from last year. A significant portion of this aid has been directed to Kiev since the escalation of the Ukraine conflict in 2022, with total EU contributions now nearing $145 billion, according to the EC.

Several EU member states, including Slovakia and Hungary, have halted military aid to Kiev and called for redirecting further Ukraine-related assistance toward domestic concerns.

Source: Big News Network
Hii ni habari njema.
 
Hii inatisha sana, watu walitegemea maisha yao kwenda kupitia hii, Leo hii watapata wapi mshahara.
Pamoja na hayo kuna waathirika wengi wanaenda kuumia mkuu kama:-
1. Wategemezi wa watumishi.
2. Walio tenda kufanya services za magari kama Toyota, Nduvini and ect.
3. Wamiliki wa hotels ambao walikua wameingia mikataba na mashirika husika.
4. Wafanya biashara na waandaaji wa vyakula/ hafla na vikao.
5. Mzunguko wa pesa uliokuwepo maeneo husika utashuka sana.
6. Watoto wa watumishi wanaenda kupata mkanganyiko wa kuhamishwa mashuleni nakadhalika.
7. Wafaidika wa misaada ya kijamii kama wenye maambukizi ya HIV, Mama na Mtoto, Tohara, Mdomo sungura, Mguu kifundo and ect wanaenda kukosa misaada ama hata kufa kwa kukosa mahitaji ya muhimu.
Hapo ni kwauchache mkuu, list ni ndefu mno...
 
Niliuliza swali kwenye thread kwamba serikali imejipanga vipi, naona Kuna namna moderators hua wanafanya thread isomwe na watu wachache nafikiri Wana hio system, Sasa sjui na wao ni wanufaika wa hii misaada kwamba wamechukia ama vipi
Hii serikali Haina mpango wowote kwa sasa. Kipaumbele kwao ni uchaguzi tu. Hukuona yule mkuu wa wilaya aliyepata ajali kwenda kumpokea m/mwenyekiti!
 
Pamoja na hayo kuna waathirika wengi wanaenda kuumia mkuu kama:-
1. Wategemezi wa watumishi.
2. Walio tenda kufanya services za magari kama Toyota, Nduvini and ect.
3. Wamiliki wa hotels ambao walikua wameingia mikataba na mashirika husika.
4. Wafanya biashara na waandaaji wa vyakula/ hafla na vikao.
5. Mzunguko wa pesa uliokuwepo maeneo husika utashuka sana.
6. Watoto wa watumishi wanaenda kupata mkanganyiko wa kuhamishwa mashuleni nakadhalika.
7. Wafaidika wa misaada ya kijamii kama wenye maambukizi ya HIV, Mama na Mtoto, Tohara, Mdomo sungura, Mguu kifundo and ect wanaenda kukosa misaada ama hata kufa kwa kukosa mahitaji ya muhimu.
Hapo ni kwauchache mkuu, list ni ndefu mno...
Kabisa
 
Pamoja na hayo kuna waathirika wengi wanaenda kuumia mkuu kama:-
1. Wategemezi wa watumishi.
2. Walio tenda kufanya services za magari kama Toyota, Nduvini and ect.
3. Wamiliki wa hotels ambao walikua wameingia mikataba na mashirika husika.
4. Wafanya biashara na waandaaji wa vyakula/ hafla na vikao.
5. Mzunguko wa pesa uliokuwepo maeneo husika utashuka sana.
6. Watoto wa watumishi wanaenda kupata mkanganyiko wa kuhamishwa mashuleni nakadhalika.
7. Wafaidika wa misaada ya kijamii kama wenye maambukizi ya HIV, Mama na Mtoto, Tohara, Mdomo sungura, Mguu kifundo and ect wanaenda kukosa misaada ama hata kufa kwa kukosa mahitaji ya muhimu.
Hapo ni kwauchache mkuu, list ni ndefu mno...
Duh! Hili ni janga kweli kweli, Mungu atusaidie katika hili, maeneo mengi Sana yanaguswa
 
Njiti moja ya Kiberiti huweza kuunguza ekari milioni 20 Kwa sekunde.

Alianza Trump, sasa EU

Baadaye hadi China na Urusi watafanya hayo

Marehemu JPM aliwahi kusema, hatuna Mjomba Wala shangazi wa kutuletea fedha za Bure

Let's focus kujenga mazoea ya Kujitegemea

Nakumbuka maneno ya rais wa Ufaransa mheshimiwa Emmanuel Macron :
1739400927221.jpeg



View: https://m.youtube.com/watch?v=IMhp8uPW3og
 
Pamoja na hayo kuna waathirika wengi wanaenda kuumia mkuu kama:-
1. Wategemezi wa watumishi.
2. Walio tenda kufanya services za magari kama Toyota, Nduvini and ect.
3. Wamiliki wa hotels ambao walikua wameingia mikataba na mashirika husika.
4. Wafanya biashara na waandaaji wa vyakula/ hafla na vikao.
5. Mzunguko wa pesa uliokuwepo maeneo husika utashuka sana.
6. Watoto wa watumishi wanaenda kupata mkanganyiko wa kuhamishwa mashuleni nakadhalika.
7. Wafaidika wa misaada ya kijamii kama wenye maambukizi ya HIV, Mama na Mtoto, Tohara, Mdomo sungura, Mguu kifundo and ect wanaenda kukosa misaada ama hata kufa kwa kukosa mahitaji ya muhimu.
Hapo ni kwauchache mkuu, list ni ndefu mno...
Hahaha "classmate" unawasiwasi tu, acha tujifunze nadharia ya kujitegemea. Mwalimu Nyerere alisema kujitegemea ndio ishara ya uhuru kamili, siyo hii yakutaka kuamuliwa baadhi ya mambo kwa kisingizio cha misaada.
 
Nakumbuka maneno ya rais wa Ufaransa mheshimiwa Emmanuel Macron :
View attachment 3234780


View: https://m.youtube.com/watch?v=IMhp8uPW3og

Kweli huu mwaka wetu 🙌

Ndiyo ile waswahili husema "Siku ya kufa nyani Kila mti huteleza"
 
Back
Top Bottom