mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,773
- 2,183
Hawataki kuajiriwa hawa watu? Wenzao wako bench since 2016Unakielewa hata ulichokiandika? Umeangalia video? Unajua kauli ya umoja wowote ni ya nani? OOooh, CHADEMA ni wehu tu na umethibitisha.
Sasa furahi mnaenda kushinda urais wa JMT.Nina wadogo angu watatu wapo vyuo tofauti wamenihakikishia kuwa huko chuo hali ya ccm ni ngumu sana
Cdm ndiyo kila kitu kwa Watanzania woote
Sura nzuri lakini lingese!Kuna member mmoja alidai wanafunzi wote wanamuunga mkono Lissu, lakini ukweli wenyewe ni huu hapa.-
View attachment 1532928
Wanafunzi wametoa msimamo kuelekea uchaguzi Mkuu 2020, Msimamo wao ni kuwa wanaungana na watanzania wote wenye mapenzi mema kumuunga mkono Rais John Pombe Joseph Magufuli
KWani wewe ulijiandikisha ulipata uanachama wa mwaka ghafla? Wehu bwana, akili fupi sana.
UVCCM hao.Kuna member mmoja alidai wanafunzi wote wanamuunga mkono Lissu, lakini ukweli wenyewe ni huu hapa.-
View attachment 1532928
Wanafunzi wametoa msimamo kuelekea uchaguzi Mkuu 2020, Msimamo wao ni kuwa wanaungana na watanzania wote wenye mapenzi mema kumuunga mkono Rais John Pombe Joseph Magufuli
Na wewe unafikiri wote kwenye kikao hicho ni viongozi?
Kadi za kupiga kura Hamna ,hamkujiandikishwa,mnamuugaje Rais mkono?Kuna member mmoja alidai wanafunzi wote wanamuunga mkono Lissu, lakini ukweli wenyewe ni huu hapa.-
View attachment 1532928
Wanafunzi wametoa msimamo kuelekea uchaguzi Mkuu 2020, Msimamo wao ni kuwa wanaungana na watanzania wote wenye mapenzi mema kumuunga mkono Rais John Pombe Joseph Magufuli
Kakudanganya Nani kuwa kwa watanzania wote? Hapo unaminyana na wasioitaka saccos, wangekuwa watz wote ungetulia.Cdm ndiyo kila kitu kwa Watanzania woote
Wewe unafikiri karopoka tu mbele ya wanafunzi wote?Na wewe unafikiri kauli ya kiongozi huyo iliwakilisha msimamo wa wanafunzi wote!!
Maneno ya wehu.Hili lijamaa ni uvccm linajitekenya ili licheke
Kwa fikra zako unafikiri Lissu atawaajiri wote? Hakuna Rais wa kutatua ajira ila wananchi wenyewe kwa kuanzisha biashara na viwanda kama Mo Dewji. Watanzania lazima waelewe Ulaya watu wamesoma kuanzisha biashara na viwanda kuajiri wengine ndiyo maana wana nafasi zaidi za kazi, hata hivyo ajira bado ni finyu.Hawataki kuajiriwa hawa watu? Wenzao wako bench since 2016
Mnazidi kuthibitisha wehu wa wana Chadema.Delete ccm Oct 28
Wewe unafikiri karopoka tu mbele ya wanafunzi wote?
Unamaanisha yule anayelala kwenye mawe?Watampigia yule bingwa wa maigizo?