Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Kwani ulisikia kifo kinajali umri wa mtu?wanapunguza tu miaka ila kifo hakidanganyi
Mkuu ni kweli asee ana miaka 24Nakumbuka mwaka 2011 au 2012 kwenye gazeti moja la udaku lulu alikuwa anasherehekea birthday ya miaka 18...but baada ya majanga ya kanumba akarudisha miaka nyuma hadi 17 ili kesi imuendee vizuri aonekane alikuwa anabakakwa... sasa jumlisha 18 ya 2011 hadi 2017 uone
Umeonaeeh mkuuKwani ulisikia kifo kinajali umri wa mtu?
Wanaokufa kwa uzee ni wateule pekee. Tena vifo vyao havinaga usumbufu.
Mtu anaishi miaka mia na kitu, lakini haugui yale magonjwa makubwamakubwa, anakuja kufia usingizini.
Idadi ya watu walio wengi vifo vyao havitokani na umri.
Aseehh!!..Kasema ana miaka 17 mkuu mbona unamuongezea
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Watanzania banah, hivi hamna vitu vya kufanya... Nimeona huu uzi nikasema lazima nitie neno, watu mngekua busy msingekua busy kuleta ujinga huu... Kweli wewe zero iQ...
Hanaga shida ungekua una bang ka dk shika saiz ungekua unamnaniliu naniliuIla huyu wema huyu,siku nikipata pesa lazima ni date nae hata akiwa kasha zeeka
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Uchebe anaishi nchi gani na mimi nipo nchi gani? Usinisome kwa woga.
Au Zero IQ yako inakusumbua?
64 itapendezaMsisahau Na umri wa Le Mutuz a.k.a W. J. Malecela
Mdogo wangu kwa 3years....mimi nina umri wa kustaafu kwa hiyari ukitoa michache jumlisha 3.Lady jay dee anakosa 40 kweli?
Mkuu Una utani na uchebe? [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Shilole 42
Kwa hiyo wewe una 53 na lady jay dee ana 50Mdogo wangu kwa 3years....mimi nina umri wa kustaafu kwa hiyari ukitoa michache jumlisha 3.
Kuna interview moja alisema kazaliwa 1988..pia naye aligombea umiss na kina wema akawa no 5,so 27 ni ngumu inamaana aligombea umiss akiwa na 16yrsIrene uwoya 27yrs i cmfd
wanapunguza tu miaka ila kifo hakidanganyi