Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiburuze mguu chini wakati wa kusimama [emoji28][emoji28][emoji28]Kwa sisi tunaotumia pikipiki tufanyeje ?
Kwahiyo mkuu wewe kwenye foleni huwa ni mguu kati mpaka gari zitakapoanza kuondoka?Mie nikisema kwenye miinuko wewe ukasema kwa kunipinga kua hata kwenye miteremko bado sijaona tofauti maana palipo na miinuko automatically kuna miteremko sijaelewa point yako ilikuwa nini ila nimecheka zaidi eti Hadi kwenye foleni unavuta handbrake duh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tengenezeni self msiwe mnapiga Kiki mpaka mnatetemeka nyugunyu.
Kwa hiyo mkuu wewe kwenye foleni huwa unaweka handbrake mpaka gari zitakapoanza kuondoka?Kwahiyo mkuu wewe kwenye foleni huwa ni mguu kati mpaka gari zitakapoanza kuondoka?
Gari ninayoendesha handbrake ni lazima kila nitakaposimama mkuu!Kwa hiyo mkuu wewe kwenye foleni huwa unaweka handbrake mpaka gari zitakapoanza kuondoka?
Nilikuwa nangoja comment kutoka kwa huyu jamaa[emoji16]
Thread closed!
Wengine GARI ya shemeji, kwani Kuna tatizo[emoji854]Kwahiyo nyie wote humu mnamiliki ndinga sio...[emoji41]
Mtu anaeuliza swali la namna hiyo kwenye jukwaa linalohusu magari ni wa ajabu sana!Wengine GARI ya shemeji, kwani Kuna tatizo[emoji854]
Naomba unichanganulie hapa,vipi wakati wa kutaka kuondoka napo inakuwaje,ina maana utapaswa ukanyage brake,then uweke gear kwenye neutral then uachie handbrake au utaondoka kama kawaida?-Hapa nazungumzia kwa gari iliopaki kwenye kilima pua inaangalia bondeni...mzee nashukuru kwa mchango wako
ni kweli parking mechanism ni tough lkn unavopaki gari bila kufata hatua za hapo juu ,unakuwa unaiuwa gearbox taratibu hususani kama unapaki sehemu yenye kilima yaani ingekuwa ugonjwa ningeweza kusema hilo tatizo basi ni kansa,halitokei yaani ghafla Ila baada ya gari kuwa na mileage za kutosha ndo utaanza kuona effects zake
Fundi wa kwanza duniani kwenda against hii general recommendationKwanza kabisa general name ni parking brake. Maana siyo zote zinakuwa operated na mikono. Gari kama Spacio, Premio, n.k. parking brake zake zinakuwa operated na mguu.
Pili, I wish ungejua parking mechanism ya gearbox ilivyo. Aiseeee haiko kimayai mayai. Ni tough.
Tatu, Parking mechanism has nothing to with matatizo ya gearbox ambayo uliyapata. Sijui kuchelewa kubadili gear au mshtuko.
Ni hivyo tu.
Hii ni special kwa wasio kuwa na uelewa wa kupaki gari lenye automatic transmission kwa usahihi
Hatua ni Kama zifuatavyo:
1.kikawaida gari llikiwa kwenye drive
au reverse ukiwa unajiandaa kupaki
cha kwanza kabisa ni kukanyaga
breki ya mguu na kushift hadi
kwenye neutral
2.Kisha baada ya hapo utavuta breki
ya mkono na kuachia breki ya
mguu kwa sekunde kadhaa kwa ajili
ya kuruhusu uzito wa gari ushikiriwe
na breki ya mkono
3.Kisha utakanyaga tena breki ya
mguu na kushift hadi kwenye
parking
4.kisha kuzima gari
so umuhimu ni kwamba hizi hatua zinasaidia kulinda gearbox isiwe inabeba uzito wa gari kwa muda mrefu ukiwa umepaki, kwa hiyo uzito. Utakuwa unashikiliwa na breki ya mkono kwa hiyo gearbox itadumu kwa muda mrefu
Naongea hivi kwa sababu mimi nishawahi kupata matatizo yatokanayo na kutokufuata hatua za hapo juu mfano 1.gari lilikuwa ukichengi gear kutoka parking kwenda drive kuna sauti ya kitu kugonga ilikuwa inatoka lakini
atf ipo ya kutosha na safi vile vile na mounting ni nzima
2.Gari kuna mda linachelewa kuchenji gia ( delay shifting) lakini
atf ipo full tena ni safi na haina mile age kubwa
Angalizo:
Hizo hatua hapo juu haziwahusu wale wenye magari ambayo yana electronic parking brake, kwa sababu
mimi sina uzoefu na gari hizo
Hitimisho:
Uzi tayari karibuni kuchangia na najua wajuaji hawatakosekana
Imeisha.Kwanza kabisa general name ni parking brake. Maana siyo zote zinakuwa operated na mikono. Gari kama Spacio, Premio, n.k. parking brake zake zinakuwa operated na mguu.
Pili, I wish ungejua parking mechanism ya gearbox ilivyo. Aiseeee haiko kimayai mayai. Ni tough.
Tatu, Parking mechanism has nothing to with matatizo ya gearbox ambayo uliyapata. Sijui kuchelewa kubadili gear au mshtuko.
Ni hivyo tu.
Hapo nmeenda against na nini mkuu?Fundi wa kwanza duniani kwenda against hii general recommendation
Fundi wa kwanza duniani niliyemsikia anarecommend uzito wote wa gari ulalie kile ki parking pawl
Wewe huwa ni fundi wa umeme sio? Sio mechanical per se?
Unakanyaga brake then unashift kutoka park kwenda drive kama unataka kwenda mbele na reverse kama unataka kurudi nyuma then una release handbrake baada ya hapo mwendoNaomba unichanganulie hapa,vipi wakati wa kutaka kuondoka napo inakuwaje,ina maana utapaswa ukanyage brake,then uweke gear kwenye neutral then uachie handbrake au utaondoka kama kawaida?-Hapa nazungumzia kwa gari iliopaki kwenye kilima pua inaangalia bondeni...
Unachotakiwa kufanya baada ya kuweka neutral ,engage handbrake haraka iwezekanavyo ,usisikilizie hata kidogo ,ukisikilizia lazima gari litaserereka tu,pia unaweza ukawa umefanya kama nilivyokwambia lakini gari Bado gari likaserereka ukiona hivyo jua handbrake Ina shida either handrake ipo out of adjustment so inabidi ifanyiwe adjust au ibadilishwe linerbrake Kwa gari inayotumia linerbrake na diskbrake Kwa gari ,inayotumia disk brake.Kaka najaribu kufanya hivi lakini inakuwa nguma hasa nkipaki sehemu zene mteremko au mlima,coz ukiweka neutral gari inaendelea kuserereka
Nkisema niweke handbrake pia haishiki
Nazani hii ina apply sehemu tambarare ambazo ukiweka neutral gari inaweza simama.