Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Mie mwanamke nikivaa hivyo nakuwa nawatega mabwana wanitongoze sasa hawa wanaume wao wakivaa hivyo sijui ndo wanakuwa wanataka nini labda. Halafu siku hizi ndo ishakuwa fashion mjini hapa hasa wanaume wa dar