Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwingine anaweka mlegezo wakati suruali tayar njiwa basi weeeee ...kichekesho cha haja
Rafiki yule boyfriend wako uliempata JF huwa havai mlegezo?[emoji1]Upuuzi tu
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]hutaki sasa au unahis kila mtu alivaa mlegezo?
Aiseee!Rafiki yule boyfriend wako uliempata JF huwa havai mlegezo?[emoji1]
Aisee!Aiseee!
vaa bas na wewe wa khanga maana wadada na nyie mmo[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie mwanamke nikivaa hivyo nakuwa nawatega mabwana wanitongoze sasa hawa wanaume wao wakivaa hivyo sijui ndo wanakuwa wanataka nini labda. Halafu siku hizi ndo ishakuwa fashion mjini hapa hasa wanaume wa dar
Mhhhh!!sawa tumekusikia!Hongereni kwa kuwakanya na kuwakandia hawa watoto wetu wanaojiita masharobaro.
Kuna umri ukifika inabidi ujiheshimu yani uache kabisa mambo ya foolish age. Uanze kuvaa nguo za heshima zinazofunika mwili wako vizuri n.k.
Ila kabla ya kutoa kibanzi kwa mwenzako hakikisha kilicho jichoni mwako umekitoa.
Kumbukeni kuna wadada/wamama pia wanavaa nguo za kutia aibu akikaa unakuta pichu unaiona kwa mbali na mapaja waziwazi mpaka kutia kinyaa je ile nayo ni biashara?
Nna kanga moja ya kuogea tu!vaa bas na wewe wa khanga maana wadada na nyie mmo
Mmmmhhh [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Nna kanga moja ya kuogea tu!
Sijawahi!Mhhhh!!sawa tumekusikia!
Ila inakuaje unavaa nguo hadi chupi inaonekana!
Mmmhhh!
Mlegezo mlegezo tu!Sijawahi!
Huwa nawaona mtaani tu.
Kwani tatizo ni kuvaa mlegezo mpaka chupi inaonekana au hata kwa wale ambao wanavaa mlegezo halafu boxer haionekani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hatupendi kuvaa mlegezo..shida ni kuwa tunabeba simu kubwa na wallet zenye pesa mingimingi so uzito unazidi
nini?Mmmmhhh [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
ntakuja piemu kwa muda wangu tuongee vzur...nini?
akuuuh! ustake kuniharibia mientakuja piemu kwa muda wangu tuongee vzur...
Ha ha ha ha haakuuuh! ustake kuniharibia mie
Sidhani kama ni kweli kwa sababu huwa ninaona vijana wengi wanaovaa milegezo ni wahuni na wapenda mademu sana.Kwa kawaida mashog wengi huwa hawapendi kuwa na muonekano wa kihuni bali hupenda kujipamba ili waonekane warembo.Vigumu sana kumkuta chko kavaa kata Kiki labda vipapaa.Kwa hili wimbi la 'ushoga' nashawishika kusema uvaaji wa namna hii inaweza kuwa tangazo la biashara.
Keyword: *inaweza