Umughaka ni mtu wa kawaida tu ndugu zangu,ni deiwaka tu asiyekuwa na lolote

Umughaka ni mtu wa kawaida tu ndugu zangu,ni deiwaka tu asiyekuwa na lolote

Bodaboda wanapiga pesa mingi sana , cha muhimu sio pesa kiasi gani , cha muhimu mipango tu master.
 
Kwa Dar es salaam wapite na kutembelea maeneo ya kisarawe2 wilaya ya kigamboni wakiwa na copy za vitambulisho vya NIDA, leseni za udereva au vitambulisho vya kura pamoja na barua za utambulisho za serikali za mitaa walipotoka au kuishi.

Kuna viwanda vingi vinatoa ajira kwa vijana wasio na ujuzi wowote.
Kama kipi
 
Hii - tabia ya kuanza kulia lia ili watu wasikuombe PESA sio tabia nzuri .

MTU ukiona amekuomba kitu usianze kulia lia kwa kusema hata Mimi ni boda boda.

Jifunze njia bora za kuumega mkate wako na watu wengine.
 
Katumia defensive mechanism mkuu
Mkuu Mimi Nikitaka kibarua Wala hata sinaga uoga kama unavyodhani,Mimi Nina kibarua changu kwasasa naendesha boda,siku nikikosa kibarua au kazi nitakuja kuomba hapa Wala sionagi aibu!

Nimewasilisha hili bandiko hapa kwasababu pm kwangu Kuna baadhi ya Vijana wananiomba kazi bila kujua na Mimi ni mpambanaji nisiyekuwa na AJira rasmi!
 
Hii - tabia ya kuanza kulia lia ili watu wasikuombe PESA sio tabia nzuri .

MTU ukiona amekuomba kitu usianze kulia lia kwa kusema hata Mimi ni boda boda.

Jifunze njia bora za kuumega mkate wako na watu wengine.
Nishawasaidia Vijana wengi sana mkuu Hela ya mkate,but Kwa uwezo wangu pia inafika sehemu simudu Kwa wote!

Hivyo kama una uwezo wa kuwasaidia Vijana hapa wasaidie siyo kiwasimanga kama mwanamke!
 
Back
Top Bottom