Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

Geniveros hebu na mimi nifundishe mwanangu mwenyewe japo kumwambia mtotoz i love you[emoji1] [emoji23]
Nifundishe maneno ya kutongoza na mapenzi mapenzi nikienda zenj watanikoma vitoto vya kiarabu[emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yapaswa uje tuition na unilipe pia!!

ya akhiii....!!Supermarket.....!!!
 
kumbe nawe hujui kama mie
Ndio mimi sijui ndo nimeomba msaada wa kufundishwa maneno machache muhimu[emoji1] [emoji1]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yapaswa uje tuition na unilipe pia!!

ya akhiii....!!Supermarket.....!!!
Sawa mkuu..naomba twisheni tuifanye mida ya jioni jioni kama muda huu[emoji12]
 
Kiswahili ni Kibantu at large percent na kilikwepo hata kabla ya kuja kwa Arabs.

Percent ya Waarabu katika lugha sio kubwa kuzidi percent ya Bantu languages katika kiswahili. Pili kilikwepo kabla ya Arabs kuja na hata wao wamesema katika documents zai kuwa Azania ilikuwa na Lugha moja kutoka katika branches za tribal languages.

Hatuwezi kusema kiswahili ni kiarabu kwa sababu ya uwepo wa maneno ya kiarabu. Kila lugha ina words kutoka lugha nyingine especially when a new item or object is new to another language au popularity yake.
Zungumza maneno ya ukweli na kujua sio unaongea kwa Shanna kiswahili no lugha ambayo I me ko a maneno mengi toka lugha za kiarabu kihindi pamoja na lugha za kibantu pia kiasi kuna maneno yakijerumani kama shule na mengine halafu kuna Kireno lugha hizo zote zimeingia kwenye kiswahili
 
Labda kiarabu cha Egypt! Pia kiko tofauti kidogo na cha Gulf countries , nipo Oman hapa hamna anayekuelewa ukiongea Kiswahili! Labda ukutane na Wa Oman wenye asili ya Tanzania! Sema Kiswahili na Kiarabu kina share baadhi ya maneno.
Hicho kiarabu cha Egypt nacho kipo tofauti na kiswahili, nimefika Cairo na niliishi miaka miwili , nilipata tabu sana kwenye lugha
 
Ndio mimi sijui ndo nimeomba msaada wa kufundishwa maneno machache muhimu[emoji1] [emoji1]

Sawa mkuu..naomba twisheni tuifanye mida ya jioni jioni kama muda huu[emoji12]
nami nitajiunga iyo kwisheni tena Iwe mapema kabla hajaondoka mfalme kuna kitu nataka kumuomba pliZ
 
Katika nchi ulizo taja za kiarabu mkuu hamna hata mwekezaji wa ukweli hapa tz, ila tu kuna walio wekeza kwenye mbuga za wayamanya na kuwasafirisha(twiga nk)ila kuna nchi moja ya YEMEN ndio yenye Raia walio wekeza hapa tz, mfano BAKHRESA, OILCOM, CAMEL, FM, LAKE OIL, wote hao wana asili ya YEMEN kwa hivyo, kwa hoja yako ilivyo, luga ya KIARABU haina nafasi kwa kurasimishwa hapa tz.
Sasa hii mada Mnaipotosha mnatoka kwenye lugha mnaenda kwenye utaifa. Hao watu wengine mnasema RAIA sijui wa Yemen hao wengi wao ni Watanzania wenye asili ya Yemen au Oman kama ilivyo kwa Mfalmewa Oman wazazi wake mmoja no mtanzania lakini ni Mu Oman
Ingawa kiarabu ni lugha inayozungumzwa sana barani Afrika ikifuatiwa na Kiswahili bado sijaona sababu ya kukirasimisha.Kiingereza ni muhimu kwa dunia ya leo na kinatusumbua sana Watanzania.Kurasimisha lugha kuna hatua nyingi sana
 
Kwa upande wa lugha, Tanzania tumechelewa sana sana. Baada ya kuchelewa tumelewa kasumba lugha inayohitajika ni Kiingereza tu. Kwa kweli tulihitaji lugha zaidi mashuleni. Na kwa best practices narejelea watu wa Yuropa. Wale watu wanajifunza lugha nyingi sana mashuleni. Na uelewa wao wa mambo ya kimataifa ni mkubwa zaidi.
Mkuu umeongea points, tena Lugha wenzetu shuleni ni tatu, sisi ni mbili tu, kichina ulaya sasa watajifunza kwa sababu ulaya sasa imeingiwa na wachina kama watalii
 
Wee jitoe ufahamu, baki na umbumbumbu wako !! Since day one WAARABU tumeiBARIKI nchi hii kwa LUGHA MAMA, USTAARABU (Arabian Civiliztions ), AMANI, UUNGANISHI WA MAKABILA kwa lahaja moja "Salaam Aleykum" na pia majina ya miji yote (DAR-ES-SALAAM-MTWARA-TANGA-KIGHOMA-ARUSHA-TABORA-SINGHIDA-ZANZIBAR-KILWA-MAFIA-KIL~MANJAA~ARO, MUSSOMA,KIBAHA ,BAGA~MOYO,nk nk..

