El uno
Member
- Oct 9, 2018
- 93
- 109
Wakuu habarini,ningependa kupata ufafanuzi,mara ya mwisho mke wangu alipata hedhi 20/4/2023.Ilitakiwa apate hedhi tena 17/5/2023 hakupata .22/5/2023 tukapima kupitia UPT ikaonesha ujauzito .1/8/2023 tukaenda kwa ajili ya clinic kama hudhurio la kwanza.Majibu ya ultrasound yakaonyesha ujauzito una umri wa majuma 16.Ukihesabu kwa kurefer LMP ilitakiwa isome majuma 14 kwa hiyo 1/8/2023.Ninaomba ufafanuzi wa kujua hayo majuma 2 yameongezekaje,
NB: Tulikutana kimwili siku zote za hatari
NB: Tulikutana kimwili siku zote za hatari