kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
haisaidii kuja na mdomo mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania pia ni wabobezi kwenye kujiteka, duu hili jibu la watu kujiteka na drama za kujiteka ni fikirishi mno linahitaji mjadala wa kitaifaView attachment 3092205
10 September 2024
Tamko la Pamoja la Mabalozi wa Umoja wa Ulaya, Ubalozi wa Uingereza, Canada, Norway na Uswisi kuhusu Matukio ya Hivi Karibuni Nchini Tanzania;
"Jumuiya ya Umoja wa Ulaya kwa makubaliano na Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Ubalozi wa Canada, Ubalozi wa Norway, Ubalozi wa Uswisi na Ubalozi wa Uingereza, unasikitishwa na taarifa za hivi karibuni za vitendo vya ukatili, kupotea kwa watu, na vifo vya wanaharakati wa kisiasa na haki za binadamu. Tunatoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi wa kina kuhusu matukio haya. Tunatoa pole kwa familia zote zilizoathiriwa.
Tunaihimiza serikali ya Tanzania kuhakikisha ulinzi wa upinzani, kama alivyoahidi Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kupitia mpango wake wa "4R", na kwa mamlaka kuchukua jukumu la kulinda haki za msingi za wananchi, ikiwa ni pamoja na uhuru wa kujieleza.
Tunakaribisha wito wa Rais wa kuanzisha uchunguzi wa haraka ili kubaini wahalifu waliohusika na kuhakikisha kuna uwajibikaji.
Tunatambua kwa wasiwasi mkubwa kwamba matukio haya ya hivi karibuni yanatishia misingi ya kidemokrasia na haki za wananchi wa Tanzania, katika nchi inayoheshimika kimataifa kwa amani na utulivu, na tunaungana na wito wa kulinda amani na utulivu wa nchi."
Soma Pia:
Watuletee FBI na MI6 ili hawa magaidi wakamatwe na kuwajibishwa ipasavyo.View attachment 3092205
10 September 2024
Tamko la Pamoja la Mabalozi wa Umoja wa Ulaya, Ubalozi wa Uingereza, Canada, Norway na Uswisi kuhusu Matukio ya Hivi Karibuni Nchini Tanzania;
"Jumuiya ya Umoja wa Ulaya kwa makubaliano na Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Ubalozi wa Canada, Ubalozi wa Norway, Ubalozi wa Uswisi na Ubalozi wa Uingereza, unasikitishwa na taarifa za hivi karibuni za vitendo vya ukatili, kupotea kwa watu, na vifo vya wanaharakati wa kisiasa na haki za binadamu. Tunatoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi wa kina kuhusu matukio haya. Tunatoa pole kwa familia zote zilizoathiriwa.
Tunaihimiza serikali ya Tanzania kuhakikisha ulinzi wa upinzani, kama alivyoahidi Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kupitia mpango wake wa "4R", na kwa mamlaka kuchukua jukumu la kulinda haki za msingi za wananchi, ikiwa ni pamoja na uhuru wa kujieleza.
Tunakaribisha wito wa Rais wa kuanzisha uchunguzi wa haraka ili kubaini wahalifu waliohusika na kuhakikisha kuna uwajibikaji.
Tunatambua kwa wasiwasi mkubwa kwamba matukio haya ya hivi karibuni yanatishia misingi ya kidemokrasia na haki za wananchi wa Tanzania, katika nchi inayoheshimika kimataifa kwa amani na utulivu, na tunaungana na wito wa kulinda amani na utulivu wa nchi."
Soma Pia:
Mama anaona 2025 hachomokiMungu Wabariki Wazungu
Wachina ndio nchi isiyo ma faida duniani.Wajomba zetu Wachina wasio na maslahi ya nchi yao nchini watoe tamko lao
Shujaa mbona alikua haendi kwao mbona hatukufa njaa?Wakitupiga blacklist tukaanza kupoteza mapato ya matalii pamoja na misaada ndipo tutapata akili
Huko hakuna kutekana isipokuwa kama ni kwa masuala ya kifamilia au kutaka ramson.Huko kwao hakuna kutekana
USSR
Kenge wewe!Hao hawana lolote wana masirahi ya nchi zao nchini, wana nyoonya rasilimali zotu hawawezi kuchukua hatua yoyote ya maana,
Magu alioagiza shambulio dhidi ya Tundu Lissu lichunguzwe haraka mpaka amekufa hakuna lolote na aliyekuwa IGP Sirro alipiga marufuku kuulizwa suala hilo.Samia si kishaagiza uchunguzi ufanyike haraka?!
Mkome kutembeza bakuli lenu kwao muone kama watasema kitu hata mkiamua kuchinjana mchana kweupe.Umoja wa Ulaya na Marekani wametoa Wito wa kutaka serikali yetu tukufu ianzishe mara moja uchunguzi wa kuwabaini watekaji wa wananchi pamoja na wanasiasa wa upinzani.
Tamko hili linakuja huku serikali yetu tukufu ikiwa imetolea ufafanuzi wa yanayoendelea nchini kuwa watu wengi wanaodaiwa kutekwa huwa wanajiteka na kujipoteza wenyewe.
Hata hivyo, kuna mahali mambo yanabumbuluka na hivyo kutuumbua.
Akiwa na masikitiko makubwa, Mwananchi #1 amelitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa kifo cha Kibao na kutoa taarifa kwake.
N.B: Watanzania halisi tuna hofu ya Mungu.
Hawa umoja wa ulaya inatakiwa wampige marufuku huyu kizimkazi kusafiri kwenda Nchi wanachama wa umoja wa ulaya vilevile wazuie watalii wao kuitembelea tz maana amani hakuna