LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Ni 34 sio 32Wolper ni kama ana 32 hivi, lakini ukimuuliza atakwambia ana miaka 26
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni 34 sio 32Wolper ni kama ana 32 hivi, lakini ukimuuliza atakwambia ana miaka 26
Inawezekana manake nimeonana na mademu niliosoma nao Primary na Secondary yaani ukiambiwa huyu ana miaka 30 unakataa.
Hapana form 4Diva the Bawse form four 2001 so now she is 36
Mimi mars June 2020 birthday yake anatimiza 28Unatuchanganya bana.
Inawezekanaje watu waliozaliwa 94 na 92 wapishane mwaka mmoja?
We jamaa, umri hauongezwi January 1 aisee, hujui maana ya birthday??? [emoji23][emoji23][emoji23]1988-2020= -32
Upo form ngapi?!Acha basi hata kama sijui hesabu kwa hiyo ndio imewezekana kupishana mwaka mmoja mtu wa 94 na 92? [emoji13]
Nope Diva kasoma Thaqaafa ya Temeke , form four 2001 au 2002. She was born in 1984Hapana form 4
2006 Cambridge nilimuona Akiwa na Uniform kipindi hiko Tanganyika library. [emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikupe somaAcha basi hata kama sijui hesabu kwa hiyo ndio imewezekana kupishana mwaka mmoja mtu wa 94 na 92? [emoji13]
Sawa.Nope Diva kasoma Thaqaafa ya Temeke , form four 2001 au 2002. She was born in 1984
Umeshinda mkuuWeka tarehe za hao waliozaliwa 88 na bado wana miaka 31.
.
Mathalani Mimi mars umesema ana miaka 27 at first ulipaswa kusema ana 28 japo kiuhalisia ana miaka 27 na siku 322 ili kumuwekea gape la miaka miwili na Elizabeth
Wait for June, September and December 2020 respectively1988-2020= -32