Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

2 ni umri sahihi wakutahiri wanaume madume ya mbegu ila kwa wamasai ni 18 na 21 bila ganzi wanarudi wamechanganyikiwa
kanda ya ziwa, mara musoma huko watu wazee wana govi, kusini maenneo ya Iringa US AID ndio wameanzisha kampeni ya mkono sweta kuwatahiri watu wazima, yaani kusini wanaamini ile govi ndio kondom, ;

Kumekuwa na mjadala nchini Tanzania na zaidi katika mitandao ya kijamii baada ya mbunge mmoja kulishauri bunge kuweka utaratibu maalum kukagua wanaume walio na 'mkono sweta' au wanaume ambao hawajatahiriwa.
Mbunge maalum Jackline Ngonyani amependekeza hatua hiyo katika hoja ya kujadili udhibiti wa maambukizi ya virusi vya ukimwi nchini.
Akizungumza bungeni, Mbunge huyo ameeleza bunge kwamba lengo la 90-90-90 la virusi vya ukimwi litafikiwa nchini Tanzania, pale kutakuwa na ridhaa ya watu kujipima wenyewe.

Jacquline Ngonyani (@ngonyani.jacqueline) • ...​

j.jpeg
Instagram
https://www.instagram.com › ngonyani.jacqueline



75 Followers, 29 Following, 2 Posts - See Instagram photos and vide
 
Ndugu nimemfanyia mtoto tohara nashauliwa nimpake mafuta je ni sahihi kuweka mafuta ya nazi?
 
kuna mtu aliwahi kusema, ni bora kutahiri ukiwa umeshaanza kubalehe, kwasababu asubuhi mdudu atakuwa anasimama hivyo mle kwenye nyuzi huwa vinaota kama vimistari au vidotidoti au vipele kama vya kwenye ndomu au kupafanya pale papone kwa shida kidogo na kusababisha kovu hivyo shingo ya mzee inakuwa nene kidogo kwa ajili ya kusugua mlango inapoingia na kutoka. research iliyofanyika kwa wanawake wengi duniani, pamoja na kwamba wengi huwa wanasema wanataka tango hawataki kibamia, ila uhalisia inasemekana wanapendelea zaidi kitu kinene kuliko chembamba hata kama ni kirefu naman gani. hivyo kwa wale team oak plan, kama wakibahatika wakawa nacho icho icho kinene kinaweza kufukia mashimo kuliko kuwa nacho kifupi na chembamba tena. virefu vyembamba wanasema vinawaumiza kizazi tu na ikichukulia wanawake wengi awe amezaa au la, akilowa anaweza kupanuka hata ukaingiza mkono kabisa. sembuse izi zetu.
 
naomba kujuzwa miaka sahihi ya kutahiri mtoto wa kiume
kuna wanaoamini ni vizuri acheleweshwe mpaka miaka 5-7 kwamba akiwahi atakuwa kibamia? kuna ukweli hapo jamani
maana asijekukimbiwa na mademu hapo badae nikakosa mkwe[emoji3]
Hii nadhani kuna ukweli maana mimi kwetu nilitahiri nikiwa na miaka 11, ukiangalia Umbile langu lipo strong na kubwa kuliko kaka zangu wanne ambao walitahiriwa chini ya mwaka mmoja
 
Back
Top Bottom