Umoja Wa Wanaume Tunatoa Tamko Hili Kwa Wanawake Woote..!!

Umoja Wa Wanaume Tunatoa Tamko Hili Kwa Wanawake Woote..!!

Ila mimi naona wanawake wanaoacha vitu vyao kwa wanaume wao huwa hata hawajiamini, ni kama ionekane wao ndio top hata kama ataingia mwingine afahamu kwamba mwenyewe yupo uwiii...sasa swali je? utafahamu vipi kama wewe ndiye utakayekuwa future mother house...ndio had uache makorokoro ndani kwa mwenzio?![emoji32], ushamba tu huo. Tusijishushe thamani hivyo tubadilike mi ni mwanamke lakin hiyo tabia ni mbaya unakuta mwingine kaacha mkitana wake mkubwa wa kuchania weaving/wigi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], chupi kwenye kona ya kitanda, sidiria au kanga daaah baadhi ya girls wako cheap sana aisee [emoji40][emoji40][emoji40] mwisho wa siku anaolewa mwingineeeeee [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126].
Khaaa, Huyo anaeacha hayo amvitu si bure anataka kuhamia kabisaaa sema anashindwa kusema
 
Hahaha..eti chupi kwenye kona ya kitanda...najaribu kuvuta picha wakija wa4 means kila kona itakuwa na chupi yake [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hahahaha utakuta Kona ile Bikini, kona hii Tight, kona ile g string hahahahahah
 
Yaana mtu anakuja kupafanya kwako kama store? aah! hiyo pichu nani afue? au iendelee kutema harufu ghetto?...tuacheni ushirikina wa kifikra wakuu😀😀😀😀
Hahaha kilasiku unakuwa na kazi ya kupulizia Air Freshner tu
 
Hahahaha utakuta Kona ile Bikini, kona hii Tight, kona ile g string hahahahahah
Sasa kuna wale wanaolazimisha kulala...anakuja saa 9 mnaenjoy hadi saa 11..akimaliza kuoga analala ukiamsha haamkiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: irk
Unaenda nyumbani kwa mpenzi wako kutembea, na
kwa mmomonyoko wa maadili wa siku hizi unalala
hukohuko japo hata ndoa hujaambiwa ipo au haipo,sio
neno...Unaondoka asubuhi unaacha Khanga... next
time unaacha pichu, tena nyuma ya mlango... next time
unaacha hereni.. Next time gagulo... Hivi hii tabia mmepewa na
mganga yuleyule au ni vipi?Unaacha vikorombwezo
as if hao watu
wana kabati special ku-accomodate
miguo yako kwao... Eti madai yenu mnaacha alama ili
incase akiingia mtu mwingine akute...Nimetumwa niseme
hili, wamechoka kuficha vifaa vyenu maana inabidi
wanunue mabegi maalum kuficha madude
mnayojifanya mmeyasahau, kumbe makusudi
tu, waone kwanza!, mwishowe haya magheto
yanakuwa kama ya muuza mtumba, Vibanio, pichu,pajama, khanga, lipshine ,mawigi,
mwishowe
rafiki zetu wanaweza kudhani tumekuwa mashoga
sasa....Au wazazi wetu waje ghafla wakute Girls'
items, SIO HESHIMA....njoo salimia, beba
mikanga yako nenda nayo kwenu, sisi sio wauza
urembo!
Mimi kama kwenda kwa mpenzi wangu lazima nimwachie ata kanga doti moja! Nikija hizo ndo ntakua navaa. Sa kubebe mivitu kila nikienda for sleepover ya nini! Ila hao wa kuacha madude mengine wana yao
 
Kijana Umenichekesha kweli na kunikumbusha mbali enzi hizo miaka za ujana 2000.
Niko getho ilala nikawa na kibinti kama ulivyoeleza kila akija anaacha kitu, sasa getho lenyewe chumba kimoja wacha siku mtarajiwa alikuja ghafla getho. Huwezi amini nilichukua zile nguo zilizoachwa na kibinti pakuficha hamna nikafungua desktop komputer nikazificha huko ndani kuua soo..that was my last and genious idea and it saved me..Yaani we acha tu..ha ha ha ha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ha,haaaa...
Mwanamke uliye mvuruga stunter nakupongeza.
Tena ningekujua ningekupa kiroba kimoja,dadek
 
