Polepole[emoji849][emoji849]Umri wa Harmorapa na Polepole ni sawa wote wanacheza 24 yrs, sema maisha ya kuigiza na unafiki yamewapiga sasa ni kama ajuza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa honest mistake Acha nirekebisheUnajua Kiongozi mimi sijui hesabu ila wewe hujui mara mbili yangu [emoji13][emoji13]
Mtu anayefikisha miaka 28 mwezi june kweli anaweza akawa na miaka 27 na miezi nane?
Kwamba kabakisha miezi miwili tu ifikie miezi 12[emoji13][emoji13] hahaha haki ya bibi.
.
Kuanzia kesho hadi tarehe 30 mwezi june ni siku 73 tu.
Mimi mars umesema kazaliwa june hukutaja tarehe let's assume ni 30 june.
.
365-73=292
73-30=43
43-30=13
Kwa hiyo ni miezi miwili na siku 13
So Mimi atakuwa na 27 na siku 292 amebakisha miezi miwili na siku 13 tu.
Nisamehe kwa hili [emoji13][emoji13][emoji13]
Nimesoma nae Makongo secondary school mwaka 2000 mpaka 2003
SafiNimesoma nae Makongo secondary school mwaka 2000 mpaka 2003
Ana miaka 35
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanumba alivyofariki, cheti chake kiliwekwa hadharani 1994Huyu sio 1995
Kanumba alivyofariki, cheti chake kiliwekwa hadharani 1994