Umri sahihi wa miss Tanzania 2016 ni upi?

Umri sahihi wa miss Tanzania 2016 ni upi?

Mie hata nilikuwa sijui kama kuna hiyo kitu maana ilishapoteza ladha najua miss Tanzania wa mwisho sepetu maana ndio anayesemwa semwa
 
Mie hata nilikuwa sijui kama kuna hiyo kitu maana ilishapoteza ladha najua miss Tanzania wa mwisho sepetu maana ndio anayesemwa semwa
Hahaha
Mkuu tuko pamoja
mi mwenyewe baada ya kuskia hizi skendo ndio natambua kuwa shindano lilikuepo jana..
 
Usiropoke pasi na kuwa na vielelezo husika. Leta cheti chake cha kuzaliwa tuone umri wake na cheti cha chuo alichomaliza.

NO RESEARCH, NO RIGHT TO SPEAK
Umekariri sio?
Unahitaji research gani kupinga kua mtu mwenye miaka 18 katika elimu ya Tz kua na degree?
Umri halali wa kisheria kuanza darasa la kwanza ni 7yrs...
unamaliza la saba na 13 yrs...
14 yrs upo fom 1.....
17 years upo form 4....
18 years unaanza form 6 unamaliza na 20yrs.
Unanza degree ya miaka 3 ukiwa na 20 yrs unakuja kumaliza na 23yrs.
Hapo ni kwa mtu aliyeanza na miaka ya serikali 7yrs .
 
Ana miaka 18, amemaliza mwaka jana Arusha Dar Secondary school (2015) form four
 
Umekariri sio?
Unahitaji research gani kupinga kua mtu mwenye miaka 18 katika elimu ya Tz kua na degree?
Umri halali wa kisheria kuanza darasa la kwanza ni 7yrs...
unamaliza la saba na 13 yrs...
14 yrs upo fom 1.....
17 years upo form 4....
18 years unaanza form 6 unamaliza na 20yrs.
Unanza degree ya miaka 3 ukiwa na 20 yrs unakuja kumaliza na 23yrs.
Hapo ni kwa mtu aliyeanza na miaka ya serikali 7yrs .

Punguza mihemko na wewe. Kasema wapi kuwa ana degree?? Usiwe unaongea / kuandika vitu usivyokuwa na uhakika navyo. Kama ulivyoambiwa hapo NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK.
 
Umekariri sio?
Unahitaji research gani kupinga kua mtu mwenye miaka 18 katika elimu ya Tz kua na degree?
Umri halali wa kisheria kuanza darasa la kwanza ni 7yrs...
unamaliza la saba na 13 yrs...
14 yrs upo fom 1.....
17 years upo form 4....
18 years unaanza form 6 unamaliza na 20yrs.
Unanza degree ya miaka 3 ukiwa na 20 yrs unakuja kumaliza na 23yrs.
Hapo ni kwa mtu aliyeanza na miaka ya serikali 7yrs .


UMEKURUPUKA, Huwezi kunielewa.
 
Punguza mihemko na wewe. Kasema wapi kuwa ana degree?? Usiwe unaongea / kuandika vitu usivyokuwa na uhakika navyo. Kama ulivyoambiwa hapo NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK.
We taaira mi nachangia post inavosema mavi wewe
 
Uliusahau huku jana. Njoo uuchukue mshindo wako
View attachment 426793
1477850144470.jpg
 
Wakuu habari za mchana nimeona mahali kuwa miss tanzania mpya ana miaka 18 na wakati huo huo tayari ana degree moja hii ni kuwa alianza form one akiwa na miaka 9 mpaka kuja kugraduate ukweli ni upi?


TANGU Mwanzo NILISEMA MNAKURUPUKA WATANZANIA.

ACHENI KUKURUPUKA NA KUJIDAI HAMNAZO.




TAARIFA KWA UMMA
Napenda kuujulisha Umma yafuatayo;

1. Miss Tanzania 2016/2017 aliyeshinda taji jana jijini Mwanza, anaitwa Diana Edward Loy na siyo Diana Lukumai kama inavyotajwa mitandaoni.

