Hawajifahamu, wapowapo tu, hata hawajui wameletwa duniani kwa makusudio gani.
Hiyo ndio style ya macelebrity wengi bongo na waafrika wengi pia wanapenda kuonekana wadogo ili wapate kusifiwa kuwa wamepata umaarufu wakiwa wadogo kiumri but ni nothing ni kasumba mbaya tu ya kuiganaigana