Bila vikwazo vya silaha na pesa ....havitaondoka ng'o..Katika kikao kilichokaa jana tarehe 21.2.2025 na kilichojadili madhira na matatizo ya vita nchini DRC, umoja wa Ulaya umethibitisha rasmi kwamba vikosi vya Jeshi la Rwanda vinawasaidia wanamgambo wa M23 kufanya utekaji na mauaji nchi DRC hali inayopelekea kukosa utulivu katika eneo zima la maziwa Makuu, hivyo basi kwa azimio na kauli ya pamoja jana tarehe 21.2 .2025 kikao kilitaka Rwanda na wanamgambo wa M23 waondoke nchini DRC bila masharti yoyote.
Acha aendelee kuwaita kubwa jinga tuu coz anauhuru kusema chochote. Ila asisahai kwamba hao anaowaita kubwa jinga wangeamua kuwasha moto angeanza lalamika kwamba wanyamulenge wanauawa na UN, AU, EAC na SADC wakiwa wanaangalia.Katika afrika nzima hakuna watu strong kuzidi wakongoman hata Tyson Ni chimbuko la pale, so usiwaite kubwa jinga Bali mfumo wa nchi umeingiliwa na ma vairas tu kupelekea hali ile. Wanaoishi kigoma na kubahatika kukaa na wakongoman wanaelewa vizuri namna walivyo na nguvu mbwa wale.
Ya kilosaUlaya ipi? Gongolamboto ama kwa kwa Mtogole
FactSADC and EAC are paper tigers!
Europe yote hawawezi kung'ata mkono unaowalisha (Rwanda). Hizo ni propaganda kujikosha. Rwanda anawauzia madini Europe na USA.Wamwambie pia ufaransa aache kumpa siraha huyo kenge
Wanaotakiwa kutoka ni jeshi la Rwanda liliopo huko DrcSidhani kama watatoka, wakati wao ni wazaliwa wa Kongo,wapi waende sasa!!!,ngoma bado ni mbichi.