Umoja wa Ulaya yaiamuru vikosi vya Rwanda na M23 kuondoka DRC Haraka bila masharti yoyote.

Umoja wa Ulaya yaiamuru vikosi vya Rwanda na M23 kuondoka DRC Haraka bila masharti yoyote.

Mateso chakubanga

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2021
Posts
587
Reaction score
800
Katika kikao kilichokaa jana tarehe 21.2.2025 na kilichojadili madhira na matatizo ya vita nchini DRC, umoja wa Ulaya umethibitisha rasmi kwamba vikosi vya Jeshi la Rwanda vinawasaidia wanamgambo wa M23 kufanya utekaji na mauaji nchi DRC hali inayopelekea kukosa utulivu katika eneo zima la maziwa Makuu, hivyo basi kwa azimio na kauli ya pamoja jana tarehe 21.2 .2025 kikao kilitaka Rwanda na wanamgambo wa M23 waondoke nchini DRC bila masharti yoyote.
 
Katika kikao kilichokaa jana tarehe 21.2.2025 na kilichojadili madhira na matatizo ya vita nchini DRC, umoja wa Ulaya umethibitisha rasmi kwamba vikosi vya Jeshi la Rwanda vinawasaidia wanamgambo wa M23 kufanya utekaji na mauaji nchi DRC hali inayopelekea kukosa utulivu katika eneo zima la maziwa Makuu, hivyo basi kwa azimio na kauli ya pamoja jana tarehe 21.2 .2025 kikao kilitaka Rwanda na wanamgambo wa M23 waondoke nchini DRC bila masharti yoyote.
Let us wait and see
 
Katika kikao kilichokaa jana tarehe 21.2.2025 na kilichojadili madhira na matatizo ya vita nchini DRC, umoja wa Ulaya umethibitisha rasmi kwamba vikosi vya Jeshi la Rwanda vinawasaidia wanamgambo wa M23 kufanya utekaji na mauaji nchi DRC hali inayopelekea kukosa utulivu katika eneo zima la maziwa Makuu, hivyo basi kwa azimio na kauli ya pamoja jana tarehe 21.2 .2025 kikao kilitaka Rwanda na wanamgambo wa M23 waondoke nchini DRC bila masharti yoyote.
Wamwambie pia ufaransa aache kumpa siraha huyo kenge
 
Katika kikao kilichokaa jana tarehe 21.2.2025 na kilichojadili madhira na matatizo ya vita nchini DRC, umoja wa Ulaya umethibitisha rasmi kwamba vikosi vya Jeshi la Rwanda vinawasaidia wanamgambo wa M23 kufanya utekaji na mauaji nchi DRC hali inayopelekea kukosa utulivu katika eneo zima la maziwa Makuu, hivyo basi kwa azimio na kauli ya pamoja jana tarehe 21.2 .2025 kikao kilitaka Rwanda na wanamgambo wa M23 waondoke nchini DRC bila masharti yoyote.
Thubutu,
Yaondoke yaende wapi?
 
Katika kikao kilichokaa jana tarehe 21.2.2025 na kilichojadili madhira na matatizo ya vita nchini DRC, umoja wa Ulaya umethibitisha rasmi kwamba vikosi vya Jeshi la Rwanda vinawasaidia wanamgambo wa M23 kufanya utekaji na mauaji nchi DRC hali inayopelekea kukosa utulivu katika eneo zima la maziwa Makuu, hivyo basi kwa azimio na kauli ya pamoja jana tarehe 21.2 .2025 kikao kilitaka Rwanda na wanamgambo wa M23 waondoke nchini DRC bila masharti yoyote.
Ulaya ipi? Gongolamboto ama kwa kwa Mtogole
 
Kwa hiyo umoja wa mataifa wanakubaliana na DRC kuwabagua jamii ya banyamulenge? Maana sababu ya vita kuendelea kuwepo congo ni ubaguzi wa serikali dhalimu ya DRC dhidi ya kabila la banyamulenge ambao ni wazaliwa wa Kongo.Hata kama Rwanda itaondoa wanajeshi wake lakini hii vita haitaisha.kama wanataka vita iishe basi waache kuwabagua banyamulenge Kwa kuwasingizia kuwa ni wanyarwanda wakati ukweli ni wacongo
 
Back
Top Bottom