Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Hujui unachoongea!Tozo Kwa wananchi ni upuuzi wanapaswa kupunguza matumizi ya serikali.
Austerity inaua uchumi! Baadaya recession ya Marekani ya 2008 sera za Obama za kuongeza public spending ndizo ziliinua uchumi uleni!
Spending cuts inanufaisha matajiri wakubwa tu! Sio kila unachokisikia ni sahiahi!