[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yapaswa uje tuition na unilipe pia!!Geniveros hebu na mimi nifundishe mwanangu mwenyewe japo kumwambia mtotoz i love you[emoji1] [emoji23]
Nifundishe maneno ya kutongoza na mapenzi mapenzi nikienda zenj watanikoma vitoto vya kiarabu[emoji12]
Ndio mimi sijui ndo nimeomba msaada wa kufundishwa maneno machache muhimu[emoji1] [emoji1]kumbe nawe hujui kama mie
Sawa mkuu..naomba twisheni tuifanye mida ya jioni jioni kama muda huu[emoji12][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yapaswa uje tuition na unilipe pia!!
ya akhiii....!!Supermarket.....!!!
Zungumza maneno ya ukweli na kujua sio unaongea kwa Shanna kiswahili no lugha ambayo I me ko a maneno mengi toka lugha za kiarabu kihindi pamoja na lugha za kibantu pia kiasi kuna maneno yakijerumani kama shule na mengine halafu kuna Kireno lugha hizo zote zimeingia kwenye kiswahiliKiswahili ni Kibantu at large percent na kilikwepo hata kabla ya kuja kwa Arabs.
Percent ya Waarabu katika lugha sio kubwa kuzidi percent ya Bantu languages katika kiswahili. Pili kilikwepo kabla ya Arabs kuja na hata wao wamesema katika documents zai kuwa Azania ilikuwa na Lugha moja kutoka katika branches za tribal languages.
Hatuwezi kusema kiswahili ni kiarabu kwa sababu ya uwepo wa maneno ya kiarabu. Kila lugha ina words kutoka lugha nyingine especially when a new item or object is new to another language au popularity yake.
haina shida...Ndio mimi sijui ndo nimeomba msaada wa kufundishwa maneno machache muhimu[emoji1] [emoji1]
Sawa mkuu..naomba twisheni tuifanye mida ya jioni jioni kama muda huu[emoji12]
Hicho kiarabu cha Egypt nacho kipo tofauti na kiswahili, nimefika Cairo na niliishi miaka miwili , nilipata tabu sana kwenye lughaLabda kiarabu cha Egypt! Pia kiko tofauti kidogo na cha Gulf countries , nipo Oman hapa hamna anayekuelewa ukiongea Kiswahili! Labda ukutane na Wa Oman wenye asili ya Tanzania! Sema Kiswahili na Kiarabu kina share baadhi ya maneno.
nami nitajiunga iyo kwisheni tena Iwe mapema kabla hajaondoka mfalme kuna kitu nataka kumuomba pliZNdio mimi sijui ndo nimeomba msaada wa kufundishwa maneno machache muhimu[emoji1] [emoji1]
Sawa mkuu..naomba twisheni tuifanye mida ya jioni jioni kama muda huu[emoji12]
Thanks[emoji120]haina shida...
Sasa hii mada Mnaipotosha mnatoka kwenye lugha mnaenda kwenye utaifa. Hao watu wengine mnasema RAIA sijui wa Yemen hao wengi wao ni Watanzania wenye asili ya Yemen au Oman kama ilivyo kwa Mfalmewa Oman wazazi wake mmoja no mtanzania lakini ni Mu OmanKatika nchi ulizo taja za kiarabu mkuu hamna hata mwekezaji wa ukweli hapa tz, ila tu kuna walio wekeza kwenye mbuga za wayamanya na kuwasafirisha(twiga nk)ila kuna nchi moja ya YEMEN ndio yenye Raia walio wekeza hapa tz, mfano BAKHRESA, OILCOM, CAMEL, FM, LAKE OIL, wote hao wana asili ya YEMEN kwa hivyo, kwa hoja yako ilivyo, luga ya KIARABU haina nafasi kwa kurasimishwa hapa tz.
Ingawa kiarabu ni lugha inayozungumzwa sana barani Afrika ikifuatiwa na Kiswahili bado sijaona sababu ya kukirasimisha.Kiingereza ni muhimu kwa dunia ya leo na kinatusumbua sana Watanzania.Kurasimisha lugha kuna hatua nyingi sana
Mkuu umeongea points, tena Lugha wenzetu shuleni ni tatu, sisi ni mbili tu, kichina ulaya sasa watajifunza kwa sababu ulaya sasa imeingiwa na wachina kama wataliiKwa upande wa lugha, Tanzania tumechelewa sana sana. Baada ya kuchelewa tumelewa kasumba lugha inayohitajika ni Kiingereza tu. Kwa kweli tulihitaji lugha zaidi mashuleni. Na kwa best practices narejelea watu wa Yuropa. Wale watu wanajifunza lugha nyingi sana mashuleni. Na uelewa wao wa mambo ya kimataifa ni mkubwa zaidi.