Na wadada sio wote wanaoacha vitu kwa wakaka.
Nainategemea ulimuahidii nini hivi kuna mtu anaacha hivyo vitu akijua haolewiii kama mtu anajua haolewi haachii nakama inawaudhii kwanini msiseme mwambie mbona wa kati unamkaza humwambii baada ya kumvuruga oh wako hivi wako vile mfuate mdada mamboo njo nikukaze keshoo ila sikuoi au sikutoi uone kama utapata wa kuacha hata zivu hapo ndani kwako naukiona mtu hakuambii kitu kinachomkera papo kwa papo ni mwogaa . Unaogopa nini nahakuna anayekulipia kodi au na wewe unataka tu ache ili ukumbukie alikuwepo na hujaoa unamleta mtu kwako ili iweje nahauna mpango naye na kingine huogopi kuleta kila design je magonjwa?
Au unaogopa kulipa gesti au hujiheshimu na hueshimu kwako ?
Huoni unaleta laana kila mtu karibu kwangu karibu kwanguu .
Mtu anadhani anaumuhimu kwako badilikeni kubadili wanawake kama nguo si solution ni kujiheshimu nakuwa makini na maisha kwani mpaka uwe na kumi ndio uoe.
Ndio maana mnachunwa na kuchorwa maana wenyewe hamjui mnatakaa nini eti umoja wa wanaume nilizani mmejikusanya ili mzumgumze maendeleo kumbe huu ujingaa eti hili ndio mmeona la maana [emoji107] [emoji107] zzzzzz
 
Kuna jamaa aliikunjia pedopusha chini ya godoro kwenye Chaga kupoteza ushahidi.
 
Acha kukwapua mataputapu. ...mwanamke anayejiamini hawezi kufanya upuuzi huo...tafuta mwanamke mwenye kwake pia. ..acha kulilia kwa uchaguzi wako mwenyewe wa wanawake wenye inferiority complex. ..
Mjomba mapenzi haryana sheria, ukishapenda hautakuwa na Muda wa kuangalia huko kujiamini
 
Mimi kama kwenda kwa mpenzi wangu lazima nimwachie ata kanga doti moja! Nikija hizo ndo ntakua navaa. Sa kubebe mivitu kila nikienda for sleepover ya nini! Ila hao wa kuacha madude mengine wana yao
Hiyo kanga labda ikae juu ya dari...
 
  • Thanks
Reactions: irk
Unaenda nyumbani kwa mpenzi wako kutembea, na
kwa mmomonyoko wa maadili wa siku hizi unalala
hukohuko japo hata ndoa hujaambiwa ipo au haipo,sio
neno...Unaondoka asubuhi unaacha Khanga... next
time unaacha pichu, tena nyuma ya mlango... next time
unaacha hereni.. Next time gagulo... Hivi hii tabia mmepewa na
mganga yuleyule au ni vipi?Unaacha vikorombwezo
as if hao watu
wana kabati special ku-accomodate
miguo yako kwao... Eti madai yenu mnaacha alama ili
incase akiingia mtu mwingine akute...Nimetumwa niseme
hili, wamechoka kuficha vifaa vyenu maana inabidi
wanunue mabegi maalum kuficha madude
mnayojifanya mmeyasahau, kumbe makusudi
tu, waone kwanza!, mwishowe haya magheto
yanakuwa kama ya muuza mtumba, Vibanio, pichu,pajama, khanga, lipshine ,mawigi,
mwishowe
rafiki zetu wanaweza kudhani tumekuwa mashoga
sasa....Au wazazi wetu waje ghafla wakute Girls'
items, SIO HESHIMA....njoo salimia, beba
mikanga yako nenda nayo kwenu, sisi sio wauza
urembo!
huna lolote kuchepuka tu kunakusumbua uaogopa kubabwa
 
Back
Top Bottom