Tazama artitecture design za waarabu (majengo ya kama ikulu/Ocean road Hospital, majengo nk nk) !!! Pamoja na kutaifishiwa mashamba,Viwanda,maghorofa na mhospitali.... Bado wasema uwekezaji gani.. Nguruwe wee/shwaein ngedere wa chooni !!

Long live SS Bakhressa kuweza sambaza bidhaa zake na kuajiri wazawa.... (huyo mmoja tu)

chuki na husda zimekutawala....

Architectural design sio ushahidi kuwa ni waarabu walijenga. Ushahidi upo kuwa zilijengwa na waafrica waliocopy style ya Kiarabu kutumia corals kutengeneza lime mortar na features walizocopy baada ya kuwa exposed na Arabic styles. Hivyo indigenous nao walishiriki katika kukuza architectures.

Kuna maneno kama Bagamoyo hutakiwi kusifia kwa sababu iliyokana na ukatili wa Arabs katika slavery.

Kilwa ni jina ambalo lilikwepo na ilipewa heshima kwa Africans kutoka kwa externals. Terms nyingine zinaweza kuwepo kwa arabic names lakini sio kwamba hakukwepo na local names. Its a matter of popularity and who ruled later na kubadili facts.

Arabs hawakuleta Ustaarab. Ustaarab ulikwepo kabla ya kuja kwao na walikuja kutokana na kujua kuna interests na nguvu wao wakataka kuichukua kwa self interests. Ndio maana kulikwepo na centralized states, coins, kings, scripts, roman trades na Neolithic cultures.[/QUOTE]
Katika historian uliosoma zaidi ya miji kama Kilwa ,Bagamoyo na Zanzibar wapi katika. Maeneo ya bara walikua na coin zao
 
Hahahaha,aisee hii Kali
Nahisi mtoa post ahajaangalia tathmini
Ni kwamba Kiarabu ni Lugha ya pili kuongewa na idadi kubwa ya watu duniani.

Sasa sijamuelewa anamaana gani kutaka irasimishwe mpaka mashuleni.
Wakati sie wenye Waislam hii ni lugha yetu ya kiimani,lakini kwenye laki mwenye kujua ni Mmoja tu.Wengine ni kubabia babia tu.

Na tukitoka hapo tutasema Kichina,maana wachina ni wadau wetu miaka mingi sana.

Sasa suala la lugha ni la mtu binafsi kujibidiisha ili kwendana na soko la ajira then hayo mengine yatajipanga yenyewe humo humo.

Wakenya Kiingereza ni kama lugha mama,lakini hawathubutu kuongeza lugha nyingine,badala yake ndio wamekimbilia kwenye Lugha za makabla moaka kuna Redio zinatanga Kikamba tuu,au kijaluo kwenda mbele.
Iweje Kenya English iwe lugha mama wao kinacho wasaidia wakenya in kwamba sio kama sisi wao wanaongea broken English ukimuelewa basi hawa chekani kama sisi hapa ukiongea English broken utachekwa sana kitu ambacho ni ujinga kiingereza sio mother tongue kwetu mradi ume elewa anasema nini basi
Sijachanganya, hujataka kuelewa.

Nilo Saharans sio eneo ni ethnic group. Sub saharan ni eneo. Sijajichanganya bali hujasoma hizo ethnic groups nilizokupatia katika link na kuanza kubisha.

Wanaitwa Nilo Saharan kutokana na maeneo waliyoanzia kama kiini chao (Nile zones na Saharan region) na wameenea mpaka Ngorongoro kutokana na Seasonally Nomadic way of life rather than sedentary.
 
ugumu wa hili swala ni kuwa lugha ya kiarabu inanasibishwana uislamu hivyo kukubali iwe sehemu ya lugha rasmi au iwekwe ktk mitaala ya elimu itaonekana ni udini.
 
Mwanamme wa kweli hutamuona akisema upuuzi huo mbele ya halaiki, nna mashaka sana kuwa wewe ni mtoto si rizki.
Ni kweli bebi maana miss chagga atakuuwa akikuta tunachombezana hapa .......haya nimekuelewa nakuja inbobo.......chukua busu kabisa kabla sijaja huko nibox
 
Kiarabu kiingizwe kwenye mitaala 2025 na sio sasa hivi maana tunahitaji maandalizi na kujipanga tujue kiingereza kwanza.
 
