Na kuna hii nimeikuta mahali...
Ndugu zangu watendaji huko serikalini naombeni kuconfirm kama siku ya sensa ni siku ya kazi kama kawaida…. And if yes I am worried na quality ya data tutakazozipata …. Few thoughts/concerns
1. Ijumaa nilifanyia kazi nyumbani bahati nzuri kata ya kawe wakawa wanafanya pre-testing na ikaangukia nyumbami kwangu … sikuwa nimejiandaa lakini niliwapokea vizuri and it took two hours kumaliza
2. Kwa maswali yale ya pre- testing wakisema twenda makazini , I have a serious concern na data watakazocollect…. House helpers kamwe hawataweza jibu maswali yote yale …. They are many and detailed in actual fact hata mkuu wa kaya mwenye wakati mwingine atahangaika
3. Mama makinda hapo anasema tuache taarifa nyumbani …. Taarifa zipi na ni nani atajua taarifa gani za kuacha hakuna hata mwongozo… yale maswali yapo kwenye categories nyingi na ni mengi sasa mtu atajua ni taarifa gani za kuacha home? Mfano kama kaya yako inawakazi sita na wote wana NIDA utahitaji kutoa namba zao zote za nida as per the questionnaire, lakini pia kuna taarifa za elimu, vizazi na vifo katika kaya …. Ni house girl gani atakuwa na hizo data zote?
4. Uwezo wa wahojaji wenyewe siyo mkubwa ukilinganisha na maswali halafu ndo aje akutane na house helper …. Itakuwa garbage in garbage out huyu mtoto alokuja hapa kwangu for pre testing it was a disaster mpaka nikaihurumia nchi yangu…. Ilibidi mpaka nimwulize kiwango cha elimu akanambia anasoma VETA lakini ni kadogo na hana confidence kabisa ya kuuliza …. I had to help him maana natamani saana zoezi hili lifanikiwe….
I wish wa reconside hii decision kwakweli…. We need quality data for our next ten years plans.