Umri wa kuanza darasa la kwanza uanzie miaka 10, sababu hizi hapa

Hapo tatizo so umri ila ni malez + curriculum tutumiayo mkuu.
 
Wenzetu wahindi na. Asia wanaanza la kwanza na miaka 5 Sisi ndo tuanze na miaka 10?

Atafika chuo kikuu na miaka mingapi? 25?

Miaka 25 kuna baadhi ya kazi huwezi pewa ufanye unakuwa ushazeeka..
Itabidi kustaafu nako waongeze muda, kustaafu kwa hiari iwe miaka 58 na kwa lazima iwe miaka 63

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada chapombe aliandika akiwa kalewa
Na atakuwa hataki kupeleka watoto shule 😂 😂 , kashtuka anaambiwa mtoto aende la 1, kapigiwa na hesabu ya school bus. Aisee great thinker!

Everyday is Saturday................................😎
 
Ni kweli ndugu.
Hapa ndo tunahitaji mawazo bora ili tuone tuelekee wapi?
 
Tumsamehe na mtoa mada
 
Nyerere alianza la kwanza akiwa na miaka 12 alimaliza la nne la mkoloni akiwa na 16
 
Mimi nilikosa schoolarship ya kwenda kusoma Austria sababu ya umri wangu kuwa mkbwa

Wao walikuwa wanahitaji undergraduate awe na 25 yrs below mimi nlikuwa na 27 na ndio nimemaliza form six

Ni vichwa vya watoto wetu ndio vigumu kutokana na misosi na african genetics thats all
 
Mkuu mbona upo mbali sana huo umri, ingetakiwa kabisa awe ndiyo anamaliza la saba hebu angalia Tanzania one form 4 mwaka jana ana umri wa miaka 15 hiyo ndiyo range sahihi.
 
Huna hoja wewe
Hii ndiyo kasoro ya baadhi ya wana-JF wanaojifanya wajuaji. Mtu kakariri hata utafiti uliofanyika ili kuipa uzito hoja yake na wewe unaishia kusema 'huna hoja'. Aliyotoa ni nini sasa kama si hoja? Sema hukubaliani na hoja yake na wewe toa hoja yako inayotofautiana na yake na sisi tuwe huru kuamua ipi ni sahihi.
 
Dah! Nadhani hujaiangalia Tanzania/Afrika kwa mapana yake.
Asilimia kubwa ya wananchi waishio vijijini bado wana dhana potofu ya kuwaozesha watoto wa kike wangali wadogo. Swala la kupeleka watoto shule limepunguza sana ndoa za mapema na kuwalinda mabinti kuozeshwa.

Hebu vuta picha binti wa kitanga au Manyoni kule Singida amemaliza standard 7 Akiwa na miaka 17 (hapo viungo vyote vya uzazi vimekamilika) unadhani ni wangapi watapata nafasi ya kujiunga na elimu ya sekondari?

Ila kupanga ni kuchagua.
Pia hakuna awali iliyo mbaya
 
C&P
 
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo...

Kama nyumbani hapako sawa hata makuzi ya mtoto pia hayatakua sawa...
 
Utafiti nimeufanya kupitia prof Muhongo Na dr Bashru
 
Mazingira au malezi yamebadilika, zamani mtoto akimaliza la 7 kama wa kiume anafukuzwa nyumbani aende kujitegemea na anayamudu maisha vizuri sana na wengine mwaka huo huo anaoa na kumtunza mke, watoto na kuwasaidia wazazi wake.
Haya matoto ya siku hizi form five anapelekwa shule na mzazi yaani mtoto wa form 6 siku hizi anaongea pumba tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…