mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Mtanzania kijana ni mwenye miaka 18-35, je ukiwa na miaka 36 kwenda juu unakuwa umepata hadhi na status za kuitwa mzee, na kama sio mzee je mwenye miaka 36 kwenda juu ni nani.
Nataka kukata safari za kwenda bar, nijikite nyumba za ibada, niondoke kati kati ya mji nikajichimbie nje kidogo ya mji, niendelee kujipanga na kikokotoo, niache kabisa kuvichakata vibinti vya chuo nijikite kwa single mother na wajane maana hapa umri utakuwa umenitupa mkono nk, miaka yangu ni 38.
Nataka kukata safari za kwenda bar, nijikite nyumba za ibada, niondoke kati kati ya mji nikajichimbie nje kidogo ya mji, niendelee kujipanga na kikokotoo, niache kabisa kuvichakata vibinti vya chuo nijikite kwa single mother na wajane maana hapa umri utakuwa umenitupa mkono nk, miaka yangu ni 38.