Lover boi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 316
- 439
Nini maana halisi ya kusamehe?
Kusamehe ni kuamua kutomchukulia mtu hatua na kuondoa kinyongo moyoni mwako kutokana na jambo baya ulilofanyiwa na mtu huyo. Kusamehe kunasema hutakiwi kusikia neno “nisamehe” ndipo uendelee na maisha yako. Kusamehe kumewekwa na ni kwa manufaa zaidi kwa yule aliyekosewa.
Faida za kusamehe ni
1. Unakuwa huru katika harakati zako
2. Kuimarika kiafya mfano kuepuka kuwaza(msongo wa mawazo)
3. Kuondoa hasira na chuki
4. Kuondoa utawala wa mtu mwingine katika akili yako
5. Ni aina bora ya kisasi
6. Kiashiria cha ukomavu
7. Kuongeza utulivu wa akili
8. Kuinyesha upendo.
Asanteni.
Kusamehe ni kuamua kutomchukulia mtu hatua na kuondoa kinyongo moyoni mwako kutokana na jambo baya ulilofanyiwa na mtu huyo. Kusamehe kunasema hutakiwi kusikia neno “nisamehe” ndipo uendelee na maisha yako. Kusamehe kumewekwa na ni kwa manufaa zaidi kwa yule aliyekosewa.
Faida za kusamehe ni
1. Unakuwa huru katika harakati zako
2. Kuimarika kiafya mfano kuepuka kuwaza(msongo wa mawazo)
3. Kuondoa hasira na chuki
4. Kuondoa utawala wa mtu mwingine katika akili yako
5. Ni aina bora ya kisasi
6. Kiashiria cha ukomavu
7. Kuongeza utulivu wa akili
8. Kuinyesha upendo.
Asanteni.