2. Mlimbwende huyo amemaliza kidato cha nne 2015 Shule ya Sekondari Arusha Day na si 2011 kama inavyotajwa mitandaoni kwa malengo ovu.

3. Diana hajawahi kujiunga na Elimu ya Chuo Kikuu chochote Tanzania au duniani bali anatarajia kujiunga mwaka huu katika chuo cha IFM kusomea masula ya kodi ngazi ya stashahada (cheti) ingawa kulingana na ratiba zake na majukumu yake mapya ikiwemo kushiriki Miss world mapya huenda akaahirisha mwaka wake wa masomo.

4. Tunawasihi watanzania kutumia vyema mitandao ya kijamii na si kufanya "Character assassination" lakini pia tunaheshimu haki yao ya msingi ya kuhoji masuala ya msingi kabisa kuhusu mtu ambaye ni Public figure na ataliwakilisha taifa katika anga za kimataifa.

Tumuunge mkono mlimbwende wetu ili atuletee Taji la Dunia.
Ni msichana Asiye na bwana wala boyfriend na hajui mwanaume i.e mwanamwali!
Kwa maelezo yake mambo hayo ataanza baada ya kumaliza masoma na kufanya kazi miaka minne!

Ahsanteni.

Charles William
Kaimu Ofisa Habari wake.
 
Hili swali la umri miaka 18 na kuwa ana degree limekuwa gumzo sana mitandaoni ila kuna shule za vipaji maalum mtoto akifanya vizuri wanamrusha madarasa haswa shule ya msingi hivyo huenda naye alirukishwa madarasa ya awali pili elimu ya sekondari wako watu wanaisoma kwa miaka 2 tu badala ya miaka 4 nikiwa na maana ya Qt mwaka mmoja na mtihani wa form 4 mwaka mmoja anamaliza.tatu sio lazima usome 5,6 ndio uende chuo unaweza soma diploma kisha chuo na miaka ya nyuma kidogo 2012-2015 ilikuwa unaweza kusoma diploma mojakwa moja ukimaliza form 4 tu. haya ni mawazo yangu binafsi hivyo swala la umri sio issue sana.
 
TANGU Mwanzo NILISEMA MNAKURUPUKA WATANZANIA.

ACHENI KUKURUPUKA NA KUJIDAI HAMNAZO.




TAARIFA KWA UMMA
Napenda kuujulisha Umma yafuatayo;

1. Miss Tanzania 2016/2017 aliyeshinda taji jana jijini Mwanza, anaitwa Diana Edward Loy na siyo Diana Lukumai kama inavyotajwa mitandaoni.

2. Mlimbwende huyo amemaliza kidato cha nne 2015 Shule ya Sekondari Arusha Day na si 2011 kama inavyotajwa mitandaoni kwa malengo ovu.

3. Diana hajawahi kujiunga na Elimu ya Chuo Kikuu chochote Tanzania au duniani bali anatarajia kujiunga mwaka huu katika chuo cha IFM kusomea masula ya kodi ngazi ya stashahada (cheti) ingawa kulingana na ratiba zake na majukumu yake mapya ikiwemo kushiriki Miss world mapya huenda akaahirisha mwaka wake wa masomo.

4. Tunawasihi watanzania kutumia vyema mitandao ya kijamii na si kufanya "Character assassination" lakini pia tunaheshimu haki yao ya msingi ya kuhoji masuala ya msingi kabisa kuhusu mtu ambaye ni Public figure na ataliwakilisha taifa katika anga za kimataifa.

Tumuunge mkono mlimbwende wetu ili atuletee Taji la Dunia.
Ni msichana Asiye na bwana wala boyfriend na hajui mwanaume i.e mwanamwali!
Kwa maelezo yake mambo hayo ataanza baada ya kumaliza masoma na kufanya kazi miaka minne!

Ahsanteni.

Charles William
Kaimu Ofisa Habari wake.
Katika post zilizonivunja mbavu hii ni moja wapo..

Kwahiyo huu ndio utetezi wake..?? Afisa habari
 
Back
Top Bottom