Pre GE2025 Umoja wa Vyama vya Siasa wapinga maandamano ya CHADEMA. Wanataka kutuharibia uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Pre GE2025 Umoja wa Vyama vya Siasa wapinga maandamano ya CHADEMA. Wanataka kutuharibia uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uwezo wao wa kuchuja mambo ni kama ule wa a e i o u... sijui shule gani hawa watu walipitia..Hivi tangu lini Raisi huwa hapingwi? ni wapi maandamano maana yake ni vurugu? hizo Vurugu zinafanywa na nani ? Na ni nani mwenye jukumu ka kuhakiskisha Vurugu hazipo? na huo utii ni utii wa namna gani, watu wanakufa halafu utii? really? give me a break - tafadharini- uhai wa mtu ni muhimu sana hata katika maandiko matakatifu... " Damu ya ndugu yako inanililia, yuko wapi"? Ghadhabu zake Muumba ni kubwa, acheni kumchokoza hapo kwenye kiti chake cha Enzi kabla hajawashukia kama mwewe...Muogopeni basi...
 
mnatia aibu na maandamano yen yasiyofanikiwa hata mkiachwa hakuna lolote la maana mnapata tuambie yaliyopita mlipata faida gani? haki haiombwi siyo kwa matembezi kama ya mshikamano fanyeni kama kenya kama mnaweza muone mnavyo nyukwa
Mkuu ni vile tu hujatekwa wala ndugu yako hata mmoja hajatekwa na kuuliwa. Kukaa kimnya nako ni busara, 'try to imagine' Mke/watoto wa Kibao majonzi waliyonayo kuondokewa na mpendwa wao kwa kifo cha ghafla. 'Demonstration' ipo kikatiba​
 
U
mnatia aibu na maandamano yen yasiyofanikiwa hata mkiachwa hakuna lolote la maana mnapata tuambie yaliyopita mlipata faida gani? haki haiombwi siyo kwa matembezi kama ya mshikamano fanyeni kama kenya kama mnaweza muone mnavyo nyukwa
Uzuri ni kwamba mti wenye matunda (chadema) ndio upigwao mawe (kutekwa) hivyo vyama vingine ni mamluki wachumia tumbo wa ccm.
 
Ni haki ya mtu na umoja wowote kuonesha msimamo wao, hongereni "umoja wa vyana vya siasa". Tena muungane zaidi kuvitaka vyombo vya usalama kuwakamata wanaotowesha amani kwa kuteka na kuuwa watu kwa sababu yoyote.
 
mnatia aibu na maandamano yen yasiyofanikiwa hata mkiachwa hakuna lolote la maana mnapata tuambie yaliyopita mlipata faida gani? haki haiombwi siyo kwa matembezi kama ya mshikamano fanyeni kama kenya kama mnaweza muone mnavyo nyukwa
Akili zako ni chache ndo maana huwezi kuelewa manufaa yaliyopatikana.
 
Wameongea pumba Sana Leo. Eti CHADEMA wanafanya maandamano ili kuzuia upelelezi. Hivi maandamano ya siku moja Yana uhusiano gani na upelelezi.
 
Huwezi kushindanisha sera wakati wewe ni mataka mrarajiwa.zuia kwanza utekaji Kisha mengine yatafuata.
 
Back
Top Bottom