Umoja Wa Wanaume Tunatoa Tamko Hili Kwa Wanawake Woote..!!

Sasa kuna wale wanaolazimisha kulala...anakuja saa 9 mnaenjoy hadi saa 11..akimaliza kuoga analala ukiamsha haamkiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha, tena hao ndio kiboko yao, yani usiombe wakukute
 
Wewe inaelekea ndio tabia yako hiyo kuacha acha vitu bila sababu ya msingi,
 
Hahahahahahahaha[emoji23] nmecheka ad nmeliaa uwwiiiii!!!stunter mekupenda bureeeee uctoe ata sh dala[emoji7]...
 
lakini wanakuokoa na janga la uzinzi tulia na demu mmoja mbona utafaidi tu piga style zote
 
Akijaribu kuacha ata ganda la vocha iliyotumika, simwachagi hivi hivi.Lazima arudi na kila alichokuja nacho....sasa nyie mnaoachiwa hadi pichu mna roho ngumu sana...kwangu hata unywele haubaki!
Umetisha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…