Mkuu huwa wanavizia sana,Akijaribu kuacha ata ganda la vocha iliyotumika, simwachagi hivi hivi.Lazima arudi na kila alichokuja nacho....sasa nyi mnaoachiwa hadi pichu mna roho ngumu sana...kwangu hata unywele haubaki!
Apo ndio inakuwaga mwisho wa mahusiano mkuu. Ainaga kuuliza tena apo unakuwa ushaelewa kwa kiota ulichoingia Kina mwenyewe. Wadada wa kazi sana katika dunia hii ya Leo, maana changamoto ya maisha na muda ina waasiri sana, ndio maana wanafanya ivyo na sio kama wanapendaHeheheh sasa kwamfano akikuuliza umeiweka wapi utamjibu nini??
Haha [emoji23] haha [emoji23] haha [emoji23] haha [emoji23] haha [emoji23] haha [emoji23] haha [emoji23]Mkuu huwa wanavizia sana,
yaani anaeza akasubiri umeenda toilet akaificha chini ya godoro
Dah, mpaka nimewaone huruma,Apo ndio inakuwaga mwisho wa mahusiano mkuu. Ainaga kuuliza tena apo unakuwa ushaelewa kwa kiota ulichoingia Kina mwenyewe. Wadada wa kazi sana katika dunia hii ya Leo, maana changamoto ya maisha na muda ina waasiri sana, ndio maana wanafanya ivyo na sio kama wanapenda
Acheni unafiki nyie! Mnashindwa nini kuwaambia live kuwa wasiache makorokoro yao? Hao wanaoacha makorokoro kwenu hawapo hapa. Kawaambieni live mnapokuwa nao.
Kijana Umenichekesha kweli na kunikumbusha mbali enzi hizo miaka za ujana 2000.Unaenda nyumbani kwa mpenzi wako kutembea, na
kwa mmomonyoko wa maadili wa siku hizi unalala
hukohuko japo hata ndoa hujaambiwa ipo au haipo,sio
neno...Unaondoka asubuhi unaacha Khanga... next
time unaacha pichu, tena nyuma ya mlango... next time
unaacha hereni.. Next time gagulo... Hivi hii tabia mmepewa na
mganga yuleyule au ni vipi?Unaacha vikorombwezo
as if hao watu
wana kabati special ku-accomodate
miguo yako kwao... Eti madai yenu mnaacha alama ili
incase akiingia mtu mwingine akute...Nimetumwa niseme
hili, wamechoka kuficha vifaa vyenu maana inabidi
wanunue mabegi maalum kuficha madude
mnayojifanya mmeyasahau, kumbe makusudi
tu, waone kwanza!, mwishowe haya magheto
yanakuwa kama ya muuza mtumba, Vibanio, pichu,pajama, khanga, lipshine ,mawigi,
mwishowe
rafiki zetu wanaweza kudhani tumekuwa mashoga
sasa....Au wazazi wetu waje ghafla wakute Girls'
items, SIO HESHIMA....njoo salimia, beba
mikanga yako nenda nayo kwenu, sisi sio wauza
urembo!
Ila ku..ma mnataka??Hahaaaaa STUNTER utawaua hawa dada zetu...waaache wapumzike kidogo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila mimi jana nimezitupa aseee mara night dress aaaaahhh sitaki ujinga mimi
Mwisho linageuka kuwa geto la mwanamkeUnaenda nyumbani kwa mpenzi wako kutembea, na
kwa mmomonyoko wa maadili wa siku hizi unalala
hukohuko japo hata ndoa hujaambiwa ipo au haipo,sio
neno...Unaondoka asubuhi unaacha Khanga... next
time unaacha pichu, tena nyuma ya mlango... next time
unaacha hereni.. Next time gagulo... Hivi hii tabia mmepewa na
mganga yuleyule au ni vipi?Unaacha vikorombwezo
as if hao watu
wana kabati special ku-accomodate
miguo yako kwao... Eti madai yenu mnaacha alama ili
incase akiingia mtu mwingine akute...Nimetumwa niseme
hili, wamechoka kuficha vifaa vyenu maana inabidi
wanunue mabegi maalum kuficha madude
mnayojifanya mmeyasahau, kumbe makusudi
tu, waone kwanza!, mwishowe haya magheto
yanakuwa kama ya muuza mtumba, Vibanio, pichu,pajama, khanga, lipshine ,mawigi,
mwishowe
rafiki zetu wanaweza kudhani tumekuwa mashoga
sasa....Au wazazi wetu waje ghafla wakute Girls'
items, SIO HESHIMA....njoo salimia, beba
mikanga yako nenda nayo kwenu, sisi sio wauza
urembo!
Hahahah, sipati picha kwamfano angetaka kuiwasha PC,Kijana Umenichekesha kweli na kunikumbusha mbali enzi hizo miaka za ujana 2000.
Niko getho ilala nikawa na kibinti kama ulivyoeleza kila akija anaacha kitu, sasa getho lenyewe chumba kimoja wacha siku mtarajiwa alikuja ghafla getho. Huwezi amini nilichukua zile nguo zilizoachwa na kibinti pakuficha hamna nikafungua desktop komputer nikazificha huko ndani kuua soo..that was my last and genious idea and it saved me..Yaani we acha tu..ha ha ha ha