FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Na tutawala kweli shenzi kabisa hawa......kuna blog fulani niliona picha za ajabu za vituko wanavyofanyiwa waafrik yaani ni unyama......picha na video......wafanyakazi wa kike wanapigwa wakiwa uchi halafu wanawalaza kwenye mabanda ya kuku na mbwa......sasa unajiuliza hawa mbwa wanaojiita waarabu sisi tuwape hadhi ya nini shenzi type........mzungu anaweza kuwa mbaya lakini at least unaweza kwenda bara lao ukajimix na kuishi fresh kama bongo......na hata ndoa utafunga na jamii ya wazungu......ila waarabu seeeee mbwa kabisa hawa.....yaani huwezi oa muarabu pure wa familia ya kishua au ya kati ukiwa ni mtu mweusi...........kwanza wanaweza kukua wakijua unamendea binti yao...........sasa Faiza Foxy anakuja hapa anajikomba komba utadhani hata akikaa nao watamuoma ni mtu watamuona kama gorilla na watamtoa baruti.........
Jinsi mnavyofanyiana Afrika Kusini weusi kwa weusi umeyasahau? na waliyoyafanya Wayahudi kwa weusi umeyasahau nikukumbushe?
Una usongo na Waarabu au ndiyo walikufanya ukawa hivyo, si rizki?
Hapa Afrika awe Mwarabu au asiye Mwarabu wote ni Waafrika tu, unyama unaofanywa hapa Tanzania kwa Watanzania wengine ni mdogo? Nikuoneshe?