😀 Hatari sanaMISS TANZANIA 2016
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
JINA😀iana Edward Lukumai
UMRI:Miaka 18
ELIMU:Shahada(degree)
Hii ina maana;
Alianza Chuo akiwa na miaka 15
Alianza Form one akiwa na miaka 9
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingawa sio mshabik wa haya mambo napenda nchukue hii nafasi kuwapongeza Wazazi wote kama wazazi wa Diana ambao watoto wao wameanza shule ya msingi wakiwa na miaka miwili
huyu ni siti mtemvu wa pili,itajulikana tu kama ana degree au miaka 18,achague moja,amemaliza tu form four ana 18 au ana degree na miaka 50Wakuu habari za mchana nimeona mahali kuwa miss tanzania mpya ana miaka 18 na wakati huo huo tayari ana degree moja hii ni kuwa alianza form one akiwa na miaka 9 mpaka kuja kugraduate ukweli ni upi?
Ni kweli ana miaka 18 na mimi ni shaidi.
Ana shahada ya Mambo ya urembo wa saluni " Hair Design" ambayo amepata kwa mtandanao alipokuwa akisoma sekondari huku anasoma kwa njia ya mtandao na chuo kipo Sumbawanga!
Mimi simaanishi ntunke au ntumme bali ntu anayesema ukweli bila kujali jinsia. Huyu atapewa bandera ya Tanzania kama mwakilishi wa nchi. Na endapo kadanganya itakuwa si aibu yake tena bali sote kama nchi.Hakuna familia inayo ongozwa na mwanamke labda awe MJANE
Kwani vyombo husika si vipo, nao ni majipu walikubalije kudanganywa hadharani hvWakuu habari za mchana nimeona mahali kuwa miss tanzania mpya ana miaka 18 na wakati huo huo tayari ana degree moja hii ni kuwa alianza form one akiwa na miaka 9 mpaka kuja kugraduate ukweli ni upi?
Wakuu habari za mchana nimeona mahali kuwa miss tanzania mpya ana miaka 18 na wakati huo huo tayari ana degree moja hii ni kuwa alianza form one akiwa na miaka 9 mpaka kuja kugraduate ukweli ni upi?
Sasa wanajisahau wanapunguza hadi wanamaliza kabisaKwenye swala la umri kwa dada zetu unajisumbua mkuu hawawezi kusema ukweli hata siku moja kiufupi wamekula kiapo na wamekunywa maji ya bendera hao kusema umri wao halisi ni MWIKO
Hilo jambo utaliona mwakan kweny birthday party yake ndo utajua hawa raia sio wamchezomchezoKwahiyo mwakani atakuwa na miaka 17? [emoji13]
Usikute mwakan akakwambia ana 20 ili kubalance elimu yakeHilo jambo utaliona mwakan kweny birthday party yake ndo utajua hawa raia sio wamchezomchezo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Ni kweli ana miaka 18 na mimi ni shaidi.
Ana shahada ya Mambo ya urembo wa saluni " Hair Design" ambayo amepata kwa mtandanao alipokuwa akisoma sekondari huku anasoma kwa njia ya mtandao na chuo kipo Sumbawanga!
Alafu form 4 alipata 4..so jumlisha 1yr cheti, 2yrs diploma..alafu 3yrs degree..let say alianza soma ana 5yrs+7yrs+6yrs+3yrs+3yrs=24yrs[emoji12]Kwa mfumo wa elimu nchini umri mdogo mtu anahitimu chuo kikuu miaka 21. Mfano ukianza darasa ka kwanza umri miaka 5, shule ya msingi miaka 7, shule ya sekondari miaka 6, chuo kikuu miaka 3 jumla 5+7+6+3=21.
chura anakuwa mdogo nnUkitaka kujua binti amekudanganya umri jaribu kuingia kwenye churaaa ndipo utajua