andromena
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 587
- 668
Hapo tatizo so umri ila ni malez + curriculum tutumiayo mkuu.Nisome upya madame, nimesema 18yrs kwa watanzania kusema wamekomaa ni uongo mtupu kwanza hata kujielewa 99% hawajielewi hata kujieleza hawajui yaani awe kasoma ama hapana
kwa ulaya ni tofauti kule kweli 18yrs anajielewa nawe ndo umenambia iyo kesi 16yrs huko ulaya sawa niko bongo hapa
bongo akili zinaanzaga kuja ana 30yrs ndo ana akili za 18yrs wa ulaya na sehemu nyingine.