[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Labda uongezwe na muda wa kustaafu
Nenda English medium kuna watoto eleven years anamaliza la saba
We Chelewa na mwanao utamchelewesha kila kitu hata scholarship na ukijeba wake hapati
Asante sana ndugu tall[emoji851]Heshima yako bosi Andunje.
Form 4 nimemaliza na 21, form 6 na 23-->24, versity na 28-->29.Mkuu umemliza la 7 na miaka 17........ila form one itakuwa hukupiga simu chooni maana hata form 2 wlikuwa wanakuamkia
Okay,hongera sanaForm 4 nimemaliza na 21, form 6 na 23-->24, versity na 28-->29.
Ila Mungu hamtupi mja wake, nimemaliza chuo tuu na kupata kazi sikukaa hata mwezi mtaani.
View attachment 1714388
aise poleMimi ni mmojawapo wa walioanza la kwanza na miaka 10.
Sio kwamba sikuwa na akili, bali tatizo ni ufupi na mkono ulikuwa mfupi nikiambiwa shika sikio la upande wa pili siwezi.
Toka nina miaka 7 naenda kuanza la kwanza lakini narudishwa.
Wote walionifanyia unyama huu nimewasamehe, nyambafu zenu.
Unforgetable
Taja hata mifano Dr. Bashiru alizaliwa 1968 na kuanza shule 1980Kumbukumbu zinaonyesha wengi waliofanikiwa wengi walianza shule wakiwa na miaka 12.
Akili hazichangiwi na umri pekee,Nisome upya madame, nimesema 18yrs kwa watanzania kusema wamekomaa ni uongo mtupu kwanza hata kujielewa 99% hawajielewi hata kujieleza hawajui yaani awe kasoma ama hapana
Kwa ulaya ni tofauti kule kweli 18yrs anajielewa nawe ndio umenambia hiyo kesi 16yrs huko Ulaya sawa niko bongo hapa
Bongo akili zinaanzaga kuja ana 30yrs ndio ana akili za 18yrs wa Ulaya na sehemu nyingine.
Pole mkuuMimi nilikosa schoolarship ya kwenda kusoma Austria sababu ya umri wangu kuwa mkbwa
Wao walikuwa wanahitaji undergraduate awe na 25 yrs below mimi nlikuwa na 27 na ndio nimemaliza form six
Ni vichwa vya watoto wetu ndio vigumu kutokana na misosi na african genetics thats all
Hivi ukisema unamchelewesha shule anakuwa anawahi nini ikiwa ajira anaisoteamiqkq Minnesota, Bora akimaliza la Saba ashakuwa kijeba ambaye anaweza kuanza uzalishaji kuliko kumaliza shule mapema Alafu anaanza kutunzwa miaka mitatu. Bora serikali ipunguze madarasa lakini umri wa kuanza use miaka kumiAkili hazichangiwi na umri pekee,
Akili zinachangiwa na aina ya malezi+mfumo wa elimu anayopewa katika umri husika
Bora ungesema tuchange mbinu za malezi ili mtoto ajitambue mapema pamoja na mfumo wa elimu uwe rahisi kwa mtoto badala ya kuwaza kwamba solution ni kumchelewesha shule
Toa takwimu.Wana JF
Makuzi ya binadamu wa mtanzania yanapitia magumu mengi, hivyo pia akili huchelewa kukomaa kupata uelewa wa kujifunza kitu Kwa umakini. Natoa sababu Kwa nini umri miaka 10 ndio unafaa mtoto kuanza la kwanza.
1. Umri ukiwa miaka kumi mtoto anakuwa amekomaa, huondoa woga na anaweza kuhoji kama kitu sio sahihi.
2. Waliokosa lishe bora huwa ndio wakati ambao makuzi ya akili yanakuwa sawa.
3. Mtoto hadanganyiki kirahisi na akifanyiwa vitu vya unyanyasaji wa kijinsia ana uweza wa kumweleza mama yake au baba yake.
4. Ni umri ambao vipaji huchipuka mtoto kujua anapenda nini Na ana kipaji gani.
5. Kutokukubali kuonewa na mtu yeyote Kwa kuwa sio muoga.
6. Urahisi wa kuweza masomo walimu hawapati shida.
7. Kama shule ipo mbali huyu ndiye mwenye uwezo wa kutembea umbali mrefu.
8. Akimaliza darasa la saba anaweza kusaidia shughuli za kilimo au kuanza kujitegemea
9. Hauhitaji kumlea kama mtoto ikiwa hakufaulu kuendelea na masomo.
10. Kutokana na umri anakuwa amepunguza michezo mingi hatarishi kwa kuwa tayari ana uelewa
Kumbukumbu zinaonyesha wengi waliofanikiwa wengi walianza shule wakiwa na miaka 12.
ila tuwe wakweli mie wanaposema eti miaka 18 ni mtu mzima kwa watanzania nakataa, kuna watu miaka hiyo hawajielewi (wengi wa watanzania) hata kuhoji kitu hawezi yaani anapelekwa kama ndezi tu.
Mimi napendekeza shule tuanze na miaka 16 maana watanzania akili zetu ni ndogo sana wakati mwingine nahisigi hatuna akili kabisa (tunadaiwa akili)
Suala la umri wa mtoto kuanza shule akiwa na miaka mingi au michache kuna faida na changamoto pia.Kwa mfumo wetu wa elimu isiyomtambulisha mtoto juu maisha yake ya baadae imekua changamoto kubwa kwani kundi kubwa la watoto wanamaliza form four halafu haelewi cha kufanya anamsubiri mzazi amwulize kama kuna chuo,shule au course ya kuendelea,tofauti na zamani ambapo wengi walikuwa wanapambana kutafuta mzazi anahangika kumtafutia fedha.Wana JF
Makuzi ya binadamu wa mtanzania yanapitia magumu mengi, hivyo pia akili huchelewa kukomaa kupata uelewa wa kujifunza kitu Kwa umakini. Natoa sababu Kwa nini umri miaka 10 ndio unafaa mtoto kuanza la kwanza.
1. Umri ukiwa miaka kumi mtoto anakuwa amekomaa, huondoa woga na anaweza kuhoji kama kitu sio sahihi.
2. Waliokosa lishe bora huwa ndio wakati ambao makuzi ya akili yanakuwa sawa.
3. Mtoto hadanganyiki kirahisi na akifanyiwa vitu vya unyanyasaji wa kijinsia ana uweza wa kumweleza mama yake au baba yake.
4. Ni umri ambao vipaji huchipuka mtoto kujua anapenda nini Na ana kipaji gani.
5. Kutokukubali kuonewa na mtu yeyote Kwa kuwa sio muoga.
6. Urahisi wa kuweza masomo walimu hawapati shida.
7. Kama shule ipo mbali huyu ndiye mwenye uwezo wa kutembea umbali mrefu.
8. Akimaliza darasa la saba anaweza kusaidia shughuli za kilimo au kuanza kujitegemea
9. Hauhitaji kumlea kama mtoto ikiwa hakufaulu kuendelea na masomo.
10. Kutokana na umri anakuwa amepunguza michezo mingi hatarishi kwa kuwa tayari ana uelewa
Kumbukumbu zinaonyesha wengi waliofanikiwa wengi walianza shule wakiwa na miaka 12.