peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Umwenikumbusha mume waded WA Moshi manispaasiyo 44 mzee akina mkuchika bado wako uvccm bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umwenikumbusha mume waded WA Moshi manispaasiyo 44 mzee akina mkuchika bado wako uvccm bado
Hapo sawa kabisa. kwa hiyo vijana wasiwe na hofu. Uzee ni kujitakia tu, ukiwa na hela ahata ukiwa na miaka 22 tayari wewe ni mzee kabisa. Kwa kule Moshi unasalimiwa kwa heshima kabisa ukishakuwa na hela na kikao cha wazee hakiwezi kuendelea usipotia timu kikaoni. Ila ukiwa huna hela hata uwe na miaka 60 wewe unaonekana chokoraa tu.siyo 44 mzee akina mkuchika bado wako uvccm bado
Pale mvi unapokuparamia kila eneo lenye nywele. Mvi huo hausikii saluni Wala supablaki,hapo ujue rasmi umeutimba uzee.Mtanzania kijana ni mwenye miaka 18-35, je ukiwa na miaka 36 kwenda juu unakuwa umepata hadhi na status za kuitwa mzee, na kama sio mzee je mwenye miaka 36 kwenda juu ni nani.
Nataka kukata safari za kwenda bar, nijikite nyumba za ibada, niondoke kati kati ya mji nikajichimbie nje kidogo ya mji, niendelee kujipanga na kikokotoo, niache kabisa kuvichakata vibinti vya chuo nijikite kwa single mother na wajane maana hapa umri utakuwa umenitupa mkono nk, miaka yangu ni 38.
😂😂Nina miaka 2 sijajiangalia kwenye kioo,uzi wako ukanikumbusha hilo nikachukua kioo,nilivyojitazama tu kwanza nikastuka,sina nuru tena,usoni nina makunyanzi na nyweleni kuna kama madoa meupe niliposogeza kioo karibu zaidi nikabaini ni mvi nilipogusa kichwani sehemuya juu ya kichwa kuelekea kisogoni kuna sehemu nikaona kama hakuna nywele nikabaini ni kakipara.Nimehuzunika sana nilipoangalia picha zangu za utotoni na ujanani.Baada ya hapo nikajiandaa nitoke njiani kuna jamaa naye ameanza kuzeeka akaniambia shikamoo mzee ikanibidi nihairishe nilipokuwa nakwenda nikarudi home nikajifungia ndani nikalia sana mpaka jirani akasikia akaja kugonga na kuuliza mzee unalia nini nikaanza kumtukana mpaka watu wakajazana wakaanza kusema mzee msamehe nikaanza kulia upya nilijua wangesema uncle msamehe
Kwa mtazamo wangu ni umri ambao mtu atakuwa ameshaachana na ujana, nikimaanisha kama kwenda club na masawala mengine yanayohusiana na vijana.[emoji23][emoji23]
Ukishafikisha miaka 30 wewe ni mzee wa makamo.Mtanzania kijana ni mwenye miaka 18-35, je ukiwa na miaka 36 kwenda juu unakuwa umepata hadhi na status za kuitwa mzee, na kama sio mzee je mwenye miaka 36 kwenda juu ni nani.
Nataka kukata safari za kwenda bar, nijikite nyumba za ibada, niondoke kati kati ya mji nikajichimbie nje kidogo ya mji, niendelee kujipanga na kikokotoo, niache kabisa kuvichakata vibinti vya chuo nijikite kwa single mother na wajane maana hapa umri utakuwa umenitupa mkono nk, miaka yangu ni 38.
Ukiwa na pesa vijana wanakuita Mshua hata kama uko na age 25.UKIWA na hela