kwa Diamond hapo umejikwa ndugu..huna uhakika na ukisemacho..
kithibitisho sahihi cha umei wa mtu ni chet cha kuzaliwa..
nishakiona chet chake..ni 89mwezi wa kumi
OVER
kwa Diamond hapo umejikwa ndugu..huna uhakika na ukisemacho..
kithibitisho sahihi cha umei wa mtu ni chet cha kuzaliwa..
nishakiona chet chake..ni 89mwezi wa kumi
OVER
Chezea Africa wewe kuna
mchezaji wa Nigeria anacheza soka ulaya alifanya birthday party ya
kutimiza miaka 24 wakati pacha wake anafanya party kwao Nigeria kutimiza
aka 32
Chezea Africa wewe kuna mchezaji wa Nigeria anacheza soka ulaya alifanya birthday party ya kutimiza miaka 24 wakati pacha wake anafanya party kwao Nigeria kutimiza aka 32
NA yule mchezaji football KANU nasikia ni under 30
acha uongo umri huo kwa mchezaji wa Tanzania asingeweza kuwa na speed aliyonayo ngasa, unapodanganya ukumbuke hapa siyo Facebook wala wasapu.Ngasa kasoma na kaka yangu mwanza o level tena darasa moja. Kaka yangu now ana 35.
jd ndo kiongoz anaday ana miaka 2o na kume ni douale ya umri wake halisi khaaa
Wa Bongo Movies na Celebrities wengine mkitaka vyeti hata vya kuzaliwa mwaka 2010 njooni niwape tayarisha sh 40,000/= tu
acha uongo umri huo kwa mchezaji wa Tanzania asingeweza kuwa na speed aliyonayo ngasa, unapodanganya ukumbuke hapa siyo Facebook wala wasapu.
Hahaaaa ww Tanzania hii cheti cha kuzaliwa kinapatikana kiurahic na kinaandikwa tarehe uitakayo,mwezi na mwaka.
hapana ni madhara ya cosmetics,,cousin wangu kasoma naye uganda na picha zao ukimuona alikuwa mdogo na ryt nw cousin wangu anamalizia udaktari mwaka wa 5
mkuu wewe umeelewa ulichokiandika???
<br />[quote name="nyangi m.a" post=6374139]hapana ni madhara ya cosmetics,,cousin wangu kasoma naye uganda na picha zao ukimuona alikuwa mdogo na ryt nw cousin wangu anamalizia udaktari mwaka wa 5