Na kingine we jamaa, mitihani ya kuchagua ya utumishi wanaitunga kizembe sana hata usimamizi niwakizembe sana ila hata wao wanajisemea mkiangaliziana mtajijua a anaenda wew unabaki, pia wanaitunga kwa format inayowarahisishia kumaki, hata hivyo naelewa lengo la interview ni kutaka kumlable mtu anahatia yakufeli, ukitaka kujua hilo miaka 10 ijayo utakuta walimu mashoga, walawiti, manabii tito humo humo, wezi, wapiga wanafunzi mpka kufa, hivyo interview haikupi mtu sahihi kinachokupa mtu sahihi nikuanzia grassroot.