Wee jitoe ufahamu, baki na umbumbumbu wako !! Since day one WAARABU tumeiBARIKI nchi hii kwa LUGHA MAMA, USTAARABU (Arabian Civiliztions ), AMANI, UUNGANISHI WA MAKABILA kwa lahaja moja "Salaam Aleykum" na pia majina ya miji yote (DAR-ES-SALAAM-MTWARA-TANGA-KIGHOMA-ARUSHA-TABORA-SINGHIDA-ZANZIBAR-KILWA-MAFIA-KIL~MANJAA~ARO, MUSSOMA,KIBAHA ,BAGA~MOYO,nk nk..
Tazama artitecture design za waarabu (majengo ya kama ikulu/Ocean road Hospital, majengo nk nk) !!! Pamoja na kutaifishiwa mashamba,Viwanda,maghorofa na mhospitali.... Bado wasema uwekezaji gani.. Nguruwe wee/shwaein ngedere wa chooni !!
Long live SS Bakhressa kuweza sambaza bidhaa zake na kuajiri wazawa.... (huyo mmoja tu)
chuki na husda zimekutawala....
Sawa nitakupitia twende twisheni wote kwa madam geniveros, yupo peace tu sio mchoyo wa elimunami nitajiunga iyo kwisheni tena Iwe mapema kabla hajaondoka mfalme kuna kitu nataka kumuomba pliZ
Iweje Kenya English iwe lugha mama wao kinacho wasaidia wakenya in kwamba sio kama sisi wao wanaongea broken English ukimuelewa basi hawa chekani kama sisi hapa ukiongea English broken utachekwa sana kitu ambacho ni ujinga kiingereza sio mother tongue kwetu mradi ume elewa anasema nini basiHahahaha,aisee hii Kali
Nahisi mtoa post ahajaangalia tathmini
Ni kwamba Kiarabu ni Lugha ya pili kuongewa na idadi kubwa ya watu duniani.
Sasa sijamuelewa anamaana gani kutaka irasimishwe mpaka mashuleni.
Wakati sie wenye Waislam hii ni lugha yetu ya kiimani,lakini kwenye laki mwenye kujua ni Mmoja tu.Wengine ni kubabia babia tu.
Na tukitoka hapo tutasema Kichina,maana wachina ni wadau wetu miaka mingi sana.
Sasa suala la lugha ni la mtu binafsi kujibidiisha ili kwendana na soko la ajira then hayo mengine yatajipanga yenyewe humo humo.
Wakenya Kiingereza ni kama lugha mama,lakini hawathubutu kuongeza lugha nyingine,badala yake ndio wamekimbilia kwenye Lugha za makabla moaka kuna Redio zinatanga Kikamba tuu,au kijaluo kwenda mbele.
Sijachanganya, hujataka kuelewa.
Nilo Saharans sio eneo ni ethnic group. Sub saharan ni eneo. Sijajichanganya bali hujasoma hizo ethnic groups nilizokupatia katika link na kuanza kubisha.
Wanaitwa Nilo Saharan kutokana na maeneo waliyoanzia kama kiini chao (Nile zones na Saharan region) na wameenea mpaka Ngorongoro kutokana na Seasonally Nomadic way of life rather than sedentary.
Ni kweli bebi maana miss chagga atakuuwa akikuta tunachombezana hapa .......haya nimekuelewa nakuja inbobo.......chukua busu kabisa kabla sijaja huko niboxMwanamme wa kweli hutamuona akisema upuuzi huo mbele ya halaiki, nna mashaka sana kuwa wewe ni mtoto si rizki.
TWAYYIB, TWAYYIB.Yallah yallah.. haya kullana nitkalaam al-Lugha al-3arabiaya, fal ya tafadhwal Mashkurr !!
Mipangomingi Kef haluka?
ANNTA MAJNUUNGo to hell with your arabic..
Labda kiarabu cha Egypt! Pia kiko tofauti kidogo na cha Gulf countries , nipo Oman hapa hamna anayekuelewa ukiongea Kiswahili! Labda ukutane na Wa Oman wenye asili ya Tanzania! Sema Kiswahili na Kiarabu kina share baadhi ya maneno.