Mbona hamuelezi utumwa WA wazungu kwa sababu ni.mabwana zenu naona kila mmoja anapost Upuuzi, hata historia hamjui, kilwa ilitawaliwa na Watu kutoka PERSIA yaani Iran mpaka leo Yako mabaki Yao na Bagamoyo na Zanzibar, ukisoma historia ya Hassan Bin Ali na wanawe Sita walikuja Kabla waarabu na Wareno, hata mtawala WA Mozambique alikuwa anaitwa Mussa Bin Beick ndio neno Mozambique lilipotokea, Ustaarabu WA Africa mashariki ni.Muingilianao WA mataifa Mengi Ila Kuja kwa Waarabu ndio ikawa chachu ya Kuunganisha watu na kupatwa Kiswahili maana Waafrika walikuwa na Lugha zao tafauti kama kinyakyusa Na kichagaa na ndani ya Lugha hizo ni maneno machache sana yanafahamika kwa hio walikuwa hawaelewani, pia Kimbulu au Ki-iraqi ni Lugha inashabihiana sana na Kiarabu cha zamani sana hata Lafiji yake inafanana kwa hio Maneno Mengi ya Kiswahili ni asili karibu 60 ni Lugha ya kiarabu, kiajemi,kihindi na Kireno kwa baadhi ya Maneno but kiarabu kimehodhi maneno mengi sababu kubwa kwanza Waafrika waliunganishwa na Dini Ya Kiislaam ambayo kiarabu ndio hukutaka mpaka Sasa hakuna Muislaam muafrika anaingia msikitini asizungumze Kiarabu maana ni LAZIMA, kuhusu utumwa WA kiarabu Africa Mashariki ni waarabu WA Oman na sio wote walikuja kuchukua watumwa ni watu kama vile biashara haram Ya Unga kwa Sasa but kwa kipindi kile Wazungu nao walwachukua waafrika kuwauza na waarabu waliwauzia watumwa wazungu wakapelekwa visiwa vya Madagascar,Reunion, Maldives, Commorea,Seychelles, Na baadhi tu walipelekwa Uarabuni, WA Yemen ni waarabu hakuna historia INAONESHA walishiriki biashara Ya UTUMWA na huyo Tipu Tibbs Hakuwa mwaraabu someni historia ni Mwaafeika yeye alikuwa anapokea Watumwa waliokuwa wanapokea watumwa waliokuwa wanakamatwa na MA chief WA kiafrica wakiwauzia kwa hio hata WAAFRIKA NAO walishiriki biashara ya UTUMWA SANA, Wazungu nao kwa sababu waliandika historia na kutaka kubatiza Waafrika wakatumia sana PROPAGANDA za kusema Waarabu ni wabaya na dini Yao ni.Mbaya Ili kihalalisha Dini Yao kuingia Kanda hii ya Africa Mashariki. Lakini sijaona mtu yoyote anasema Wazungu walikuwa wabaya na dini Yao Mbaya ndio maana utaona Lugha kama kiengereza Kiliweza kuingia Africa mashariki kwa haraka japo Mjerumani katawala Tanganyika Hakuna mtu anaongea Kijerumani sio kama Nchi Angola au Mozambique wanazungumza Kireno au Wakongoman na.baadhi ya nchi hata za kiarabu Ziliotawaliwa na Wafaransa wanaongea kifaransa Mfano Morocco
 
Labda kiarabu cha Egypt! Pia kiko tofauti kidogo na cha Gulf countries , nipo Oman hapa hamna anayekuelewa ukiongea Kiswahili! Labda ukutane na Wa Oman wenye asili ya Tanzania! Sema Kiswahili na Kiarabu kina share baadhi ya maneno.

Sio kwamba eti hawakuelewi, ni wanafik hawa waarabu wenyu, huenda wanakuona duni/mtumwa na wana ubaguzi wa kuficha ficha, iweje wajifunze lugha ya watumwa?

Mashetani sana nawachukia balaa!
Waliwapora waafrika ardhi(NORTH AFRICA), kuwaua na kuwasukuma kusini.
Natamani mtu mweusi ainuke siku moja na Afrika iuangane iwe nchi, binafsi ningelikuwa na uwezo ningewasongeza nje kule Kaskazini mwa Afrika woote niwaregeshe ARABIA.
Nina rafiki mmoja hapa Saudia ni mmisri wa kusini kule Aswan, alinihadithia ushetani wao, waliowafanyia watu weusi na ardhi yao pamoja na ile Sudan ya shetani mpumbavu Al Bashir!
Wabaguzi sana.
 
Back
Top Bottom